Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jaman mnaona moto wa TAA? Hakosi kwenye kikosi chochote tangia nianze kufatilia hivi line up.

L’Equipe’s team of the year for 2018 ni hii hapa haina Front 3 hata mmoja wa Liverpool FC lakini hili ni sawa kwa 100%

Palipo na Hazrad, Messi, Mbappe na Ronald basi hapana nafasi ya kumueka Salah, Mane na Firmino.

View attachment 984908
 
unafahamu vyema Majogoo sio timu ya kubabaishwa na City, hawa leo tunao...

Pep presha juu maana kila akitazama weak link ya Liverpool haioni hivyo itamlazimu ashambulie zaidi kipindi cha kwanza na hapo ndio pace ya Mane na Salah itawaumbua maana wao wanawaza kupunguza gepu angalau ibaki pointi 4, hivyo wao watakua ni ushindi tu maana hata kupaki toi Pep hajui yeye ni kushambulia , upande wa pili sisi ni kaunta tu wala hatuna kingine...

wapiga ramli msikae mbali kushuhudia gepu ya pointi 10 mapema Januari...

YNWA
Game linaanza SAA ngapi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
if there is talent uscoucer unakuaga sio ishu kivile nowdays bt then akitokea kwenye academy na ni scourcer esp kipindi hiki many graduates dont make th grades basi anakua na kaupedeleo fulani na kupabwa na magazeti bt kwenye ishu ya TAA kila mwenye kumfuatilia anaona ndogo msimu huu ameshuka kiwango sana hata krosi zake nyingi zinakua hovyo kabisa...asipojiangalia ataishia kama Red Cafu

kama talent ipo kazi ni popote as u can see Lallana is die hard Everton fan yet anavaa uzi wa majogoo, De Brune is also Kop, Aguero is also a Kop, hata Kocho wa Manure is also a Kop etc..

our captain is a die hard Sunderland fan hivyo kazi ni popote huu uscoucer hautuletea vikombe...
Ukitaka umpende TAA basi mchezeshe na Shaqir. Shakir acheze #7.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee TAA hana ubaya huo mnaoungelea nyie! Huyu dogo kapiga mpira mzuri sana hata season hii, Mpaka amekuwa nominated kwny tuzo kubwa za Copa under 20 na Mbappe sio mchezo.

Upepo umekata kwake kidogo juzi baada ya majeruh napo hajaharibu sana, Bado anafaa sana tena sana kuwa first Xi na sio sub.
Uko sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ndiyo manaeno ya Carragher iwapo tutamfunga Man City! Agree?

"Liverpool cannot end Manchester City’s title challenge tonight but it will be a huge step towards bringing the Premier League trophy back to Anfield according to Reds legend Jamie Carragher."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom