AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Jaman mnaona moto wa TAA? Hakosi kwenye kikosi chochote tangia nianze kufatilia hivi line up.
L’Equipe’s team of the year for 2018 ni hii hapa haina Front 3 hata mmoja wa Liverpool FC lakini hili ni sawa kwa 100%
Palipo na Hazrad, Messi, Mbappe na Ronald basi hapana nafasi ya kumueka Salah, Mane na Firmino.
View attachment 984908
