Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii ni fact mkuu na huu ndo msimu mzuri kwa Liverpool maana kasota sana. Na asipofanya lolote la maana msimu huu basi itakuwa ni bora Klopp afukuzwe maana Timu ndo imefika kwenye Peak yake hivyo hawana budi kufanya mazuri.

Hata hivyo Unai anaitaji pongezi sana kwa sababu bado kaonesha kwamba anaweza kujenga timu yenye ushindani ndani ya EPL..

Sent using Jamii Forums mobile app
mambo mengine yanashangaza hivi kati ya liverpool na arsenal nani kasota sana!!?
 
Hill jukwaa mashabiki niliokuwa nawaona kila daily tangu liver inasota mpaka leo ni watatu tu.

Lakini sasa naona kundi jipya kabisa la mashabiki na sijui muda wote walikuwaga wapi ..hongera nyingi ziende kwake Malafyale kama shabiki bora wa Liverpool kwake hali zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Binadamu hawazaliwi siku moja. Sio wote tulimuona Nyerere akipigania Uhuru wa Tanganyika miaka 59 iliyopita. Lakini tunashangilia Uhuru wetu leo.
Labda walikuwa shule, hawakuwa na " touch" bundle, walikuwa vijijini hakuna Umeme. Sababu zipo tele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hill jukwaa mashabiki niliokuwa nawaona kila daily tangu liver inasota mpaka leo ni watatu tu.

Lakini sasa naona kundi jipya kabisa la mashabiki na sijui muda wote walikuwaga wapi ..hongera nyingi ziende kwake Malafyale kama shabiki bora wa Liverpool kwake hali zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo hali ipo kote ila hapa imezidi sana mkuu tofauti kabisa na chelsea,man utd na arsenal bigup mliverpool halisi Malafyale , ipogolo na wengineo ila hawa liverchipolopolo muwe nao makini sana
 
mambo mengine yanashangaza hivi kati ya liverpool na arsenal nani kasota sana!!?
duh mkuu wewe unavyojua liverpool mara ya mwisho kubeba ligikuu ilikuwa lini na arsenal ilikuwa lini?maana hapa hoja zetu zimelalia katika ligikuu.......ukijibu hilo ndio utuambie kilichokuchekesha ni nini.Ila wewe ni miongoni mwa mashabiki wa kweli wa liverpool japokuwa umepotea sana siku hizi umewaacha Malafyale ,MASAMILA , na ipogolo wanapambania timu yao humu
 
Binadamu hawazaliwi siku moja. Sio wote tulimuona Nyerere akipigania Uhuru wa Tanganyika miaka 59 iliyopita. Lakini tunashangilia Uhuru wetu leo.
Labda walikuwa shule, hawakuwa na " touch" bundle, walikuwa vijijini hakuna Umeme. Sababu zipo tele.

Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahahahahahahahahahaaaaaaa tatizo halipo kwa hawa wapya tatizo lipo kwa wale glory hunter nafikiri umenielewa maana kila siku watu wanazaliwa na washabiki wa soka wanaongezeka ila kuna wale wenye vijicho wanachungulia ikiwa timu ipo good maneno mengi ikiharibu wanakuwa hawana bundle,wanakimbilia vijijini na visababu vingine tele........
 
duh mkuu wewe unavyojua liverpool mara ya mwisho kubeba ligikuu ilikuwa lini na arsenal ilikuwa lini?maana hapa hoja zetu zimelalia katika ligikuu.......ukijibu hilo ndio utuambie kilichokuchekesha ni nini.
alieyetoa hoja ya ligi kuu ni nani??liverpool kama zilivyotimu nyingine nia yake kuu ni kuchukua makombe yote inayoshiriki,haijalishi ni ligi kuu au carabao..unajua kwetu sisi mashabiki kikubwa tunachokitaka kutoka kwenye timu ni furaha maana kama timu ikipata pesa nyingi mimi sifaidiki na chochote kikubwa nipate furaha tu,ican guarantee you pamoja na kwamba sijabeba hilo kombe lako unalosema ila mimi shabiki wa liverpool ninafuraha miaka yote kuliko shabiki wa arsenal...mafanikio katika mpira sio kubeba kombe tu bali kuwa mshindani wa kweli..nmecheza fainali uefa,nimebeba uefa kombe ambalo timu yenu haijawa kuliona live mnaliona kwenye tv,nmecheza fainali ueropa league,nmekua contender wa ubingwa wa ligi mara kadhaa...nadhani furaha tunayoipata kutoka kwenye timu ndo kitu pekee kinatufanya tuendelee kuzipenda timu zetu..
 
Binadamu hawazaliwi siku moja. Sio wote tulimuona Nyerere akipigania Uhuru wa Tanganyika miaka 59 iliyopita. Lakini tunashangilia Uhuru wetu leo.
Labda walikuwa shule, hawakuwa na " touch" bundle, walikuwa vijijini hakuna Umeme. Sababu zipo tele.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni sababu nyepesi sana. Mkianza kupoteana muwepo pia.

Sio kuondoka na kumwachia jukwaa Malafyale au King gwabwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wajiulize klopp ana msimu wa ngapi EPL na unai ana msimu wa ngapi? na wajijibu wenyewe klopp amebeba kombe gani mpaka sasa ndio waje kumlinganisha na unai.....waache kulewa ushindi ushindi wafikilie zaidi mafanikio ya msimu kuliko kulewa na mafanikio ya mechi
...tuahirishe kushangilia ushindi wa kumpiga mkono the Gono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahahahahahahahahahahaaaaaaa tatizo halipo kwa hawa wapya tatizo lipo kwa wale glory hunter nafikiri umenielewa maana kila siku watu wanazaliwa na washabiki wa soka wanaongezeka ila kuna wale wenye vijicho wanachungulia ikiwa timu ipo good maneno mengi ikiharibu wanakuwa hawana bundle,wanakimbilia vijijini na visababu vingine tele........
Roho nyepesi shehe. Shuhudia akina KING wanavyoshambulia Hendo. Origi, lalana nk.
Klop mwenyewe tunamkosoa hajui kupanga team, hajui sub ( wanasahau super sub ya Origi na Sturridge). Ndio mashabiki@Dully.
Haaaaaaaahaaaaaaaahaaaaaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtaongea lugha zote, Mkono a.k.a Hamsa utabaki palepale
wajiulize klopp ana msimu wa ngapi EPL na unai ana msimu wa ngapi? na wajijibu wenyewe klopp amebeba kombe gani mpaka sasa ndio waje kumlinganisha na unai.....waache kulewa ushindi ushindi wafikilie zaidi mafanikio ya msimu kuliko kulewa na mafanikio ya mechi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
King Ngwaba haendani na slogan YNWA. Hendo ni captain na anaowaongoza Anfield wana mpa heshima. Mzaramo anapiga unyende akiwa kwenye screen .Hendo ndiye atapokea ndoo kutoka kwa Mgeni.
Hendo atapokea CL kombe 2019 may. Respect the captain.

Sent using Jamii Forums mobile app

Anapewa heshima na Nani Wakati Mechi Kubwa Anaanzia Benchi?

Kila Mchezaji Wa Liverpool anapigania aanze Mechi ya Liverpool vs Man United lakini yeye Kaishia Kuwarm bench akaingia Sub..

Mechi ya Jana na Arsenal pia kaishia Kuanzia Bench wakati ni big Match..

Sasa kama kumkosea heshima basi ni Kocha ndiye anayemkosesha Heshima kwa Kumuanzisha kwenye Mechi za Kina Cardiff na Fulham, Huku akimueka Benchi kwenye Mechi Kubwa na Muhimu.

Kiongozi mzuri ni yule anayeoongoza Wenzake kwenye Mapambano Mazito, sio kuongoza kwenye Vibonde tu.

Sijengi Picha Akipona Chamberlain huyu Fake Captain sijui ataishia wapi 😀😀

Coz kwenye Nafasi ya GINI na FABINHO sasa haigusiki 😀😀

Na ambayo anashikashika kwa sasa ni Namba 8 ambayo mwenyewe Chamberlain ameshaanza kufanya Mazoezi 😀😀

Soon tutaona GINI - FABINHO - CHAMBAERLAIN



Hendo ni Captain Wa Kikosi cha Hakiba 😀😀
 
hongereni kwa ushindi mkubwa wana liverpool hakika ilikuwa ni worst defeat kwa sisi mashabiki wa GUNNERS ,bila kupepesa macho mpo vizuri kwa sasa mpo na form nzuri na ari ya ushindani kuanzia wachezaji,kocha mpaka mashabiki wenu.......ama kweli ilikuwa rekodi nzuri sana kwenu na mbaya kwetu.Jambo nililoliamini ni kwamba kweli Mungu ni wa wote maana haangalii huyu yupo katika hali gani nimpe hiki bali anagawa rizki bila kuangalia yaani kwa liverpool hii iliyobarikiwa kila kitu na bado anaipa na bahati juu....kweli mwenye nacho ataongezewa.....All in all yaliyopita si ndwele tugange yajayo tumepoteza game ya 5 mwaka huu 4 zikiwa za ligi so mapambano yanaendelea ,mpira ni mchezo wa makosa na adui anatumia madhaifu yako kukuadhibu ,timu yangu haipo balanced hilo linafahamika na mumefanikiwa kutumia madhaifu niliyonayo kuniadhibu...................naamini kocha wangu atalitumia vema dirisha hili kurekebisha na kuziba mapengo yaliyopo na tutarudi vizuri...........

hongera King Ngwaba Don Clericuzio nguvu Malafyale MosDef ipogolo zumbemkuu Janjaweed MASAMILA na wanaliverpool wooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooteeeeeeeeeeeeeeeeeee

hakika leo mtakuwa mmepata usingizi mzuri sanaaaaaaaaa

Tuombe Mungu atupe uzima na afya wote humu jamvini ili tuweze kufika may salama ili tufunge hesabu.


ASUBUHI NJEMA.

THIS IS FOOTBALL.
hongera na wewe kwa speech nzuri yenye maana halisi ya ushabiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najaribu kujiuliza lakini sipati jibu sahihi .......... Sijui ingekuwaje humu Endapo Arsenal angepata matokeo hata ya Sare Anfield.
DULLYJR
AARON
wangeweka kambi humu wiki nzima
 
Ile ratiba ngumu D O N E
IMG_20181230_123343.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom