Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wellsaid mkuu, upo kama mimi huyo dogo katucost sana ule upande. Na tatizo lipo kuwa huwa anajitahidi muda fulani anapatia kweli linapokuja suala la kudefend na muda mwingine dogo Upande wake unakuwa tatizo kwa kuruhusu/favor mashambulizi.

Angaliaga right wingers wa timu pinzani wanavyokwaaga kisiki kwenye upande wa Robertson

Robertson can be viewed as the best LB in the league right now

but to be fair, he's not that good defensively, he has VVD upande wake,

amekuwa na bahati nzuri sana in his last 3-4 games kwenye suala la ku-vacate his position as VVD is always there to cover his arse, TAA been shit this season (offensively and defensively) but kwenye upande wa defense upande wa kulia yupo na Lovren, and its evident kuwa TAA amekuwa m-bovu zaidi baada ya Gomez kuumia, as Lovren cant even time his runs akienda kushambulia.
 
Media and Klapp
74A69D15-33B1-4DFC-968E-832CEEDE9937.jpeg
 
Robertson can be viewed as the best LB in the league right now

but to be fair, he's not that good defensively, he has VVD upande wake,

amekuwa na bahati nzuri sana in his last 3-4 games kwenye suala la ku-vacate his position as VVD is always there to cover his arse, TAA been shit this season (offensively and defensively) but kwenye upande wa defense upande wa kulia yupo na Lovren, and its evident kuwa TAA amekuwa m-bovu zaidi baada ya Gomez kuumia, as Lovren cant even time his runs akienda kushambulia.


Lovren na TAA ni majanga wote and the fact is you could see jinsi Robbo anavyodefend when time comes tena kwa ufanisi mkubwa
 
Lovren na TAA ni majanga wote and the fact is you could see jinsi Robbo anavyodefend when time comes tena kwa ufanisi mkubwa

wont be arsed or mind a bit if we replace TAA

but for a 20 year-old ambaye amekuwa akicheza kama CM katika maisha yake yote ya soka, nadhani overall ame-perfom alright kwenye eneo la RB,
 
Don't forget Ox

Too early kukata tamaa

Point 4 umbali ni sawa na 2 games

Mentality ya wachezaji ikiwa vizuri siioni game ya kupoteza kwenye games 5 zijazo
mentality is everything, that is winning mentality.

the feel good vibes has to be accompained by positive results not defeat after defeat...

now Saturday EPL we r heading to tricky Brighton comin off two consecutiv defeats, that not so cool..

we need matchday players mind to be focoused on that game n let past b past, team selection il also matter alot guys, to bounce back wt style is to win this game nothing more nothin less.
 
wont be arsed or mind a bit if we replace TAA

but for a 20 year-old ambaye amekuwa akicheza kama CM katika maisha yake yote ya soka, nadhani overall ame-perfom alright kwenye eneo la RB,
in other words with Gomez fit means TAA il perfom better, that means we shold be listening to offers for the world class defender DJ...

Doubt Klopp il sanction any purchase now unless he has plans to offload Matip n Lovren in June.
 
wont be arsed or mind a bit if we replace TAA

but for a 20 year-old ambaye amekuwa akicheza kama CM katika maisha yake yote ya soka, nadhani overall ame-perfom alright kwenye eneo la RB,


Aende midfield huko, ni kioja kuwa at the same league watu wana Trippier, Aron Wan Bissaka, Azpi e.t.c si tunamtegemea Trent
 
mentality is everything, that is winning mentality.

the feel good vibes has to be accompained by positive results not defeat after defeat...

now Saturday EPL we r heading to tricky Brighton comin off two consecutiv defeats, that not so cool..

we need matchday players mind to be focoused on that game n let past b past, team selection il also matter alot guys, to bounce back wt style is to win this game nothing more nothin less.

We beat them 5-1 last season with Gini and Can as Centre-backs

they arent tricky at all man

another stat-padding session for the Egyptian Soccer star

Relax
 
Wellsaid mkuu, upo kama mimi huyo dogo katucost sana ule upande. Na tatizo lipo kuwa huwa anajitahidi muda fulani anapatia kweli linapokuja suala la kudefend na muda mwingine dogo Upande wake unakuwa tatizo kwa kuruhusu/favor mashambulizi.

Angaliaga right wingers wa timu pinzani wanavyokwaaga kisiki kwenye upande wa Robertson
Robby is class kaka n whoever recomended this fella High five to them maana he rarely fails wt his job n he is improving very much...

@8m buy was a bargain...

n u hear Moreno complaining lack of game tym, boy couldnt even put a tricky close jana mpaka Origi had to drop deep in search of the ball..
 
in other words with Gomez fit means TAA il perfom better, that means we shold be listening to offers for the world class defender DJ...

Doubt Klopp il sanction any purchase now unless he has plans to offload Matip n Lovren in June.

Get Pavard/Lloyd Kelly now

and our defensive department itakuwa sorted for years
 
Robby is class kaka n whoever recomended this fella High five to them maana he rarely fails wt his job n he is improving very much...

@8m buy was a bargain...

n u hear Moreno complaining lack of game tym, boy couldnt even put a tricky close jana mpaka Origi had to drop deep in search of the ball..


Moreno labda wampeleke Midfield tena Offensive midfield nje ya hapo auuzwe huko kwingine
 
We beat them 5-1 last season with Gini and Can as Centre-backs

they arent tricky at all man

another stat-padding session for the Egyptian Soccer star

Relax
we beat them 1 nill Anfield this new season n that game was tense man...

now we go to AES n they wil cause us problems.
 
Trippier is not better than Trent

AWB and Azp. yes


Trippier ndie anaongoza kwa Tackling pale White hart lane, ukiona Trippier anaenda kukaba ujue anaenda kuchukua mpira and the dude is good at dribling, holding on to the ball na ana piga Cross bora kuliko hata Azpilicueta. Superb Full back, watu hata wakatoa 90 gbp nadhani hawajapigwa
 
Get Pavard/Lloyd Kelly now

and our defensive department itakuwa sorted for years
Gonaz werw mentioned to b after Pavard bt seems not happening...

Klopp n crew should do a VVD type of acquisation n we forget this Lovren issues for good.
 
Reminds me of them "Fergie" days

maumivu ya kuwa "replaced" ni mabaya sana

enjoy your dark days chief

So, what bright days are Scousers enjoying?
And what exactly being ‘replaced’ mean?

As far as winning, Klapp has done nothing to claim as the replacement.

Loserfools bana, mnafurahisha kweli!! Angalau hata Shitty can brag a bit! But, you Scousers, we all know you will bottle this.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom