DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
SawaLeo Chinja Uwa Ngumi Jiwe Panga Shoka Sumbawanga Mbojo Fisi Roba Ndumba Bunduki lakini tushinde hii game
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaLeo Chinja Uwa Ngumi Jiwe Panga Shoka Sumbawanga Mbojo Fisi Roba Ndumba Bunduki lakini tushinde hii game
Alivyoingia akafanya nini??Hahaha, yaani unaangalia game kwa kuchungulia, afadhali hata Fabinho angekuwepo ili Hendo apande juu.
Safi kabisa na sio kukaa gezaulole unapanga kikosi cha meryside ...klopp ndie anayejuawanaosema kikosi cha leo liver tunafungwa hamukumbuki mwaka jana kikosi hichi hichi tulimpiga city??? mwacheni klopp afanye yake yeye ndo anajua kuliko sisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo wapi muda huu mkuu?Tukishinda kesho SAA moja Niko kibaruani ,tukifungwa nitatamani kesho iwe sikukuu nisiende kokote maana watakaokuwa wananisubiri ni wengi mno
Sawasawabeki zisipande kwa dk 20-30 za mwanzo tu.... baada ya hapo City watakuwa wapo frustrated, ndipo sisi tunaanza kanyaga twende.
Duuuu!!
Ahsante technology![]()
![]()
![]()
Hivi ule mfumo wa mpira uzidi robo tatu au theluthi mbili golini utakuwa umeSUKUMWANDANI sio???View attachment 985519
Sent using Jamii Forums mobile app
Ox alicheza peke yake??Kwanza huyo mimi sijamjua ni mshabiki wa timu gani! Inawezekana Kaanza kufuatilia mpira msimu huu ndiyo ikawa hajui kuwa katika Midfield tulikuwa Oxlade Chamberlain wakati tunawafunga Man City
Haya tupe mrejesho goli la kwanza mumepigwa dakika ya ngapi?na matokeo yapoje kwa sasaNa hili ndiyo siku zote ninaloliamini kuwa Man City ukifanikiwa kuwazuia dakika 20 za mwanzo basi hawakufungi tena
hope its ends jana otherwise we r in hot soup...
Sawa ..ubao unasomaje hapo?Mpira ni dakika 90 ndiyo zitakazoamua!
Lakini nikiwa kama mshabiki wa timu hii ya Liverpool FC basi Ninaamini Tunashinda hii game

Unbeaten run yenu imeishia ngapi mkuu?Kwa mshabiki yeyote wa mpira ukiacha wa Liverpool ataomba Liverpool ipoteze ili ligi iwe balanced.
Ni sawa na mwaka jana wakati Liverpool anamfunga Man City kwenye EPL, kila mshabiki alishangilia.
Au ile 2004 October wakati mnamfunga Arsenal 2 - 0 kumaliza ile unbeaten run ya Invisibles.
Kama wewe una kipaji cha ajabu mpaka unasema TAA in bora EPL nzimaTatizo kuna watu hawajui kama kuzungumzia mpira ni kipaji na sio kila mtu tu anakuwa na uwezo wa kuzungumzia mpira
Kudadadeki leo washabiki wa Liverpool tumekuwa wadooogo![]()
![]()
utazoea tu maana tundu tayari ...hapa ndio mwanzo wa kudangaKwahiyo sasa hivi imekuwaje mkuu?Hii game kama tutapata hata sare, Klopp atawa prove wrong watu wengi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nashauri liverpool wenza tukomae na uefa tu Epl tuwaachie wanaume
Sent using Jamii Forums mobile app
Mumeshinda ila sio magoli,mumeshinda njaaWe are liverpool
Lazima tushinde nasemaje Lazima tushindeee
CITY Wavimbe wapate draw LABDA
Ila lazima tushinde LAZIMAAAAAA
YNWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani jana VVD makosa yake ni yapi? maana makosa ya Lovren yako wazi
Na kweli maana mlifanikiwa kuwazuia dk 30 na hamkufungwa,,,,una kipaji kikubwa cha kuongelea sokaTujitahidi tuwazuie Man City dakika 30 za mwanzo tu!
Tukiwaweza kwenye dakika hizo basi hawatufungi tena