Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nyie ndio washabiki msiojielewa humu ndani.

Pumbavu zako Hendeson, Milner na Lovren hamstahil kuwa Club kubwa kama Liverpool.

Huyu Mbwa Klopp nawaambia hivi akiendeleza ukenge wa kuwalinda wachezaj wapuuzi type ya Henderson walah tutazeeka humu hata kikombe cha chai hatujabeba.

Haiwezekan mechi ndogo utupangie Fabh, Shaqir- keita alaf mechi kubwa kama ya City utupangie mbweha hawa Milner Hendo.

Hawa wapuuz walkuwa nusu watucost Uefa dhid ya Red star. Tukastruggle sana had mechi ya mwisho na Napoli.

Je huyu Klopp ni kiziwi au kipofu asiyeona hayo? Huyu mzee asipoangalia ipo siku ataishia kwa aibu zaid ya mourinho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa tunasema GINI-HENDO-MILNER hawawezi hata squad player wa Barcelona.

Na Salah-Firmono-Mane hawawezi kupata namba kwa Barcelona

Basi kuna mshabiki bora kila baada ya Mechi ttunayoshinda anakuja na comment ya Mipasho hapa kupinga kauli yetu hiyo.

Points zake hi hizi:
  • Front three wetu Salah-Firmino-Mane wanacheza panga pangua Barcelona kwa kuwaweka bench Messi-Suarez-Dembele.

  • Midgielders wetu Gini-Hendo-Milner wanacheza panga pangua Barcelona kwa kuwaweka Bench Busquet-Vidal-Arthur.
Kwahiyo anaamini kuwa Wachezaji wetu ni Bora kuliko Kikosi kizima cha Barcelona.

Huku akisahau kuwa aliyekuwa Mchezaji wetu bora COUTINHO basi kwenye kikosi cha Barcelona ni Mchezaji wa Sub.

Sasa mtu kama huyu anatwambia hatujui mpira.
mimi nahisi yule jamaa sio shabiki wa liverpool maana yupo benet sana na masnitch

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nakumbuka wakati napiga kabumbu nilikuwa najificha pia nikichoka
.....And Lovren is nothing but the most useless player to ever played for this Club

he's nearly 30 but still making the same mistakes kwa zaidi ya miaka mitano sasa at LFC, same damn mistakes

but, but, but he's a World Class CB because he played in a WC final and scored against Newcastle, club that employs and plays Isaac Hayden in the midfield

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyo anaesemaga ivyo ni mvuta bange ambayo haijachambuliwa
Huwa tunasema GINI-HENDO-MILNER hawawezi hata squad player wa Barcelona.

Na Salah-Firmono-Mane hawawezi kupata namba kwa Barcelona

Basi kuna mshabiki bora kila baada ya Mechi ttunayoshinda anakuja na comment ya Mipasho hapa kupinga kauli yetu hiyo.

Points zake hi hizi:
  • Front three wetu Salah-Firmino-Mane wanacheza panga pangua Barcelona kwa kuwaweka bench Messi-Suarez-Dembele.

  • Midgielders wetu Gini-Hendo-Milner wanacheza panga pangua Barcelona kwa kuwaweka Bench Busquet-Vidal-Arthur.
Kwahiyo anaamini kuwa Wachezaji wetu ni Bora kuliko Kikosi kizima cha Barcelona.

Huku akisahau kuwa aliyekuwa Mchezaji wetu bora COUTINHO basi kwenye kikosi cha Barcelona ni Mchezaji wa Sub.

Sasa mtu kama huyu anatwambia hatujui mpira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlianza Na De bruyne maneno hayohayo akikosekana basi Citizens kwishney, sasa mmehamia kwa Fenandinho.
Na hata msimu uliopita Liver alishinda mechi tatu mfululizo dhidi ya Citizens na huyo Mbarazil yupo ndani.
Na msimu huu kachezea vichapo vitatu yumo humohumo ndani, je utaniambiaje kwa hilo...?

Acheni kukariri Citizens anafungwa tuu kama timu zingine.

Ila klopp kayataka mwenyewe tuu, sijui huyu mdudu Hendo anampendea nini aisee yani hata kwenye mechi kubwa anashindwa kujiposition na hata kuhamasisha wachezaji wenzie.

Sent using Jamii Forums mobile app
"ila klopp kayataka mwenyewe tuu,sijui huyu mduu hendo anampendea nini aisee yani hata kwenye mechi kubwa anashindwa kujiposition na hata kuhamasisha wachezaji wenzake"hii point yako nimeipenda sana yani hendo hafai hata kuwa captain wa second eleven kwenye timu za championship league

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Bright future is coming!!! Yessss

Hata huyu Ian Doyle kwenye Liverpool Echo yao anafikia kusema maneno haya !!!!

Kwanza Kamrate Dejan Lovren 5 ha ha ha ha

"Took one for the team when booked for a foul on the rampaging Aguero, and then lost the City man for the opener. Another boob almost cost Liverpool a third later on. Quite poor

Screenshot_20190104-084102.png
 
71a82dd9-fb07-460b-a769-bd67b1f00391.jpg

Liverpool HALISI hapa nazidi sisitiza utulivu,tupo sawa sana!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
mimi nahisi yule jamaa sio shabiki wa liverpool maana yupo benet sana na masnitch

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna kauli huwa anasema na kuita kuwa kuna Kundi lake la LIVERPOOL HALISI unawajua kina nani??

Hao Kundinlao la Liverpool halisi ni Yeye, DullyJr na Ollachuga Oc

Sasa hao washabiki wa Arsenal na Chelsea ndiyo kundi analowaita LIVERPOOL HALISI na ndiyo wanaomuunga mkunu kwa kila anachoongeea.

Lakini hakuna mshabiki yoyote wa LIVERPOOL kwenye huu Uzi anayekubaliana na Mipasho yako.

Na kama huamini muulize hao LIVERPOOL HALISI wenziwe ni kina nani?
 
Man City anastahili pongezi.

Kama Klopp hajajifunza leo kwamba Gini, Hendo na Milner siyo right combination when it matters, hatakaa ajifunze tena.

Though, it Liverpool has shown the fight cementing the fact kwamba we are contenders.
Fact mkuu


Sometimes kocha ndo anaye tuharibia mbio zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom