Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Washabiki wa Liver hatuna haja ya kutukana wachezaji wala kocha, ni kweli haikuwa siku nzuri jana ila kuna mambo yakujifunza. ndio mechi ya kwanza kufungwa na tumefungwa away na team nzuri sasa mapungufu yameonekana kwamba system ya 433 tabu imekuwa kwetu tumeona tulivyoenda 4231 tukawa vizuri, ni wakati sasa wa Fabinho kuwa main hold midfield kuhusu Lovren hakuwa na game nzuri na tunajuwa Gomez majeruhi kwa hiyo hatuna choice kwa sasa na Arnold kapata shida jana lakini huyu ni kijana mdogo sana na kajitahidi na atakuwa vizuri tu, Nataka kujiuliza tukianza matusi kwa kufungwa na City je yangetukuta ya City kufungwa tena kwake na Palace halafu Leicester sio tungeshikiana mapanga. Liverpool tuko 4 points bado ni juu yetu kushinda mechi zetu na tuchukulie hii game imepita ila yako yakujifunza, na uhakika next game katikati tutawaona Fabinho, Gini na Keita or Shaqir na uhakika na hilo. YNWA
YNWA=YOU NEVER WIN ANYTHING.
 
unaangalia mpira?

unaelewa maana ya "individual errors" in football?
Mimi sio naangalia tu kama wewe, nacheza ingawa sio wa kulipwa.
Mpaka wanamfikia yeye beki maana yake kuna mtu mwingine pia hajawajibika, individual error.
 
Unachokisema ni kweli. Ila lile wimbi la kupoteza mechi mfululizo linaweza likawapitia. Kuweni makini

Sent using Jamii Forums mobile app
ki ukweli mechi nyingi anazopotezaga Klopp tangu ahamie Majogoo ni Jan n Feb yaaani hapa ndio kutulia sana historia hii isijirudie msimu huu, gepu hii inabidi kui maintain maana huyu City atapigika tena na hata sisi tukicheza kama jana vipigo vinatuhusu...

jana was really pathetic.
 
we shouldnt be saying "upepo uligoma" chief

we got it all wrong today...
totally wrong defending, recoverin th ball,passing, pressing yaani everythin jana was "things fall apart", n th momentun was with us, th boys need to respond to this wt a bang...
 
Uko sahihi kusema kuwa Man City alipigwa na Chelsea na Fernandinho akiwepo uwanjani,lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa Fernandinho ndio injini ya Man City.
Mechi nyingi ambazo Fernandinho anakuwa hayupo uwanjani Man City huwa anashindwa kupata matokeo mazuri. Leo Liverpool amepoteza mechi,lakini tukisema Salah ndio mchezaji muhimu wa Liverpool wala hatukosei hata kama Liverpool kapoteza mechi Salah akiwa uwanjani.
MWISHO: Kumbuka kuwa Fernandinho hana mbadala ndani ya Man City,mpaka sasa Guardiola anahaha kutafuta mtu ambaye atacheza nafasi ya Fernandinho pindi Fernandinho anapokuwa hayupo fit.
Jana Fernandinho na Kompany walihusika kuwakosesha raha fans wa Liverpool. Japo John Stone alikuwa na silly mistakes nyingi lakini ile save ilikuwa calculated, ingekuwa teknolojia ya kutambua goli haipo Liver wangesema wameonewa
 
ki ukweli mechi nyingi anazopotezaga Klopp tangu ahamie Majogoo ni Jan n Feb yaaani hapa ndio kutulia sana historia hii isijirudie msimu huu, gepu hii inabidi kui maintain maana huyu City atapigika tena na hata sisi tukicheza kama jana vipigo vinatuhusu...

jana was really pathetic.
Raundi hii ya pili kupigika kunawahusu zaidi.
 
hahahahahahahahaha

i'm in tears man
that is soccer bro, u smile today come tommorow(like jana) n u wish t was a dream...

man how do we lose to City wt Vincent at th back lol kweli Fernadhitho sio mtu mzuri maana he ws everywhere to cover his defenders.....
 
Steve McMahon former liverpool MF on Fernandinho
You were an outstanding midfielder in your time. What makes Fernandinho so good?

Simplicity. He does everything well. He glides around, he’s an athlete, he breaks things up.
 
Washabiki wa Liver hatuna haja ya kutukana wachezaji wala kocha, ni kweli haikuwa siku nzuri jana ila kuna mambo yakujifunza. ndio mechi ya kwanza kufungwa na tumefungwa away na team nzuri sasa mapungufu yameonekana kwamba system ya 433 tabu imekuwa kwetu tumeona tulivyoenda 4231 tukawa vizuri, ni wakati sasa wa Fabinho kuwa main hold midfield kuhusu Lovren hakuwa na game nzuri na tunajuwa Gomez majeruhi kwa hiyo hatuna choice kwa sasa na Arnold kapata shida jana lakini huyu ni kijana mdogo sana na kajitahidi na atakuwa vizuri tu, Nataka kujiuliza tukianza matusi kwa kufungwa na City je yangetukuta ya City kufungwa tena kwake na Palace halafu Leicester sio tungeshikiana mapanga. Liverpool tuko 4 points bado ni juu yetu kushinda mechi zetu na tuchukulie hii game imepita ila yako yakujifunza, na uhakika next game katikati tutawaona Fabinho, Gini na Keita or Shaqir na uhakika na hilo. YNWA

Hivi tuna mwaka 4 tokea aje Klopp bado hatujajifunza bado una tamaa ya kuwa ipo Siku tutajifunza?

Subiri vs Bayern CL 4-3-3 ya Gini-Hendo-Milner itarudi palepale ikisha tutasema tumejifunza.
 
Mimi sio naangalia tu kama wewe, nacheza ingawa sio wa kulipwa.
Mpaka wanamfikia yeye beki maana yake kuna mtu mwingine pia hajawajibika, individual error.

Nope

individual errors ni pamoja na misplacing passes/Misjudging headers/misjudging opponents player running/putting a foot wrong/misjudging your fellow defenders offside tricks/failing to cover your strong foot side (Left/right) etc

as a player you should know, a player getting beaten on pace basis, getting beaten by a measured pass, getting pressed in tight places, failing to receive a weak ball, evading the spaces between the lines, getting caught on pacey counters etc do not amount into "individual errors"

1. Lovren failed to cover Aguero runs/turns in his strong position, instead caught ball watching

2. Lovren played Sterling ONSIDE, when his fellow defenders especially Robbo already played Sterling offside and Vacate the half line, only Lovren remained in the half-line and failed totally to judge Sterling runs and also to judge his fellow DFs offside trap.

so hizo zote ni errors za team? because City walifanikiwa kufika golini? so whats the point of playing into lines/phases/chances if "individual errors" zina-amount kwa team nzima kuwa na lack of ball possession?
 
that is soccer bro, u smile today come tommorow(like jana) n u wish t was a dream...

man how do we lose to City wt Vincent at th back lol kweli Fernadhitho sio mtu mzuri maana he ws everywhere to cover his defenders.....

Fernandinho is world class, but last season he got over-powered by OX karibia occasion zote walizokutana

leo alikuwa anacheza na school-boy midfield. so easy to dominate a midfied that cant move the ball or keep the ball under-prussure.

it was inevitable..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom