Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_4826.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 


Ratiba yetu ya December:

1) Liverpool 1 - 0 Everton (EPL)

2) Burnley 1 - 3 Liverpool (EPL)

3) Bournemouth 0 - 4 Liverpool (EPL)

4) Liverpool 1 - 0 Naples (UCL)

5) Liverpool 3 - 1 Manure (EPL)

6) Wolverhampton 0 - 2 Liverpool (EPL)

7) Liverpool 4 - 0 Newcastle (EPL)

8) Liverpool 5 - 1 Arsenal (EPL)

• Katika Michezo 8 tuliyocheza kwa Siku 28 za December tumeshinda yote.

• Kati ya Michezo hiyo 8, Ni 7 kati yao ya EPL ambayo tumejikusanyia Points zote 21/21 (100%).

Na Mchezo mmoja Wa UCL ambao tumecheza dhidi ya Naples na tumemfunga.
Masterclass🙌🏻🙌🏻
 
Halafu unatokea Msukule From Nowhere unadai eti Unai anamsumbua Klopp 😀

Kwa Liverpool hile ya Kolo Toure, Sakho, Lovren, Moreno, Mignolet, Henderson na Original asimsumbue afanyeje 😀😀

Na Aje amsumbue na hii ya Alisson, Robbo, Fabi, Gini, Salah, Bobby, Mane na Xhaqiri 😀😀
 


Ratiba yetu ya December:

1) Liverpool 1 - 0 Everton (EPL)

2) Burnley 1 - 3 Liverpool (EPL)

3) Bournemouth 0 - 4 Liverpool (EPL)

4) Liverpool 1 - 0 Naples (UCL)

5) Liverpool 3 - 1 Manure (EPL)

6) Wolverhampton 0 - 2 Liverpool (EPL)

7) Liverpool 4 - 0 Newcastle (EPL)

8) Liverpool 5 - 1 Arsenal (EPL)

• Katika Michezo 8 tuliyocheza kwa Siku 28 za December tumeshinda yote.

• Kati ya Michezo hiyo 8, Ni 7 kati yao ya EPL ambayo tumejikusanyia Points zote 21/21 (100%).

Na Mchezo mmoja Wa UCL ambao tumecheza dhidi ya Naples na tumemfunga.
tunaelekea pazuri, vijana wanasikiliza walimu wa kila idara na hatimae upangaji wa kikosi upo safi kabisa...

VVD anatoa maelekezo pia kwa mabeki wenzie na wanaelewana sana maana bila ukuta imara nyumba itaanguka tu hata uchapie vipi mvua kidogo unaanza kuhaha lakini kwa sasa ukuta wa Liverpool ni tulivu na timu inakua tulivu...

Yajayo yanafurahisha...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom