Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

katika washangiliaji wa liverpool hopeless ndio wewe mmojawapo maana huwezi kuwepo katika list ya mashabiki wa liverpool hapa jamvini, sasa kama mwenyewe unakili kuwa katika mpira kuna mengi yanaweza kutokea na mfano ukautoa wa mimi kucheza game 22 bila kupoteza na nikaja kupoteza ,je inashindikana vipi kwako? grow up mkuu THIS IS FOOTBALL........last season simba alicheza game zote za ligi hakupoteza ila akaja kupigwa kwa mchina uwani kwake mbele ya rais na siku ya kuchukua kombe ilikuwa aibu ila ndio utamu wa soka ulipolalia
Ona umepanik sasa
Ni hivi nimekupiga tano kwa moja

Ukipaniki nakuongeze dozi

CHUKUA HII
IMG-20181229-WA0005.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ha
Jaribu kufuatilia uone, kuna nyuzi hata matokeo yawe mabaya watu hawakimbii, wanajadili wape pameenda vibaya, nini kifanyike nk. Huu ni moja ya nyuzi hizo.

Imagine kule kwenu mmekimbia na hali iko hivi, je mngekuwa na hali kama aliyopitia Man Utd hata JF msingeingia kabisa.
po sikuungi mkono hata iweje mkuu,kila jukwaa la soka humu JF lina mashabiki na washangiliaji wake........so kuwepo kwa glory hunter ni kawaida tena sana katika jukwaa lolote na hili ndilo jukwaa linaloongoza kuwepo kwa glory hunter kuliko jukwaa lolote hapa JF usione utitiri wa raia wanaojifanya washabiki wa liver msimu huu ukapagawa mkuu hao wanatokana na hii unbeaten run mliyonayo kwa sasa ngoja mpoteane ndipo utakapoamini maneno yangu,humu tutamuona Malafyale na wenzake wasiozidi watatu...........katika timu yenye washabiki wenye roho ngumu na wavumilivu basi ni ARSENAL so hakuna wa kukimbia kama nimeweza kucomment hapa nashindwaje kule.........COYG
 
Halafu unatokea Msukule From Nowhere unadai eti Unai anamsumbua Klopp 😀

Kwa Liverpool hile ya Kolo Toure, Sakho, Lovren, Moreno, Mignolet, Henderson na Original asimsumbue afanyeje 😀😀

Na Aje amsumbue na hii ya Alisson, Robbo, Fabi, Gini, Salah, Bobby, Mane na Xhaqiri 😀😀
Kwa iyo wewe una amini hii ndo Liverpool bora kuwahi kutokea kuliko Liverpool zote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
katika washangiliaji wa liverpool hopeless ndio wewe mmojawapo maana huwezi kuwepo katika list ya mashabiki wa liverpool hapa jamvini, sasa kama mwenyewe unakili kuwa katika mpira kuna mengi yanaweza kutokea na mfano ukautoa wa mimi kucheza game 22 bila kupoteza na nikaja kupoteza ,je inashindikana vipi kwako? grow up mkuu THIS IS FOOTBALL........last season simba alicheza game zote za ligi hakupoteza ila akaja kupigwa kwa mchina uwani kwake mbele ya rais na siku ya kuchukua kombe ilikuwa aibu ila ndio utamu wa soka ulipolalia
Mkuu asante mimi hopeless

Sasa nimegrow nisha kupiga 5-1

Nasubir uniambie nimature uone utapigwa ngap

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ozil ni kama mpo pungufu tu labda huyo lacazatte pia naona ni mapema sana kumlaum unai maana huu ndo msimu wake wa kwanza sina shida na kocha kwa upande wangu yapite madirisha ya usajili angalau mawili tuanze kumlaumu huyo klopp msimu wa nne huu anautafuta na huu ndo msimu ambao kaipata timu sahihi hivyo tuwape muda ,,,,, arsenal bado dhaifu sana upande wa beki 2 na 3-- 4 na 5 ushambuliz wapo vizur wapate na kiungo mmoja wa kusaidiana na torreira kuna yule dogo nilikuwa namuonya sana mbeba picha za torreira timu yake bado asiangalie ule upepo wa unbeaten vs cardif akikutana wa watu ambao wanazihitaji point 3 zao watapata matatizo kalikuwa kabishi yako wapi?

Torreira anaangushwa kama mtoto sasa .
Hii ni fact mkuu na huu ndo msimu mzuri kwa Liverpool maana kasota sana. Na asipofanya lolote la maana msimu huu basi itakuwa ni bora Klopp afukuzwe maana Timu ndo imefika kwenye Peak yake hivyo hawana budi kufanya mazuri.

Hata hivyo Unai anaitaji pongezi sana kwa sababu bado kaonesha kwamba anaweza kujenga timu yenye ushindani ndani ya EPL..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakosea unai ni mwaka wa kwanza huu klopp msimu wa 4 anautafuta bado na yeye unai anaendelea kutafuta watu wake sahihi kwa kazi aliyofanya kocha wa arsenal anastahili pongez.
Tayari amesahau struggle alizopitia misimu miwili/mitatu nyuma..

Bado Unai ni kocha mzuri sana. Hata hivyo klopp ni kocha bora pia..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napata mashaka na uelewa wako juu ya Liverpool, slogan ya "You Will Never Walk Alone" ungeacha kumuandama captain wenu kwa matusi aliewafikisha hapo mlipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
King Ngwaba haendani na slogan YNWA. Hendo ni captain na anaowaongoza Anfield wana mpa heshima. Mzaramo anapiga unyende akiwa kwenye screen .Hendo ndiye atapokea ndoo kutoka kwa Mgeni.
Hendo atapokea CL kombe 2019 may. Respect the captain.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ona umepanik sasa
Ni hivi nimekupiga tano kwa moja

Ukipaniki nakuongeze dozi

CHUKUA HIIView attachment 981014

Sent using Jamii Forums mobile app
siwezagi kupaniki katika soka mkuu,mimi ndio shabiki wa arsenal niliyecheki mpira mwanzo mwisho jana dhidi ya kundi la mashabiki wa liverpool na baada ya hapo tukaanza kujadiliana mawili matatu kuhusiana na mechi,bila kusahau kile kichapo heavy kutoka man utd 2012 na ile 6 mtungi kutoka kwa majirani zangu chelsea...... mimi ndio nilibaki bandani mpaka kipenga cha mwisho kinapigwa,kwasababu ukiacha kuwa mimi ni mshabiki nguli wa arsenal lakini mimi ni mpenzi wa soka ndio maana huwa naangalia hata game za championship.......so kuwa na amani
 
King Ngwaba haendani na slogan YNWA. Hendo ni captain na anaowaongoza Anfield wana mpa heshima. Mzaramo anapiga unyende akiwa kwenye screen .Hendo ndiye atapokea ndoo kutoka kwa Mgeni.
Hendo atapokea CL kombe 2019 may. Respect the captain.

Sent using Jamii Forums mobile app
mmechelewa sana kujua hili jambo kuhusu huyo mtu, huyo ni mshangiliaji sio mshabiki
Malafyale knows
 
ha

po sikuungi mkono hata iweje mkuu,kila jukwaa la soka humu JF lina mashabiki na washangiliaji wake........so kuwepo kwa glory hunter ni kawaida tena sana katika jukwaa lolote na hili ndilo jukwaa linaloongoza kuwepo kwa glory hunter kuliko jukwaa lolote hapa JF usione utitiri wa raia wanaojifanya washabiki wa liver msimu huu ukapagawa mkuu hao wanatokana na hii unbeaten run mliyonayo kwa sasa ngoja mpoteane ndipo utakapoamini maneno yangu,humu tutamuona Malafyale na wenzake wasiozidi watatu...........katika timu yenye washabiki wenye roho ngumu na wavumilivu basi ni ARSENAL so hakuna wa kukimbia kama nimeweza kucomment hapa nashindwaje kule.........COYG

Hill jukwaa mashabiki niliokuwa nawaona kila daily tangu liver inasota mpaka leo ni watatu tu.

Lakini sasa naona kundi jipya kabisa la mashabiki na sijui muda wote walikuwaga wapi ..hongera nyingi ziende kwake Malafyale kama shabiki bora wa Liverpool kwake hali zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hongereni kwa ushindi mkubwa wana liverpool hakika ilikuwa ni worst defeat kwa sisi mashabiki wa GUNNERS ,bila kupepesa macho mpo vizuri kwa sasa mpo na form nzuri na ari ya ushindani kuanzia wachezaji,kocha mpaka mashabiki wenu.......ama kweli ilikuwa rekodi nzuri sana kwenu na mbaya kwetu.Jambo nililoliamini ni kwamba kweli Mungu ni wa wote maana haangalii huyu yupo katika hali gani nimpe hiki bali anagawa rizki bila kuangalia yaani kwa liverpool hii iliyobarikiwa kila kitu na bado anaipa na bahati juu....kweli mwenye nacho ataongezewa.....All in all yaliyopita si ndwele tugange yajayo tumepoteza game ya 5 mwaka huu 4 zikiwa za ligi so mapambano yanaendelea ,mpira ni mchezo wa makosa na adui anatumia madhaifu yako kukuadhibu ,timu yangu haipo balanced hilo linafahamika na mumefanikiwa kutumia madhaifu niliyonayo kuniadhibu...................naamini kocha wangu atalitumia vema dirisha hili kurekebisha na kuziba mapengo yaliyopo na tutarudi vizuri...........

hongera King Ngwaba Don Clericuzio nguvu Malafyale MosDef ipogolo zumbemkuu Janjaweed MASAMILA na wanaliverpool wooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooteeeeeeeeeeeeeeeeeee

hakika leo mtakuwa mmepata usingizi mzuri sanaaaaaaaaa

Tuombe Mungu atupe uzima na afya wote humu jamvini ili tuweze kufika may salama ili tufunge hesabu.


ASUBUHI NJEMA.

THIS IS FOOTBALL.
Asante @Dullyjr.huo ndio ukomavu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tayari amesahau struggle alizopitia misimu miwili/mitatu nyuma..

Bado Unai ni kocha mzuri sana. Hata hivyo klopp ni kocha bora pia..

Sent using Jamii Forums mobile app
wajiulize klopp ana msimu wa ngapi EPL na unai ana msimu wa ngapi? na wajijibu wenyewe klopp amebeba kombe gani mpaka sasa ndio waje kumlinganisha na unai.....waache kulewa ushindi ushindi wafikilie zaidi mafanikio ya msimu kuliko kulewa na mafanikio ya mechi
 
katika soka mkuu kuna saplaiz nyingi sana usikute hata hao unaowasema wewe hapo ukawapiga vizuri tu ukaja kupigwa na everton,cardiff hata fulham soka soka soka shikamoo soka sikuamini siku barca anavyokufa pale nou camp dhidi ya real betis tena kichapo heavy wakati real madrid amegongwa 5 na barca huyohuyo
Kweli Dully. Maajabu katika futboli yapo
Liverpool mlimtabiria September atafungwa( hakupoteza) mkahamia October ( akapeta) Mkarukia December kabla ya xmass ( akapenya) mkasema arsenal atamsimamisha( jana umeshuhudia ngwede moja)
Anzeni utabiri mpya(2019).
Happy New year Dully.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom