Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

hongereni kwa ushindi mkubwa wana liverpool hakika ilikuwa ni worst defeat kwa sisi mashabiki wa GUNNERS ,bila kupepesa macho mpo vizuri kwa sasa mpo na form nzuri na ari ya ushindani kuanzia wachezaji,kocha mpaka mashabiki wenu.......ama kweli ilikuwa rekodi nzuri sana kwenu na mbaya kwetu.Jambo nililoliamini ni kwamba kweli Mungu ni wa wote maana haangalii huyu yupo katika hali gani nimpe hiki bali anagawa rizki bila kuangalia yaani kwa liverpool hii iliyobarikiwa kila kitu na bado anaipa na bahati juu....kweli mwenye nacho ataongezewa.....All in all yaliyopita si ndwele tugange yajayo tumepoteza game ya 5 mwaka huu 4 zikiwa za ligi so mapambano yanaendelea ,mpira ni mchezo wa makosa na adui anatumia madhaifu yako kukuadhibu ,timu yangu haipo balanced hilo linafahamika na mumefanikiwa kutumia madhaifu niliyonayo kuniadhibu...................naamini kocha wangu atalitumia vema dirisha hili kurekebisha na kuziba mapengo yaliyopo na tutarudi vizuri...........

hongera King Ngwaba Don Clericuzio nguvu Malafyale MosDef ipogolo zumbemkuu Janjaweed MASAMILA na wanaliverpool wooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooteeeeeeeeeeeeeeeeeee

hakika leo mtakuwa mmepata usingizi mzuri sanaaaaaaaaa

Tuombe Mungu atupe uzima na afya wote humu jamvini ili tuweze kufika may salama ili tufunge hesabu.


ASUBUHI NJEMA.

THIS IS FOOTBALL.
Sportsmanship

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa niaba ya Arsenal EPL wana mda hawajabeba, lakini vikombe vingine wamebeba. FA, community shield..

Sasa wewe Liverpool una misimu mingap hujabeba kombe lolote lile?

Sent using Jamii Forums mobile app
kama wewe si shabiki wa arsenal sina haja ya kujibizana na wewe...😀😇😀so wewe ni shabiki wa chelshit 😀😀😀 timu iliyokaa miaka zaidi ya 100 kabla haijabeba epl!!do me a fevaor bro..kabishane na nottingham forest ndo size yako em too huge for you!!
 
Hill jukwaa mashabiki niliokuwa nawaona kila daily tangu liver inasota mpaka leo ni watatu tu.

Lakini sasa naona kundi jipya kabisa la mashabiki na sijui muda wote walikuwaga wapi ..hongera nyingi ziende kwake Malafyale kama shabiki bora wa Liverpool kwake hali zote.

Sent using Jamii Forums mobile app

DullyJr , Ollachuga Oc na Mwenyeji wenu ambaye ni Mshabiki wa Liverpool ipogolo

Mtaongea Mengi Mwaka Huu!

Sasa Mumeacha Kuzungumzia Mpira Munafanya Mashambulizi kwa Washabiki Wa Liverpool.

Mimi Na Wataka Makombe Wenzangu Hatujutii tuliyoyafanya tokea Msimu Wa Mwanzo Wa Klopp! Mambo tuliyoyafanya ni:

1) Tulimkataa BENTEKE tukashambuliwa na kuitwa Wasiliti, lakini hatimae Klopp kamuondoshwa.. Kwahiyo Klopp kaungana na sisi kwenye usaliti Wa Timu.

2) Tuliwakataa Sakho, Moreno, Klavan na Lovren kuwa si Mabeki ni Wabovu wanatufungisha! Tukaitwa wasaliti! Hatimae Klopp Kawaondosha Sakho na Klavan, Na Moreno na Lovren kawaeka pembeni! Lovren sasahivi anacheza kwasababu wenyewe GOMEN na MATIP ni injury.
Kwahiyo hapa pia Klopp Kaungana na sisi katika usaliti.

3) Tuliwakataa Mignolet na Karius na tukasema ni Wabovu wanatufungisha! Tukaitwa wasaliti! Kwahiyo Klopp kaungana na sisi katika Usaliti kwa Kumleta ALISSON.

4) Tulilia sana kuwa Kiungo Mkabaji halisi ni FABINHO na si HENDERSON! Tukaitwa Wasaliti! Sasa Klopp ameshirikiana na sisi kwenye Usaliti kwani Anamchezesha FABINHO tuliyempigia kelele.

Hao wote tuliowalilia hapo juu tuliambiwa Kuwa sisi Hatujui Soccer Management.

Kwahiyo Kitendo cha Klopp Kutompanga Mignolet golini, Na Kutomchezesha Moreno beki 3, na Kuwaondosha Klavan na Lovren kwenye Beki 4 na 5, na kumchezesha FABINHO namba 6! Ni kwamba na Klopp pia Hajui tens Soccer Management!.

Hivi mpaka leo Kikosi Hichi kingelikuwa

FIRMINO - BENTEKE - MANE

LALLANA - HENDO - GINI

MORENO - KLAVAN - LOVREN - CLYNE

MIGNOLET
Hao waliokuwa Wakituita Sisi kuwa NI WASALITI na HATUJUI KITU leo hii wangeliyaona haya?

Au hawajui kuwa PRESSURE kutoka Dunia Nzima za WASHABIKI KAMA SISI LIVERPUDLIANS DIE HARD FANS ndiyo kilichomfanya Klopp akawanunua kina ALISSON, VVD, ROBERTSON, SALAH, XHAQIRI, FABINHO na KEITA ?

Kwa Usaliti huu Wa Kutaka Mafanikio basi bora Niwe Msaliti Siku Zote.

Na Kwa Upenzi Wa Kukubali Vipigo Kama Misimu Miwili na Nusu ya Klopp iliyopita kisa tu eti Niwakubali Wachezaji Hata Kama Wabovu! Basi Sitokuwa na Upenzi huo.
 
kama wewe si shabiki wa arsenal sina haja ya kujibizana na wewe...so wewe ni shabiki wa chelshit timu iliyokaa miaka zaidi ya 100 kabla haijabeba epl!!do me a fevaor bro..kabishane na nottingham forest ndo size yako em too huge for you!!
Unatakiwa useme una misimu mingipa unapita hola bila kombe ..achana na maswala ya cjui miaka 100 uko ayo yalishapa maana makombe tumechukua.

Sasa wewe Sema una misimu ngap unatoka mikono mitupi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa iyo wewe una amini hii ndo Liverpool bora kuwahi kutokea kuliko Liverpool zote?

Sent using Jamii Forums mobile app

From 1992 mpaka sasahivi hii Ndiyo Liverpool bora Zaidi Kuwahi Kutokea iwapo tu Itabeba Kombe la EPL.

Kwani Mimi Naupima ubora Wa timu na Ubora Wa Kocha Kwa Makombe na si Vyenginevyo

Kwasasa Liverpool ya miaka ya 1970s mpaka 1991 itabakia kuwa Ni Liverpool bora zaidi kuwahi kutokea Dunia hii koz ina Makombe 18 ya Ligi na CL 4.

Itakuwa Ni ajabu kusema Liverpool hii yenye Zero Trophy kuwa Ni bora kisa tu imecheza Michezo 20 bila ya Kufungwa.

Na nitakuwa Ni Mtu Wa Ajabu Kusema Kuwa Klopp Ni Kocha Bora Wa Liverpool kuliko BENITEZ..

Hapo nitakuwa namvunjia Heshima Benitez Kwasababu Benitez Katupatia CL ambayo Ni kipimo cha Mafanikio.

Klopp Siku akitupa CL au EPL ndiyo nitakuja Hapa Kutamka Kuwa "KLOPP IS WORLD CLASS COACH".

Mimi Naheshimu sana Makocha Wenye Makombe Kwenye Timu zao.

CONCLUSION: LIVERPOOL HII NI YA KAWAIDA TU KWASASA MPAKA PALE ITAKAPOTULETEA KOMBE.

MY TAKE: MKUU MPIRA NI MAKOMBE TU NA SI JENGINE! AU UNABISHA?
 
hakuna cha sportmanship,inamaana ameuona mpira wa liverpool baada ya kufungwa...he is a failure..kama huwezi kushindana nao una ungana nao ndicho alichokifanya huyo jamaa.
Bora yeye amekubali sisi ni bora zaidi nnao huku mashabiki wa aseno bado wanasema tumebahatisha kwa kubebwa na refa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DullyJr , Ollachuga Oc na Mwenyeji wenu ambaye ni Mshabiki wa Liverpool ipogolo

Mtaongea Mengi Mwaka Huu!

Sasa Mumeacha Kuzungumzia Mpira Munafanya Mashambulizi kwa Washabiki Wa Liverpool.

Mimi Na Wataka Makombe Wenzangu Hatujutii tuliyoyafanya tokea Msimu Wa Mwanzo Wa Klopp! Mambo tuliyoyafanya ni:

1) Tulimkataa BENTEKE tukashambuliwa na kuitwa Wasiliti, lakini hatimae Klopp kamuondoshwa.. Kwahiyo Klopp kaungana na sisi kwenye usaliti Wa Timu.

2) Tuliwakataa Sakho, Moreno, Klavan na Lovren kuwa si Mabeki ni Wabovu wanatufungisha! Tukaitwa wasaliti! Hatimae Klopp Kawaondosha Sakho na Klavan, Na Moreno na Lovren kawaeka pembeni! Lovren sasahivi anacheza kwasababu wenyewe GOMEN na MATIP ni injury.
Kwahiyo hapa pia Klopp Kaungana na sisi katika usaliti.

3) Tuliwakataa Mignolet na Karius na tukasema ni Wabovu wanatufungisha! Tukaitwa wasaliti! Kwahiyo Klopp kaungana na sisi katika Usaliti kwa Kumleta ALISSON.

4) Tulilia sana kuwa Kiungo Mkabaji halisi ni FABINHO na si HENDERSON! Tukaitwa Wasaliti! Sasa Klopp ameshirikiana na sisi kwenye Usaliti kwani Anamchezesha FABINHO tuliyempigia kelele.

Hao wote tuliowalilia hapo juu tuliambiwa Kuwa sisi Hatujui Soccer Management.

Kwahiyo Kitendo cha Klopp Kutompanga Mignolet golini, Na Kutomchezesha Moreno beki 3, na Kuwaondosha Klavan na Lovren kwenye Beki 4 na 5, na kumchezesha FABINHO namba 6! Ni kwamba na Klopp pia Hajui tens Soccer Management!.

Hivi mpaka leo Kikosi Hichi kingelikuwa

FIRMINO - BENTEKE - MANE

LALLANA - HENDO - GINI

MORENO - KLAVAN - LOVREN - CLYNE

MIGNOLET
Hao waliokuwa Wakituita Sisi kuwa NI WASALITI na HATUJUI KITU leo hii wangeliyaona haya?

Au hawajui kuwa PRESSURE kutoka Dunia Nzima za WASHABIKI KAMA SISI LIVERPUDLIANS DIE HARD FANS ndiyo kilichomfanya Klopp akawanunua kina ALISSON, VVD, ROBERTSON, SALAH, XHAQIRI, FABINHO na KEITA ?

Kwa Usaliti huu Wa Kutaka Mafanikio basi bora Niwe Msaliti Siku Zote.

Na Kwa Upenzi Wa Kukubali Vipigo Kama Misimu Miwili na Nusu ya Klopp iliyopita kisa tu eti Niwakubali Wachezaji Hata Kama Wabovu! Basi Sitokuwa na Upenzi huo.
Ni kweli mumejenga timu na matunda yanaonekana. Apo Klopp anahitaji pongezi za kutosha

Kwanini mliwanunua wachezaji ambao hamkuwa na future nao? Moreno mpka analalamika ubaguzi wa klopp unazani hilo liko sawa??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama wewe si shabiki wa arsenal sina haja ya kujibizana na wewe...😀😇😀so wewe ni shabiki wa chelshit 😀😀😀 timu iliyokaa miaka zaidi ya 100 kabla haijabeba epl!!do me a fevaor bro..kabishane na nottingham forest ndo size yako em too huge for you!!

Mkuu dah! Umewakosea heshima sana Nottingham Forest Wazee Wa Misituni kwa Kuwafananisha na Chelsea!!

Wana CL 2 hawa Wakata Misitu
 
Msalimie Emre Can na Coutinho
Sijui wanajisikiaje huko thamani yao ilikua kubwa sanaaa wakajifanya wanaweza kuishi popote wakasahau Liverpool ndo iliowang`arisha laana iwatafune hadi wajenkuomna radhi.

Naamin Faby kaja baada ya Can kuringa.
 
DullyJr , Ollachuga Oc na Mwenyeji wenu ambaye ni Mshabiki wa Liverpool ipogolo

Mtaongea Mengi Mwaka Huu!

Sasa Mumeacha Kuzungumzia Mpira Munafanya Mashambulizi kwa Washabiki Wa Liverpool.

Mimi Na Wataka Makombe Wenzangu Hatujutii tuliyoyafanya tokea Msimu Wa Mwanzo Wa Klopp! Mambo tuliyoyafanya ni:

1) Tulimkataa BENTEKE tukashambuliwa na kuitwa Wasiliti, lakini hatimae Klopp kamuondoshwa.. Kwahiyo Klopp kaungana na sisi kwenye usaliti Wa Timu.

2) Tuliwakataa Sakho, Moreno, Klavan na Lovren kuwa si Mabeki ni Wabovu wanatufungisha! Tukaitwa wasaliti! Hatimae Klopp Kawaondosha Sakho na Klavan, Na Moreno na Lovren kawaeka pembeni! Lovren sasahivi anacheza kwasababu wenyewe GOMEN na MATIP ni injury.
Kwahiyo hapa pia Klopp Kaungana na sisi katika usaliti.

3) Tuliwakataa Mignolet na Karius na tukasema ni Wabovu wanatufungisha! Tukaitwa wasaliti! Kwahiyo Klopp kaungana na sisi katika Usaliti kwa Kumleta ALISSON.

4) Tulilia sana kuwa Kiungo Mkabaji halisi ni FABINHO na si HENDERSON! Tukaitwa Wasaliti! Sasa Klopp ameshirikiana na sisi kwenye Usaliti kwani Anamchezesha FABINHO tuliyempigia kelele.

Hao wote tuliowalilia hapo juu tuliambiwa Kuwa sisi Hatujui Soccer Management.

Kwahiyo Kitendo cha Klopp Kutompanga Mignolet golini, Na Kutomchezesha Moreno beki 3, na Kuwaondosha Klavan na Lovren kwenye Beki 4 na 5, na kumchezesha FABINHO namba 6! Ni kwamba na Klopp pia Hajui tens Soccer Management!.

Hivi mpaka leo Kikosi Hichi kingelikuwa

FIRMINO - BENTEKE - MANE

LALLANA - HENDO - GINI

MORENO - KLAVAN - LOVREN - CLYNE

MIGNOLET
Hao waliokuwa Wakituita Sisi kuwa NI WASALITI na HATUJUI KITU leo hii wangeliyaona haya?

Au hawajui kuwa PRESSURE kutoka Dunia Nzima za WASHABIKI KAMA SISI LIVERPUDLIANS DIE HARD FANS ndiyo kilichomfanya Klopp akawanunua kina ALISSON, VVD, ROBERTSON, SALAH, XHAQIRI, FABINHO na KEITA ?

Kwa Usaliti huu Wa Kutaka Mafanikio basi bora Niwe Msaliti Siku Zote.

Na Kwa Upenzi Wa Kukubali Vipigo Kama Misimu Miwili na Nusu ya Klopp iliyopita kisa tu eti Niwakubali Wachezaji Hata Kama Wabovu! Basi Sitokuwa na Upenzi huo.
Wameshindwa hoja sasa wanaleta vioja! Hakuna mtu kamili hata klopp na yeye hajakamiliki like the rest of us, so sometimes anakosea tu na anahitaji kurekebishwa.
So what i see here when you give your opinion about our team in a positive way unaambiwa unamfundisha kocha kazi, everybody is entitled to their opinions and thats a fact.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom