Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,383
- 10,951
only 2 more league titles ahead of us, and we haven't won it for like what? 29 years?
what a milestone..
Scousers won titles when the league had ‘Sunday’ soccer players!
only 2 more league titles ahead of us, and we haven't won it for like what? 29 years?
what a milestone..
Scousers won titles during the so called ‘Sunday football league’!that what we call classy...
kheeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeee kheeeee kheeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeee munaitaka FA cup eti!!!!!!!!!!Sure tena tunahitaj hii FA Cup sana, atleast tuwe na makombe 2 msimu huu
Scousers won titles when the league had ‘Sunday’ soccer players!
come Sunday come midweek we gonna reclaim th Title of most successful in Epl...Scousers won titles during the so called ‘Sunday football league’!
hao jamaa ni vipofu ndio maana wamepewa jina lao humu hahahahah yaani timu ipo hovyo wanaioverrate sana ikipata matokeo mazuri kimyaaaaaaaaa wakifungwa lawama kwa kocha na hendo hahahahah sasa kichapo kimewahusu na kafabinho chao kipo ndani dadadeki Mungu fundi sanaaaaaaaaaaaaaa kheeeeeeee kheeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeee kheeeeeeTimu ngumu hamjaifunga hata moja chelsea kakutoa karabao na ulinusurika kupigwa kwake shukran kwa sturidge haya city kachukua point 4 kwako
Mlidanganywa na vimech vya man united na arsenal wazaifu
Ukija uefa hujashinda hata mech moja ugenini hata red star umeshindwa kumfunga mmewahi kujiuliza?
Huyo wolves mgumu sana kishakutanguliza
Kazi kulaum kocha tu
with thier bragging u might think th gap is +10 kumbe ni 2 mbili tu na this tym tunapata la 19
hao jamaa ni vipofu ndio maana wamepewa jina lao humu hahahahah yaani timu ipo hovyo wanaioverrate sana ikipata matokeo mazuri kimyaaaaaaaaa wakifungwa lawama kwa kocha na hendo hahahahah sasa kichapo kimewahusu na kafabinho chao kipo ndani dadadeki Mungu fundi sanaaaaaaaaaaaaaa kheeeeeeee kheeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeee kheeeeee


jamaa wanachekesha sanaubawo????????Oriigi kafunga goli kali sana
its took you since 1986 n lots of hard to overhaul us...
ngoja tupate hili la 19 ndio tujipange la 20 mdogo mdogo


mtaliiba sio mkuu?kwani fabinho si alikuwepo mkuu?au hendo na yeye alikuwepo?Carabao Out
FA Out
Next CL out
Haya msukule ninaukaribisha uje uniambie sijui kitu
hahahaaaaaaaaaaaaa timu ikishinda kimyaaaaaaaa ikipoteza lawama kwa klopp,hendo,lovren sasa leo Mungu kawaumbua le capitain hayupo na lovren hayupo wamewekewa fabinho wao hawana pa kushika wanakukimbilia wewe mKOPS HALISI kabisa hahahahahaha wazoee mzeiyaaaaaaaaWewe na kakundi kako hapa mmeisha puuzwa!
Tusikuione tena hapa ww na wenzako kuja kushangilia team ikishinda!
Sent from my iPhone using JamiiForums
aisehNdiyo hao ni inexistent group ambao hujiita the so called Liverpool Halisi.
Wana Misingi yao wanayosimamia Katia Soccer! Wao hawahitaji Facts katika chochote Bali ni Mihemko tu.
Miongoni mwa rules zao za kuqualify kuwa Liverpool Halisi ni:
1) Front three wetu (Salah, Mane na Firmino) wanaweza kucheza timu yoyote duniani!
Kwahiyo iwapo watakwenda Barcelona wanauhakika kuwa MESSI-SUAREZ-DEMBELE watakosa namba mbele ya Front three wetu.
2) Wanaamini Kuwa Mido yetu ya GINI-HENDO-MILNER ni bora kuliko Mido ya RAKITIC-BUSQ-ARTHUR/VIDAL that is why tukishinda game yoyote kiongozi wao anakuja na mpasho wake kuhusu wachezaji wetu vs wachezaji wa Barcelona.
3) Wanaamini kuwa Salah ni bora Kuliko Hazard
4) Wanaamini kuwa Klopp ni bora kuliko PEP
5) Wanaamini kuwa Hendo ni World Class player anayeweza kucheza timu yoyote hole duniani! Kwahiyo akija Chelsea Kante ajiandae kusota Bench.
6) Kombe tunalotewa Wanaamini ni Kombe la Kipumbavu.
7) Wanaamini Liverpool ina kikosi bora duniani kwasasa kuliko timu yoyote hile.
8) Wanaamini Guardiola anabahatisha tu lakini Hamna kitu.
9) Wanaamini Lovren ni Best Centre Back in the world, Kwahiyo akienda Real basi Ramos ajiandae Kuwarm bench
10) Wanaamini unapomkosoa Klopp manake wewe huipendi timu na hujui chochote kwenye soka.
Sasa ukishakuwa na mitazamo hiyo kwao wanakuona wewe ndiye LIVERPOOL HALISI.
mtaliiba sio mkuu?
nakuelewa mkuu hawa sio muda watakuachia timu yako ......maana kuna ushabiki na ushangiliaji...wewe ni shabiki nguli wa KOPSSio kazi yangu kutaja hao wahalifu
Halisi ni mm hapa!