Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_6578.JPG
 
Jibu swali we "mbuzi" wa cheltako. Kepa ameconcede goli ngapi na Allison ameconcede goli ngapi?
Allison kinachom'beba ni ubira wa beki zenu na uzoefu wake ambao ataendelea kukua nao ..

Ila beki zinaanza kumuangusha maana sasa...unashindwa kupata clean sheet adi kwa Genk??? Kwa Man city ndo utaweza kweli?

Achana na kepa sisi hatuna ukuta mgumu ..ila tunaanza kujenga ukuta wa maana ..Tomori apo nyuma ananichafulia balaa Rudger akirud ndo itakuwaje balaa...

Nyie VVd keshaanza kuchoka na hamna backup ya maana.
 
Kama msimu huu hatujasajili na tuko hivi on fire ..tukisajili itakuwaje? ..sasa hivi timu ina mvuto wachezaji wengi wazuri watataka kuja pale..

Wee Liverpool unaelekea kuchoka wakati vijana wa Chelsea ndo moto unawaka. Huoni tofauti apo?

Hii Liverpool msimu huu itajitaidi taidi lakin msimu ujao khali itakuwa mbaya sana.

Tukianza na beki zenu..karibu wote ni over 26 years... Angalia kwa Chelsea ukimuondoa Azp beki zote zilizobaki ni under 24 years hehehe ..aya sasa njo kwa shati lenu Allison cjui umri wake lakin sio chin ya 27, uyu kidog ataendelea kuwabeba beba maan kipa uwezo wake unaongezeka kadir anavyozeeka ..ila bado ni binge la shati ..Samata kapruvu ilo

Njo mbele apo Mane Salah Firmino ..Karib wote ni over 27/28 uko ..uyu Salah tunampa mwaka mmoja tu lazima aende China ..firmino Brazilian wale tunawajua wanachoka mapema ..Mane kwa mbaaali ataendelea kuwabeba ..ila atachoka mapema maana anatumika sana.

Njo kwa Chelsea apo mbele angalia karibu wote ni under 24 hehehe halafu wako on fire kiasi hiki ..wakifika umri wa akina Salah watakuwa ni balaa...

Yani kiufup ninyi munaendelea kushuka aste aste wakati sisi tunapanda mdog mdog ..sasa hivi hamutanielewa kabisa ..ila mzunguko wa pili ukianza tutaelewana tu...

Kila la kheri Chelsea
Nlkukataza bangi mkuu
 
Katika watu wasiojua kuhusu mpira ww ni namba moja.... Acha tu ukafuatilie movie za kikorea bro
 
it's still a 2-horse title race in my opinion.
hivi vitoto 2 vinavyoleta mbanano hapa juu vitaanza kutimuliwa vumbi January onwards pampers zao zitakapozidiwa mkojo.

come on you Reds....create that 9-point cushion fast!

View attachment 1259105

To me up now The foxes nawachukulia as big threat than city

And my prediction mpaka round ya kwanza inaisha city atakuwa behind 3 or 4 pts kwa foxes
 
Kabisa ni ngumu sana kwa mwenyeji na mgeni yani kwangu naiona iko 50% kwa 50% hadi sasa hivi, ingawa namtakia LIVERPOOL FC kila la heri.

Mkuu hiyo mechi mimi hainipi pressure kabisa ,mechi tunashinda hiyo.

Ingekuwa etihad pale sawa ningekuwa na wasiwasi,hao wakijitahidi hapo anfield ni droo.

Man city hawako vizuri ,tuache kukalili.hii mechi ya leo ni muhimu sana sana kwa sisi kushinda,so tutacheza vizuri sana tushinde .
 
To me up now The foxes nawachukulia as big threat than city

And my prediction mpaka round ya kwanza inaisha city atakuwa behind 3 or 4 pts kwa foxes

Mkuu hata mimi nakubaliana na wewe,city big mechi kacheza na spurs tu na leo na Liverpool ndio ya pili,bado na leicester,man u,chelsea ,Arsenal.lazima ataachatu point hapo .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom