Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa dhati ya moyo huyu beki wa city aliiwahi technology vitu vyenyewe vya kutengenezwa na mwanadamu.View attachment 985289
Ili lihesabike kuwa goli, mpira ulipaswa kuvuka wote
Screenshot_2019-01-04-01-14-30.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa tunasema GINI-HENDO-MILNER hawawezi hata squad player wa Barcelona.

Na Salah-Firmono-Mane hawawezi kupata namba kwa Barcelona

Basi kuna mshabiki bora kila baada ya Mechi ttunayoshinda anakuja na comment ya Mipasho hapa kupinga kauli yetu hiyo.

Points zake hi hizi:
  • Front three wetu Salah-Firmino-Mane wanacheza panga pangua Barcelona kwa kuwaweka bench Messi-Suarez-Dembele.

  • Midgielders wetu Gini-Hendo-Milner wanacheza panga pangua Barcelona kwa kuwaweka Bench Busquet-Vidal-Arthur.
Kwahiyo anaamini kuwa Wachezaji wetu ni Bora kuliko Kikosi kizima cha Barcelona.

Huku akisahau kuwa aliyekuwa Mchezaji wetu bora COUTINHO basi kwenye kikosi cha Barcelona ni Mchezaji wa Sub.

Sasa mtu kama huyu anatwambia hatujui mpira.
Huyo jamaa mzima kweli?

Inabidi ajue hizo midfielder zenu hapo juu hazipati namba hata hapo Tottenham, mna mido za kawaida mno na ndio maana nawashangaa wanaomponda Klopp maana ni sawa na mtu anayepita katika moto lakini haungui.
 
Kwaiyo walio mchagua walikuwa wendawazimu sio?
"ila klopp kayataka mwenyewe tuu,sijui huyu mduu hendo anampendea nini aisee yani hata kwenye mechi kubwa anashindwa kujiposition na hata kuhamasisha wachezaji wenzake"hii point yako nimeipenda sana yani hendo hafai hata kuwa captain wa second eleven kwenye timu za championship league

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Next 5 games lfc

Brighton A
Crystal H
Leicester H
Westham A
Bournemouth H


Next 5 games man city

Wolves H
Huddersfield A
Newcastle A
Arsenal H
Chelsea A


Kama tukizichanga karata zetu vizuri bila tatizo tunaweka gape zuri kabisa lingine

City kuna 3 games anapoteza hapo clearly
 
ki ukweli mechi nyingi anazopotezaga Klopp tangu ahamie Majogoo ni Jan n Feb yaaani hapa ndio kutulia sana historia hii isijirudie msimu huu, gepu hii inabidi kui maintain maana huyu City atapigika tena na hata sisi tukicheza kama jana vipigo vinatuhusu...

jana was really pathetic.
Mkuu its always start like that

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulimfatilia msimu gani? labda tuanzie hapo.
Mara ya mwisho kumfatilia ilikuwa ni 2017 lakini Dortmund walisema hauzwi lakini Klopp hakueka dau lolote.

Baada ya hapo ikaishia kuwa tetesi tu

Lakini kama una evidence yoyte kuwa Klopp alitoa dau lolote kwa Dortmund likakataliwa basi lete hapa!
Usiniambie kuwa The mirror wameandika, au Bild wameandika, au kuna mtu twitter kaandika! Liverpool haiendeshwi na Magazeti wala twittwer.

Tunayo official website yetu, tunalo gazeti (Echo) linalotumiwa na Liverpool, pia tunayo TV official inayotumiwa na Liverpool.
Tafuta humo habari kuwa Klopp aliweka hata elfu kumi kuwa anamtaka Pulisic zikakataliwa.

Tetesi hazihukumu kuwa timu imemtaka mchezaji.

Inamana kwakuwa sasahivi Magazeti yanasambaza tetesi kuwa Liverpool inamtaka Timo Werner je akienda timu nyengine utasema Klopp kamtaka Werner akamkosa?
Habari nyingi huwa zinaanza na tetesi ndio maana sijaona habari za fekir katika web ya Liverpool.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unafahamu vyema Majogoo sio timu ya kubabaishwa na City, hawa leo tunao...

Pep presha juu maana kila akitazama weak link ya Liverpool haioni hivyo itamlazimu ashambulie zaidi kipindi cha kwanza na hapo ndio pace ya Mane na Salah itawaumbua maana wao wanawaza kupunguza gepu angalau ibaki pointi 4, hivyo wao watakua ni ushindi tu maana hata kupaki toi Pep hajui yeye ni kushambulia , upande wa pili sisi ni kaunta tu wala hatuna kingine...

wapiga ramli msikae mbali kushuhudia gepu ya pointi 10 mapema Januari...

YNWA
Sawa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwasasa TAA si bora Liverpool tu! Bali ni Best Right Back EPL nzima!

Anaebisha na Abishe Mimi ziwezi kunishana nae.
hawezi kuwa bora hata hapo Liverpool mkuu, huyu alicheza kwa kiwango kizuri sana msimu uliopita ila kwa sasa dogo katumika sana amechoka Jana ndio alikuwa chochoro na hili linaenda kumkuta na Robertson maana anatumika sana,kwa sasa Trent huwez mfananisha na clyne hapo liver so usimuoverrate kihivyo dogo kafulia hana tofaut na berellin wangu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom