Stephen M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 372
- 379
Napata mashaka na uelewa wako juu ya Liverpool, slogan ya "You Will Never Walk Alone" ungeacha kumuandama captain wenu kwa matusi aliewafikisha hapo mlipo.Na Kikubwa Zaidi kinachonipa furaha Ni Kumuona Huyu Fake Captain Wetu anaanza kulizoea Bench kidogokidogo![]()
![]()
Yani Captain mzima sasa hana uhakika Wa Kuanza 😀😀
Sent using Jamii Forums mobile app