Gwamahala Jr
JF-Expert Member
- Aug 26, 2018
- 464
- 780
ni kupambana mkuu mpaka mei, mpaka sasa Mancty ndio timu pekee yenye kikosi kipana kupita vipindi vya majeraha au kadi...
hata hivyo tutakwenda nao mpaka mwisho, naamini nao kuna mechi watapoteza kama sisi hivyo ni kujitahidi kutoachwa mbali na ikiwezekana hizi pointi nne tukomae gepu ibaki hivyo hivyo...
Mimi nasema it's coming HOME...!
Number 19 in the year 2019.
