Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hivi nyie mnaamini mnatimu ngumu sana epl? Mbona mnaakili za kijinga kiasi hicho hamjafikia hata nusu ya chama la pep ambae msimu uliopita alipigwa na wigan

Hii ni kweli nikitazama ni kweli LFC hatujamfikia Pep kwa ubora wa Winger au Kiungo au Beki
 
nonsense!
Timu ngumu hamjaifunga hata moja chelsea kakutoa karabao na ulinusurika kupigwa kwake shukran kwa sturidge haya city kachukua point 4 kwako

Mlidanganywa na vimech vya man united na arsenal wazaifu

Ukija uefa hujashinda hata mech moja ugenini hata red star umeshindwa kumfunga mmewahi kujiuliza?

Huyo wolves mgumu sana kishakutanguliza

Kazi kulaum kocha tu
 
Timu ngumu hamjaifunga hata moja chelsea kakutoa karabao na ulinusurika kupigwa kwake shukran kwa sturidge haya city kachukua point 4 kwako

Mlidanganywa na vimech vya man united na arsenal wazaifu

Ukija uefa hujashinda hata mech moja ugenini hata red star umeshindwa kumfunga mmewahi kujiuliza?

Huyo wolves mgumu sana kishakutanguliza

Kazi kulaum kocha tu
you're right!!
 
Kazi kweli kweli na nikiangalia hii second round hilo gap sipati picha tunacover vipi na hasa kama Pep akamkazia tena Man U pale Old Traford
Na uhakika wa kumpiga labda yatokee maajabu ya mpira tu mkuu.
 
Vipi tena huyo Milly ahahahah

Niko busy na shughuli fulani so sijapata fursa ya kuangalia hii game

Kuna watu walimpigia debe sana Milner achezeshwe namba mbili badala ya TAA, nadhani leo kucheza kiungo mkabaji ameshatoa somo kuwa kukaba kuna wenyewe na si kila mtu!
Milner umri umeshakuwa kikwazo kwako cha kuwa kumkimbiza mtu hata mita 15m
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom