Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Subiri Weekend utaelewa ipi ilikuwa target ya Klopp. Liverpool tungeamua basi hakuna kombe ambalo tungeacha kubeba mwaka huu, sema ni suala la kuweka kipaumbele.

Kipaumbele chetu ni EPL na CL, Tumedhamiria kubeba hivyo vikombe kwa mwaka huu, Sasa subirin majibu kwa kile atakachofanywa Brighton na viteam vyote vilivyibakia.

Nakuhakikishia tena, hakuna mechi tutakayopoteza safari hii, Lengo letu la kubeba ubingwa kwa points zaidi 100, liko pale pale.

kwahiyo fabinho,shakir,milner,mignolet, ni kikosi D?????? naweza kukubaliana na hilo lakini kusema kuwa wapo under 19 itabidi ukusanye familia yako uanze kuidanganya hivi sawa?hii ni game ya pili mfululizo munapoteza na msije mkakimbia hapa .....maana wengine washakula chochoro wanadai wapo vijijini hakuna network ila timu ikiwa vizuri network zinapanda 4g
 
Kwani KLoop ni malaika mpaka asifanane na Banetez atahukumiwa kama kawada tu
 
Tena wewe utakimbia hii siredi kama MosDef alivyofanya.

Yetu macho.

Nzi
Prezidaa wa wakangaa sumu dhidi ya Loserfools
mkuu nipo sana tu aisee ingekua kukosa EPL ndio kipimo cha ushabiki basi Brighton, Hull, Cardiff n.k kungekua uwanjani siku ya mechi ni kweupee hakuna mashabiki lakini kama unavyoona wapo nyuma ya timu zao...

ingekua kukosa kuchukua EPl ndio mwisho wa soka naamini hatungezikuta Chelshit, Manshit n.k zingeshafutwa kabisa maana wao walisubiri 50+ years kuchukua EPL hivyo sisi hii 29 ni kind of peanut...

Tupo sana humu hatuedi kokote...
 
Hayo mapenz mzee kwa Keita huyu nnaye muona hapa Liver Barca hata sub hatokuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app


Inalaumiwa humu kuwa hata kocha wetu kachangia sana kumflopisha Naby Keita kwa kumweka/kumchezesha eneo ambalo sio lake. Nakuambia Arthur , Vidal na hata Rakitic na unaweza shangaa lakini nakumbuka stats za Keita alipokuwa RB Leipzig alikuwa anafika goli 8 au 9 kama sikosei

Ila hiyo ya Performance umesema kweli jamaa Bado hajaDeliver kama tulivyotegemea
 
mkuu nipo sana tu aisee ingekua kukosa EPL ndio kipimo cha ushabiki basi Brighton, Hull, Cardiff n.k kungekua uwanjani siku ya mechi ni kweupee hakuna mashabiki lakini kama unavyoona wapo nyuma ya timu zao...

ingekua kukosa kuchukua EPl ndio mwisho wa soka naamini hatungezikuta Chelshit, Manshit n.k zingeshafutwa kabisa maana wao walisubiri 50+ years kuchukua EPL hivyo sisi hii 29 ni kind of peanut...

Tupo sana humu hatuedi kokote...
Yetu macho.
 
Rumoured few transfer target so far
1) Goalkeeper >Dominique Youfeigane
2) Defenders >Mats Hummels
>Llyod Kelly
>Milatio
3) Midfild >Abdulkadir Omur.

Outgoing rumoured > Origi to Fulham
>Camacho to S. Lisbon
 
Subiri Weekend utaelewa ipi ilikuwa target ya Klopp. Liverpool tungeamua basi hakuna kombe ambalo tungeacha kubeba mwaka huu, sema ni suala la kuweka kipaumbele.

Kipaumbele chetu ni EPL na CL, Tumedhamiria kubeba hivyo vikombe kwa mwaka huu, Sasa subirin majibu kwa kile atakachofanywa Brighton na viteam vyote vilivyibakia.

Nakuhakikishia tena, hakuna mechi tutakayopoteza safari hii, Lengo letu la kubeba ubingwa kwa points zaidi 100, liko pale pale.
Naona unacheza mpira mtandaoni na si uwanjani. Kwani juzi wolves kakufanyeje??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yetu macho.
ni kupambana mkuu mpaka mei, mpaka sasa Mancty ndio timu pekee yenye kikosi kipana kupita vipindi vya majeraha au kadi...

hata hivyo tutakwenda nao mpaka mwisho, naamini nao kuna mechi watapoteza kama sisi hivyo ni kujitahidi kutoachwa mbali na ikiwezekana hizi pointi nne tukomae gepu ibaki hivyo hivyo...
 
Klopp wants James Rodriguez ni January transfer window. Huyu baada ya kuwika WC ya 2014 nadhani anaishia kwani kacheza mara 8 tu na kufunga 3 bila assists yeyote. Arsenal walipoona dau kubwa (Zaidi ya paundi mil 60) waliishia mtini. Sasa Klopp sijui atamtumiaje huyu ambaye kama vile kachuja ila bei yake bado juu
Arsenal tungeshambeba, tatizo bei yake kubwa, halafu ni type ile ile ya kina ozil, micky

Madrid wanatushawish tutoe 63, wakati hiyo hela kwasasa tunapata wachezaj wapiganaji watatu huko italy,na america

Sent using Jamii Forums mobile app
 
a good question, my man.

for the sake of stability at the club, needless to mention the importance of retaining our key players going forward, I want us to win at least one (any) trophy this season.
zero trophy this season, then the Salah's of this world will start looking elsewhere and the "Klopp out" chinjachinja's will start sharpening their vichinjio's once more and I won't blame them. stakes are such high and Klopp should be fully aware.

the FA Cup presents us with the most realistic chance for silverware because of the present LFC fear factor vs English clubs. so i would deploy a very strong line up vs Wolves tonite.

I know many fans have their eyes on the EPL, and rightly so, but i don't fancy us putting all our eggs in one delicately tilted basket.

UCL? well.... i don't want to even talk about that one because it's as good as lottery!
our legend John Aldridge has spoken and I agree with him 101%.

20190109_212230.jpg
 
Arsenal tungeshambeba, tatizo bei yake kubwa, halafu ni type ile ile ya kina ozil, micky

Madrid wanatushawish tutoe 63, wakati hiyo hela kwasasa tunapata wachezaj wapiganaji watatu huko italy,na america

Sent using Jamii Forums mobile app
huyu bana kwa soka la EPL halimfai kabisa na kwa hii bei ya £63m ndio kabisa abaki huko huko..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom