Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

ni kupambana mkuu mpaka mei, mpaka sasa Mancty ndio timu pekee yenye kikosi kipana kupita vipindi vya majeraha au kadi...

hata hivyo tutakwenda nao mpaka mwisho, naamini nao kuna mechi watapoteza kama sisi hivyo ni kujitahidi kutoachwa mbali na ikiwezekana hizi pointi nne tukomae gepu ibaki hivyo hivyo...

Mimi nasema it's coming HOME...!
Number 19 in the year 2019.
 
Wasee hakuna tetesi yoyote kwenye usajili?

Tunahitaji beki aisee, hawa gonjwa gonjwa watatuvusha kweli!

Maana najua round ya pili timu zitatukamia hasa, we need to play every game like it's final. Squad strengthening should be a priority.

Baada ya juzian City kishinda 7, na hii nyingine kapiga mtu 9 tuna kila sababu ya kuongeza beki moja ya nguvu ili kuzilinda hizi 4 points.
 
Umenyweshwa uji wa ndele na Klapp wewe!
Full and the most expensive squad Paris Saint-Germain (PSG) were knocked out of the Coupe de la ligue by the League 1 deep bottom side Guingamp.
Ktk uwanja wao wa nyumbani jijini Paris.
Ahahahaha Klopp huyu balaa sana,kanyamazisha watu hapa!Sasa wanakuja na hoja za kitoto sana kuhusu trash FA na Carabao,huko France leo PSG katoka hamna anaye huzunika
 
Inalaumiwa humu kuwa hata kocha wetu kachangia sana kumflopisha Naby Keita kwa kumweka/kumchezesha eneo ambalo sio lake. Nakuambia Arthur , Vidal na hata Rakitic na unaweza shangaa lakini nakumbuka stats za Keita alipokuwa RB Leipzig alikuwa anafika goli 8 au 9 kama sikosei

Ila hiyo ya Performance umesema kweli jamaa Bado hajaDeliver kama tulivyotegemea
EPL sio Bundesliga hata Mkhitaryan alikuwa best player kule lakini anastruggle kwenye EPL

Sent using Jamii Forums mobile app
 
our legend John Aldridge has spoken and I agree with him 101%.

View attachment 990477

I said this before kuwa Liverpool hatuna Depth hata kidogo! But kuna baadhi ya Fans wakachallenge my words kuwa We have enough depth ya kuweza kufight kwenye all fronts (FA, CL, EPL and Carabao.

Nilichogundua hapa Kuna misunderstandings kwenye hili neno "Depth" ..

Kuna wanaohesabu Depth in terms of Quantity, na tunaohesabu Depth in terms of Quality players kwenye Bench.

That is why watu wakiwaangalia kina Lallana, Moreno, Sturridge, Origi, Lovren, Mignolet, Solanke basi wanahisi kuwa tuna Depth while the truth ni kwamba you can't count them as a depth isipokuwa ni squad players wanaoongeza quantity ya wachezaji tu.

The one and only depth in our team is Xhaqiri.
 
I said this before kuwa Liverpool hatuna Depth hata kidogo! But kuna baadhi ya Fans wakachallenge my words kuwa We have enough depth ya kuweza kufight kwenye all fronts (FA, CL, EPL and Carabao.

Nilichogundua hapa Kuba misunderstanding kwenye hili neno "Depth" ..

Kuna wanaohesabu Depth in terms of Quantity, na tunaohesabu Depth in terms of Quality players kwenye Bench.

That is why watu wakiwaangalia kina Lallana, Moreno, Sturridge, Origi, Lovren, Mignolet, Solanke kuwa ni Depth while the truth ni kwamba you can't count them as a depth isipokuwa ni squad players wanaoongeza quantity ya wachezaji tu.

The one and only depth in our team is Xhaqiri.
nimeona Man City jana usiku walichezesha very strong first 11 vs a League One opposition.

sisi tumechezesha 2nd tier vs an EPL opposition.

this is nothing but madness. tukimaliza msimu trophyless tujilaumu wenyewe.
 
I said earlier that our chance for lifting the EPL was around 50% (which is nothing to celebrate about and even worse when sacrificing the more winnable cup competitions).

apparently, professional projections appear to suggest the same (see below)..

20190110_111100.jpg
 
Sawa. Kuna mwezi wa 1,2,3&4. Kufika watano sisi wengine tutakuwa tunamalizia balance sheet ibalance. Mnanitisha mnaofanya mahesabu mchana kweupe.

Kila la kheri kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app

bwana wee tunashukuru maana tunihitaji kheri kama zoteee

na tena mwezi wa 1 na 2 ndio hua tupoteaga vimbaya, hopefully awamu hii upepo huo nuksi umeshaisha na hivi vipigo viwili vya vilivyopita...
 
nimeona Man City jana usiku walichezesha very strong first 11 vs a League One opposition.

sisi tumechezesha 2nd tier vs an EPL opposition.

this is nothing but madness. tukimaliza msimu trophyless tujilaumu wenyewe.
Du huyo Pep ndio usisema anavyotupiga vijebe ni noma aisee yaaani jamaa kageuka kua JM kwa vijembe....

Klopp cant admit but he made a big mistake vs Wolves, if play ua second string defence t mkaes sense to play ua number one g'keeper Allison sasa tumeishia kuchekwa na Pep n th guy means business not taking things for granted yeye full mziki scoring for fun n that wil translate to thier EPL outings maana th winning mojo is there

Klopp sijui anadharau FA cup ama hajielewi for th 2nd tym anachapwa kwa kupanga kikosi dhaifu...

he will only make "sense" if 19th EPL trophy lands home otherwise he is in hot soup to lack any silverware wakati Manshit r in too four cups...
 
Wasee hakuna tetesi yoyote kwenye usajili?

Tunahitaji beki aisee, hawa gonjwa gonjwa watatuvusha kweli!

Maana najua round ya pili timu zitatukamia hasa, we need to play every game like it's final. Squad strengthening should be a priority.

Baada ya juzian City kishinda 7, na hii nyingine kapiga mtu 9 tuna kila sababu ya kuongeza beki moja ya nguvu ili kuzilinda hizi 4 points.
Mkuu tetesi nyingi pasua aisee...

kuna huyu mmoja ya beki wa Burnley Torkoski or whateva Klopp anamhitaji kwa mkopo with an option to buy at th end of th season, wao wanasema tupeleke mkwaja £50m n th boy is ours...

If i was Klopp i would negotiate n buy th boy, he is solid n EPL proven.
 
Inalaumiwa humu kuwa hata kocha wetu kachangia sana kumflopisha Naby Keita kwa kumweka/kumchezesha eneo ambalo sio lake. Nakuambia Arthur , Vidal na hata Rakitic na unaweza shangaa lakini nakumbuka stats za Keita alipokuwa RB Leipzig alikuwa anafika goli 8 au 9 kama sikosei

Ila hiyo ya Performance umesema kweli jamaa Bado hajaDeliver kama tulivyotegemea
acha kufananisha hao viungo uliowataja hapo na naby keita aiseeee utafungwa,naby keita ameachwa mbali sana na yule madson wa leicester
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom