DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Wewe ndio unatia huruma kwa sasaKwakweli tabu munazozipata na kuteseka munatia Huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio unatia huruma kwa sasaKwakweli tabu munazozipata na kuteseka munatia Huruma
Huyu alikuwepo pia lakini kichapo kichapoXherdan Shaqiri - aka Power Cube
Hawajielewi hawa yaani huo upupu ndio use bora EPL?labda EPL ya majimatitu
Leo zamu yenu kufungwa wakuu mvumilie tu kisha tunamalizia dakika 90 za mpira utoe maajabu.
Ushindi wa Man city leo ni draw
Nitakupa final confirmation lineup zikiachiwa
Wewe ni mshabiki wa Liverpool na soka kiujumla.....yaani huyu Trent umfananishe na kyle walker?Kuweni wakweli vijana Hivi huyo TAA anamzidije uwezo kieran Trippier au Cesar Azpilicueta au Luke Shaw au Wan Bissaka
Nataka na napenda kuwa mshabiki wa Soka na sio ushabiki upofu
Liverpool kumfunga cityUngeyaweka sawa ili usibadili maneno yako, je maajabu ni Liverpool kumfunga Mancity au ni Mancity kumfunga Liverpool?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bikra yetu tunaitunza kwa ajili ya timu zilizoko kwenye 11-20 kwenye msimamo wa ligi.
Wengine subirini.
Kweli kikosi cha maangamiziMancity mapema kafa, kikosi cha maangamizi, workholics
Kwani hawa ni wachezaji wa Leeds?Milner ,hendo ,gin ndio mids zetu leo
VVD!!Wanamuonea aibu VVD kuwa ni mbovu kama Geoffrey Luseke wa Alliance school
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa klopp aone na wewe pia uone?una uwezo na utaalamu wa soka kuliko kocha?acha masihara basi,,Hata tushinde 10 - 0 kwenye kikosi akishakuemo Hendo basi sina imani nacho
Leo ni kumpa kazi kubwa huyu mzee wa watu Milner tu..
Acheze nafasi yake! Acheze nafasi ya Hendo! Mtu mmoja acheze nafasi mbili peke yake?
Mana Hendo ni kuzunguka tu leo uwanjani.
Huyo fabhino kaingia mbona na yeye karukaruka acha chuki binafsi kwa lecapitain bwana,unaacha kulaumu Trent aliyechomesha Jana unamganda hendo....dogo Trent Jana alikojoa mapeeeeeeemaaaaaaaaHata tushinde 10 - 0 kwenye kikosi akishakuemo Hendo basi sina imani nacho
Leo ni kumpa kazi kubwa huyu mzee wa watu Milner tu..
Acheze nafasi yake! Acheze nafasi ya Hendo! Mtu mmoja acheze nafasi mbili peke yake?
Mana Hendo ni kuzunguka tu leo uwanjani.
Amani kwako mkuu....yaani watu wana balaa yaani wanajiona wanajua kuliko kocha anayeshinda na wachezaji muda mwingi na kujua strength na weakness zaoHujui lolote kuhusu soka!
Ni mtu mwehu anayeweza akapinga kazi za soka za Klopp
Mnatujazia server tu
Sent from my iPhone using JamiiForums