DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Ubaguzi ni dhana pana mkuu.....haishii kwenye rangi tu.Kwahyo Gomez kwako ana rangi tofauti na Sterling?
All in all inaweza kuwa kweli jamaa ndio ana makosa so tuachane na hayo
Ubaguzi ni dhana pana mkuu.....haishii kwenye rangi tu.Kwahyo Gomez kwako ana rangi tofauti na Sterling?
Yaani wewe upo huko tandahimba unataka kutoa hukumu!!!!?DUNIA HAIISHI VICHEKESHO.
HUYO ALIETOA HAYO MAAMUZI NI KWASABABU YUPO AU ALIKUWEPO ENEO LA TUKIO NDIO MAANA KAONA NANI WA KUMPUMZISHA.SASA UNAKURUKUPUKA NA MAMBO YA UBAGUZI SIJUI FLANI HAMZIDI FLANI YANATOKEA WAPI!!?
As name impliesHapa ndipo katika utata,una maanisha kuwa refa wa kati anaweza kupinga maamuzi ya VAR???maana yeye si ndio mwenye maamuzi ya mwisho.....
Usichanganye madesa refa wa kati ndio mwenye maamuzi ya mwishoWale waliopo kwenye chumba ndio wanatoa maamuzi yale ambayo refa wa kati na wasaidizi wake hawakuona
Hivyo bado mapungufu yatakuwepo kwa sababu wanaotoa maamuzi ya mwisho ni wale wa kwenye VAR room
Ahsante mkuu,nimekusoma vizuriAs name implies
video.
*assistant*
referee.
Ni msaidizi wa refa ila yeye hutumia video.
Wale wanaokua kwenye VAR wao husema kilichotokea ila refa wa kati ndiye huamua. Ndio kwa sababu wakati mwingine ikimbidi refa huenda mwenyewe kutazama tukio.
Kwa kukujibu swali lako
kwanza sio automatic (var haina maamuzi auto kama Goal LT) kwenye maamuzi, ila inarekodi kila hatua ya mechi inayoendelea ikitokea kwenye utata ndipo walio mule hufanya rewind with slow motion mpaka kupata uhalisia wa tukio, na kumueleza refa. Ndio maana hata maamuzi kwa kutumia var huchukua muda kwa sababu hutegemea watu (referees)
VAR bado haina maamuzi ya moja kwa moja refa ndiye hutoa maamuzi, ndio maana mule ndani kuna jopo la watu.
Na hii technolojia bado itakua na utata sababu bado ni refa ndiye anaangalia tukio na kulipima na sheria kisha hutoa maamuzi.
GOAL LINE TECHNOLOGY ndiyo pekee imefauli.
Karibu mkuu.Ahsante mkuu,nimekusoma vizuri
Kuna ile VAR ambayo screen inakuwa uwanjani mfano kwenye AFCON, kunapokuwa kuna tukio la mkanganyiko refa hupewa taarifa na wale wa VAR room akaangalie marudio ya tukio husika, hapa refa ndiye mwenye maamuzi ya mwisho.Mwenye MAAMUZI ya mwisho ni referee....VAR inakuwa NI msaidizi tu.



