Wallah Origi kamprove wrong Kloop. Huyu jamaa klopp alikuwa amwamini kabisa. Kuumia kwa salah imekuwa faraja kwetu. Pia kuumia kw captain imetusaidia sana.
Kweli maajabu yapo duniani.
Mpaka hapo hamjabahatisha
Mmestahili, naona mkichukua UCL, maana ndio kombe ambalo inaonesha ni rahis sana kwa liver ,maana mna DNA nalo.
Pia hongeren kwa kurejesha heshima ya EPL, ambayo ilikuwa inafunikwa na watu wawili ,ila wengi walituaminisha ni laliga ambayo naipata kirahisi kupitia azam tv na supersport kifurushi cha 19,000
ImetumiaMechi ya marudiano Liverpool 4 - 0 Barcelona, hii iwekwe ktk kumbukumbu ili Mawatu yaaibike vzr.
Rudia tena maneno yakoLiva hamna kitu mulee..bado sana kupambana na timu za Spain hata ingekua Sevilla au atm mambo yangekua haya haya tu....
Rudini mkakipige na kina Cardiff cty, Huddersfield na takataka nyingine..
Wapumbavu wamefungwa 4 jana.pole sanaHii club wapumbavu wengi
Waingereza ni shida, this ain't the greatest comeback.
I still rate the PSGs 4 - 0 to Barca overturned to 6 - 1 when it comes to number of goals.
mungu wenu wa soka hajawasikia au?wakati messi hakucheza mechi ya laliga wikiend iliyopita ili kujiandaa na mechi ya liverpool....wao liverpool wanawapumsha salah na filmino kwa kutocheza mechi ya kesho ili kujiandaa na mechi ya wolvers dahhhhhh hii dunia mbona kama inavibrate maana huku sio kuzunguka
Unazungumzia ndoo zipi hizo?fafanuaNdani ya jiji la Manchester.Ndoo ya champions league ndani ya jiji la Barcelone
Ndoo ya EPL
Ajabu sio ilo .
Ajabu ile kona ikamfikia mtu
Za kufulia.Unazungumzia ndoo zipi hizo?fafanua
Mwambie aendelee kusubiri hapo hapo tunampitia.ha haaTukutane kesho Messi anawasubiri kwa hamu
Mwambie mesi akimamiza kuogea akupe ukafulie.Za kufulia.
Asante ndo football tunasubiri mwakani. Leo nipo Ajax wewe je?Mwambie mesi akimamiza kuogea akupe ukafulie.
Wewe jamaa mbona mwanaume halafu mbeya sana, acha unafiki
Ulikuwa unawacheka Liverpool humu, sasa hiv unauma na kupuliza,
Hebu acha ushoga basi