DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
dah......Mimi sipo liverfools. Sisi kwetu hatujigawi. Hakuna wajuaji, hakuna king wala queen.
Sent using Jamii Forums mobile app
dah......Mimi sipo liverfools. Sisi kwetu hatujigawi. Hakuna wajuaji, hakuna king wala queen.
Sent using Jamii Forums mobile app
na jana?Mkuu nashukuru kwa penzi lako na uchezaji wa Henderson...
Kumfananisha na Fabi japo bado ni mapema sana si sahihi kabisa..
Fabi kwenye ligi mechi alizocheza ndio kiungo wa timu yetu anaongoza kwa accurate passing, tackling, interception, n.k sasa huyu Henderson hizo sifa zote unazompa ni kwenye mechi zipi...
Fabi pia from Midfield ana assist mbili classic Mechi ya Vs Manure pale Anfield alitoa pasi murwa goli la kwanza Mane, Vs Wolves kwao alitoa pia pasi maridadi kabisa...
huu ni utani mkubwa kabisa huyo TAA anamzidi nini Trippier?Trippier is not better than Trent
AWB and Azp. yes
kwahiyo wolvers wamewashikisha adbu au ukuta?Leo ni must Win game Coz tukifungwa tutakuwa time his a babushka pressure kubwa kwenye tittle race.
Tukitoka sare itakuwa tumejiongezea mlimbikizo wa idadi ya games
kwahiyo wolvers wamewashikisha adbu au ukuta?
Salah ni under 18? Lovren ni under 18? What a joke!!!!Tunaipongeza Wolves kwa kuifunga U-18 ambacho ni kikosi D chetu, Bila kusahau wachezaj watatu walkuwa na range ya miaka 16, 17 na 19. Hahah
Liverpool halisi subiri moto wake Weekend hii ndo mtaelewa.
Mkuu sasa kweli shabiki halali wa Liverpool bila aibu anaweza sema team yake CL OUT?nakuelewa mkuu hawa sio muda watakuachia timu yako ......maana kuna ushabiki na ushangiliaji...wewe ni shabiki nguli wa KOPS
Well said,ngoja tuone matokeoThis is Liverpool! I can't wait weekend pale tutakapoenda kuuwa hivi vitoto brighton.
Epl yetu wakuu, Tusahau ndondo cup FA tuwaachie wazee wa midtable Man u, chelsea, arsenal.
Sisi EPl ni yetu bila kusahau na CL.
Umenyweshwa uji wa ndele na Klapp wewe!Mkuu sasa kweli shabiki halali wa Liverpool bila aibu anaweza sema team yake CL OUT?
Hawa ni mashabiki maandazi tu!
Ni huyo huyo na kakundi kake mwaka jana walisema Liverpool out kwa Man City CL,LKN Man City akatoka!
Weeks zilizopita kakikundi hako hako ka hovyo kalisema Liverpool hawezi mzuia Napoli asiingie CL,Napoli akaenda nje!
Ni hao hao walio kuwa wanampamba Pep hapa kama hawezekaniki LKN sasa Pep wao anaombea team zingine zimsadie kushinda EPL!
Tena hawana aibu,tukimtoa Bayern wao ndiyo watakuwa wa kwanza kuisifu team waliyo idharau sana kabla!\
Klopp anawanyoosha hawa mamluki!
Tripp is not better than Arnold?Trippier is not better than Trent
AWB and Azp. yes

Alijua hatapata namba au sio
Kwa akili yako Vidal na Arthur ni watu wa kumsugulisha benchi Naby Keita
kwahiyo fabinho,shakir,milner,mignolet, ni kikosi D?????? naweza kukubaliana na hilo lakini kusema kuwa wapo under 19 itabidi ukusanye familia yako uanze kuidanganya hivi sawa?hii ni game ya pili mfululizo munapoteza na msije mkakimbia hapa .....maana wengine washakula chochoro wanadai wapo vijijini hakuna network ila timu ikiwa vizuri network zinapanda 4gTunaipongeza Wolves kwa kuifunga U-18 ambacho ni kikosi D chetu, Bila kusahau wachezaj watatu walkuwa na range ya miaka 16, 17 na 19. Hahah
Liverpool halisi subiri moto wake Weekend hii ndo mtaelewa.
😀😀😀
KUPATA VICHEKESHO KAMA HIVI TUMA NENO LOSERFOOLS KWENDA NAMBA 15888Tunaipongeza Wolves kwa kuifunga U-18 ambacho ni kikosi D chetu, Bila kusahau wachezaj watatu walkuwa na range ya miaka 16, 17 na 19. Hahah
Liverpool halisi subiri moto wake Weekend hii ndo mtaelewa.
Kupata vichekesho kama hivi unatuma kwenye namba ipi mkuu?Trippier is not better than Trent
AWB and Azp. yes