BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,911
- 11,729
Ona umepanik sasakatika washangiliaji wa liverpool hopeless ndio wewe mmojawapo maana huwezi kuwepo katika list ya mashabiki wa liverpool hapa jamvini, sasa kama mwenyewe unakili kuwa katika mpira kuna mengi yanaweza kutokea na mfano ukautoa wa mimi kucheza game 22 bila kupoteza na nikaja kupoteza ,je inashindikana vipi kwako? grow up mkuu THIS IS FOOTBALL........last season simba alicheza game zote za ligi hakupoteza ila akaja kupigwa kwa mchina uwani kwake mbele ya rais na siku ya kuchukua kombe ilikuwa aibu ila ndio utamu wa soka ulipolalia
Ni hivi nimekupiga tano kwa moja
Ukipaniki nakuongeze dozi
CHUKUA HII
Sent using Jamii Forums mobile app