Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Heheh Lovren abaki huko huko, but in reality tunamhitaji mpaka Matip, Gomez wapone.

Lovren anahitajika sana tu maana sasa Fabihno itabidi atumke kucheza defence badala ya kucheza midfield.

hivyo Fabi akirudi defence guess Henderson tunae sanaaaa tu..

Grujic alikua majeraha long term hivi alishapona?

Ojo chap kutumwo Reading kwa mkopo tena.
Yani mukimtaja Ojo huwa nashangazwa sana labda vile simjui
 
Kwangu naona kabisa katika signing mbovu kufanyika ni ya Keita mpaka sasa hivi hajatuonyesha kile alicho nacho maana kila akipangwa anacheza madudu tu. Hata Fabinho alikuws kama yeye lakini atleast FABI now akipangwa kiukweli mimi roho yangu nyeupe kwa kuww naona kuna vitu atavifanya lakini kwa huyu Keita ni Big no na declare interest mimi ni shabiki mkubwa wa Jordan Henderson napenda sana defensive spirit yake ndio maana hata Klopp mwenyewe kwenye game zote ngumu lazima amweke Henderson kwa kuwa yupo vizuri kwenye defensive tofauti na Fabinho na Keita.. Tukiangalia game kama ya juzi na Man cty mchezaji ambaye hakupaswa kuwepo kwenye start team ni Milner kwa sababu alitoka majeruhi na hakuwa na match fitnes na kingine kilicho tukosti ni kuchelewa kufanya sub stution. Kwa viungo vilivyopo sasa hivi pale Liverpool Henderson lazima umwanzishe kwa namna yoyote ile kama wewe mpira unaujuwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona hivyo ujue kuna tatizo la kiufundi kwa mwalimu.
Alicho mfanyia Keita anastahili ku flop

Hivi inawezekanaje upangwe uonyeshe uwezo mkubwa tu ghafla mechi ijayo unapigwa benchi anarudishwa aliekuwepo utajisikiaje?
Kutokana na kuumia kwa Lovren naamini sasa atapata nafasi maana Fabi upo uwezekano achaeze beki hivyo muda ni mwalimu tutamuona tu..
 
Kwangu naona kabisa katika signing mbovu kufanyika ni ya Keita mpaka sasa hivi hajatuonyesha kile alicho nacho maana kila akipangwa anacheza madudu tu. Hata Fabinho alikuws kama yeye lakini atleast FABI now akipangwa kiukweli mimi roho yangu nyeupe kwa kuww naona kuna vitu atavifanya lakini kwa huyu Keita ni Big no na declare interest mimi ni shabiki mkubwa wa Jordan Henderson napenda sana defensive spirit yake ndio maana hata Klopp mwenyewe kwenye game zote ngumu lazima amweke Henderson kwa kuwa yupo vizuri kwenye defensive tofauti na Fabinho na Keita.. Tukiangalia game kama ya juzi na Man cty mchezaji ambaye hakupaswa kuwepo kwenye start team ni Milner kwa sababu alitoka majeruhi na hakuwa na match fitnes na kingine kilicho tukosti ni kuchelewa kufanya sub stution. Kwa viungo vilivyopo sasa hivi pale Liverpool Henderson lazima umwanzishe kwa namna yoyote ile kama wewe mpira unaujuwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nashukuru kwa penzi lako na uchezaji wa Henderson...

Kumfananisha na Fabi japo bado ni mapema sana si sahihi kabisa..

Fabi kwenye ligi mechi alizocheza ndio kiungo wa timu yetu anaongoza kwa accurate passing, tackling, interception, n.k sasa huyu Henderson hizo sifa zote unazompa ni kwenye mechi zipi...

Fabi pia from Midfield ana assist mbili classic Mechi ya Vs Manure pale Anfield alitoa pasi murwa goli la kwanza Mane, Vs Wolves kwao alitoa pia pasi maridadi kabisa...
 
Inawezekana hukunielewa vizuri sijamfananisha FAB na Henderson bali nimefananisha uwezo wake wa kuikutia ligi kati na kajitahidi kuliko huyo KEITA sipingi mwanzoni pia sikuww namwelewa FAB ila kwa sasa hata akipangwa roho hainiumi najuwa kuwa kuna moto ataenda kuuwasha tofauti na akipangwa Keita najuwa ataenda kunitowa kwenye mood kabisa ya kuufurahia mchezo wenyewe. Henderson na FAB wanacheza kwa majukumu tofauti Henderson anacheza sana chini katika Deffensive zone tofauti na FAB
Mkuu nashukuru kwa penzi lako na uchezaji wa Henderson...

Kumfananisha na Fabi japo bado ni mapema sana si sahihi kabisa..

Fabi kwenye ligi mechi alizocheza ndio kiungo wa timu yetu anaongoza kwa accurate passing, tackling, interception, n.k sasa huyu Henderson hizo sifa zote unazompa ni kwenye mechi zipi...

Fabi pia from Midfield ana assist mbili classic Mechi ya Vs Manure pale Anfield alitoa pasi murwa goli la kwanza Mane, Vs Wolves kwao alitoa pia pasi maridadi kabisa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In th meantime,

Gonaz wonna sign Rodrigz from Bayern,

Manshit wonna sign Dybala from Juvetus,

Manure wonna sign Coutino from Barcelona,

Chelsea after Berela from Calgari

Liverpool where are weeeeeee guys, we need a defender Vanholt n Bensaka from Crystal can be gone additions...or more so a creative midfielder like Isco

Kwa jibu la wale: We have a deep depth

Klopp: Probably not

Ukifirikia kuhusu Michael Edwards: There's surprise sign

So let's live in the dream
 
Siku zinazidi kwenda February Nayo inakalibia
Bikra nayo inazidi Kutoneshwa na jana mnaelewa kilichotokea . EPL bado point
Point 4, uefa ndy hivy mlishatolewa na bayern mana ni ratiba tu tusubr na epl Mechi zimebaki 16 hakika Huu Mwaka ni Wenu Tena Wa Mateso, hakuna rangi mtaacha ona

Miaka 29 Ni Mingi Jamani
20190108_160501_rmscr-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana hukunielewa vizuri sijamfananisha FAB na Henderson bali nimefananisha uwezo wake wa kuikutia ligi kati na kajitahidi kuliko huyo KEITA sipingi mwanzoni pia sikuww namwelewa FAB ila kwa sasa hata akipangwa roho hainiumi najuwa kuwa kuna moto ataenda kuuwasha tofauti na akipangwa Keita najuwa ataenda kunitowa kwenye mood kabisa ya kuufurahia mchezo wenyewe. Henderson na FAB wanacheza kwa majukumu tofauti Henderson anacheza sana chini katika Deffensive zone tofauti na FAB

Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks man nimekusoma.
 
Kwa jibu la wale: We have a deep depth

Klopp: Probably not

Ukifirikia kuhusu Michael Edwards: There's surprise sign

So let's live in the dream
ishu kuu hapa ni hii defensive crisis kutukuta kipindi ambacho hua tunapoteana tangu Klopp aingie yaani adiha droo or kipigo....

lets hope th surprise il come in n settle as soooon.

depth mkuu haipo kabisa,Mancity walikua na Aguero, Bruyne, Silva, Mendy nje na wame survive vizuri kabisa hivyo na sisi tujiadae maana upepo wa majeraha umetua kwetu mazima...

Gonaz defence kwa majeruhi mpaka wanaishia kupigwa 5 n.k...

hapa tuna nafasi ya kusajili hivyo Klopp asije leta maneno ooh tunapoteza cz fulani na fulani hawapo..

mtihani uliopo mbele yetu kwa Janauri na Febu ni hataree sana tukitoka salama tukiwa kileleni mwa ligi basi "its coming home" bila zengwe.
 
Hizi game 2 zimesababisha baadhi ya watu kukata tamaa naona.

Mimi bado ninaamini EPL is within reach, kama kocha hatapanic, Man City ambaye ni close rival tumeona naye anafungika, so muhimu ni kucheza bila kuangalia yeye ana fanya nini.

Tuna kikosi bora, ambacho kinaweza kusurvive EPL, Gomez na Matip watakuwa available soon. Pray for no injuries to VVD, Salah, Mane, Bobby, Allison, Fabinho, Robbo, Gini, Keita, TAA, Shaqir and Milner.

EPL is ours to lose, iff we don't play mid of Hendo, Gini and Milner in any single match.
 
Wanaomsifia Jordan Henderson
18 EPL apps, 0 goal, 0 assists, 1 yellow and one red
Keita
14 EPL apps, 0 goal, 0 assists, 0 yellow and 0 red
Fabinho
12 EPL apps, 1 goal, 2 assists, 3 yellow and 0 red
Mimi nafikiri Fab angepewa hizo fursa nyingi zaidi angefanya zaidi na kuadapt pia ligi pamoja na falsafa ya kocha zaidi kuliko Henderson au Keita
 
Klopp wants James Rodriguez ni January transfer window. Huyu baada ya kuwika WC ya 2014 nadhani anaishia kwani kacheza mara 8 tu na kufunga 3 bila assists yeyote. Arsenal walipoona dau kubwa (Zaidi ya paundi mil 60) waliishia mtini. Sasa Klopp sijui atamtumiaje huyu ambaye kama vile kachuja ila bei yake bado juu
 
Kuna watu humu wanajiita LIVERPOOL HALISI halafu wana Mentally za West ham, Stoke city, Brighton, Sunderland Namkumbusha tu Mkuu MALAFYALE, Liverpool ni timu ya SILVERWARE ni level ya Madrid, Bayern Liverpool sio timu ya kushiriki kwenye Competition tu Liverpool ni timu Trophy.
Jiulize katika miaka 30 iliyopita Bayern, Madrid, Barcelona and the likes wameshinda makombe mangapi alafu na ww ujilinganishe umechukua mangapi?

Je una mchezaji wa kushindana na Modric au Casemiro au Macello, au Varane au Bale ku-earn first spot in the first team? Tena angalau sasa hivi una wachezaji watatu wanaweza kufanya hivyo ila kwa miaka 30 mmekuwa wabovu sana.

Sasa ngoja mtoke kapa EPL na CL nione kama Salah huyu ambaye FA ya kwao inataka aende Madrid kama mtaweza kumkeep

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiulize katika miaka 30 iliyopita Bayern, Madrid, Barcelona and the likes wameshinda makombe mangapi alafu na ww ujilinganishe umechukua mangapi?

Je una mchezaji wa kushindana na Modric au Casemiro au Macello, au Varane au Bale ku-earn first spot in the first team? Tena angalau sasa hivi una wachezaji watatu wanaweza kufanya hivyo ila kwa miaka 30 mmekuwa wabovu sana.

Sasa ngoja mtoke kapa EPL na CL nione kama Salah huyu ambaye FA ya kwao inataka aende Madrid kama mtaweza kumkeep

Sent using Jamii Forums mobile app
Liverpool hawana bahati
Baada ya 1990 ni Steve Gerard na Luiz Suarez tu ndio wachezaji waliokuwa na uwezo wa kubadili matokeo
Luiz alipoona hapo atakesha bila vikombe akatikia Barca yeye Gerrad akamua kufia timu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom