DullyJr ,
Ollachuga Oc na Mwenyeji wenu ambaye ni Mshabiki wa Liverpool
ipogolo
Mtaongea Mengi Mwaka Huu!
Sasa Mumeacha Kuzungumzia Mpira Munafanya Mashambulizi kwa Washabiki Wa Liverpool.
Mimi Na Wataka Makombe Wenzangu Hatujutii tuliyoyafanya tokea Msimu Wa Mwanzo Wa Klopp! Mambo tuliyoyafanya ni:
1) Tulimkataa
BENTEKE tukashambuliwa na kuitwa Wasiliti, lakini hatimae Klopp kamuondoshwa.. Kwahiyo Klopp kaungana na sisi kwenye usaliti Wa Timu.
2) Tuliwakataa
Sakho, Moreno, Klavan na Lovren kuwa si Mabeki ni Wabovu wanatufungisha! Tukaitwa wasaliti! Hatimae Klopp Kawaondosha Sakho na Klavan, Na Moreno na Lovren kawaeka pembeni! Lovren sasahivi anacheza kwasababu wenyewe GOMEN na MATIP ni injury.
Kwahiyo hapa pia Klopp Kaungana na sisi katika usaliti.
3) Tuliwakataa
Mignolet na Karius na tukasema ni Wabovu wanatufungisha! Tukaitwa wasaliti! Kwahiyo Klopp kaungana na sisi katika Usaliti kwa Kumleta
ALISSON.
4) Tulilia sana kuwa Kiungo Mkabaji halisi ni
FABINHO na si
HENDERSON! Tukaitwa Wasaliti! Sasa Klopp ameshirikiana na sisi kwenye Usaliti kwani Anamchezesha FABINHO tuliyempigia kelele.
Hao wote tuliowalilia hapo juu tuliambiwa Kuwa sisi
Hatujui Soccer Management.
Kwahiyo Kitendo cha Klopp Kutompanga
Mignolet golini, Na Kutomchezesha
Moreno beki 3, na Kuwaondosha
Klavan na Lovren kwenye Beki 4 na 5, na kumchezesha
FABINHO namba 6! Ni kwamba na Klopp pia Hajui tens Soccer Management!.
Hivi mpaka leo Kikosi Hichi kingelikuwa
FIRMINO - BENTEKE - MANE
LALLANA - HENDO - GINI
MORENO - KLAVAN - LOVREN - CLYNE
MIGNOLET
Hao waliokuwa Wakituita Sisi kuwa NI WASALITI na HATUJUI KITU leo hii wangeliyaona haya?
Au hawajui kuwa PRESSURE kutoka Dunia Nzima za WASHABIKI KAMA SISI LIVERPUDLIANS DIE HARD FANS ndiyo kilichomfanya Klopp akawanunua kina ALISSON, VVD, ROBERTSON, SALAH, XHAQIRI, FABINHO na KEITA ?
Kwa Usaliti huu Wa Kutaka Mafanikio basi bora Niwe Msaliti Siku Zote.
Na Kwa Upenzi Wa Kukubali Vipigo Kama Misimu Miwili na Nusu ya Klopp iliyopita kisa tu eti Niwakubali Wachezaji Hata Kama Wabovu! Basi Sitokuwa na Upenzi huo.