Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Form ya Klopp na Vijana wake mara nyingi imekuwa nzur sana From February to April na kwa sasa Tunachokiona Kikubwa ni level of fitness ya wachezaj wetu dhidi ya wapinzan haswa katika kipindi hiki cha michezo ming kazi nzur ya Kiongoz mkuu wa Utimamu wa Mwili Andreas Kornmayer,meneja wa Uwezo wa kimichezo na matibabu mwili Philipp Jacobsen,Kiongoz wa Rutuba mwili ya vyakula Mona Nemmer,Daktar wa team Andy Massey,Kiongoz mkuu fizikia Lee Nobes wamefanya kazi nzur na mujarabu sana mpaka sasa na hata zile injury zimekuwa chache na ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho kama kawaida tunapitia upande wa trent

Kola na auba au kola na iwobi watamgawana trent. Ili mmoja apite na kupiga V PASS kwaajir ya kumaliza shughuli


Mazoez yanayoendelea sasa hiv ni hayo , laca atakuwepo kusumbua bek zenu

Katikat atakuwepo muhun xhaka na toreira

Nadhan kesho tutawapoteza tena kwenye midfield

Njia yenu ya ushind ni moja tu, mpitie no 2 ndio kwenye shida kwa upande wa arsenal ,na huo upande anacheza mane

Iwapo mtashindwa huko

Naahid 3-0 mtapigwa hapo hapo Anfiled


Asanten

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni vizuri kuishi kwa matumaini...
 
Form ya Klopp na Vijana wake mara nyingi imekuwa nzur sana From February to April na kwa sasa Tunachokiona Kikubwa ni level of fitness ya wachezaj wetu dhidi ya wapinzan haswa katika kipindi hiki cha michezo ming kazi nzur ya Kiongoz mkuu wa Utimamu wa Mwili Andreas Kornmayer,meneja wa Uwezo wa kimichezo na matibabu mwili Philipp Jacobsen,Kiongoz wa Rutuba mwili ya vyakula Mona Nemmer,Daktar wa team Andy Massey,Kiongoz mkuu fizikia Lee Nobes wamefanya kazi nzur na mujarabu sana mpaka sasa na hata zile injury zimekuwa chache na ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwakweli hao wa behind the scenes wanastahili pongezi sana...
 
Yaan wewe huwa ni mshabiki oya oya ....

Huyo milner ni mzee huwez kumchezesha namba 2 kwa counter na pace za arsenal

Kwanza kesho hayupo

Inaonesha hata liver huifatilii, umeibuka kipind hiki ikiwa inashinda ,ndio mnatuletea tabu humu


Kesho piga ua tunapitia kwa dogo trent

Piga ua lazima kiungo tuwashike kisawasawa

Matokeo natoa 50/50

Iwapo mtashindwa kutumia vzr pengo.la namba 2 arsenal ,bas nawakunyuga 3+View attachment 979679

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani Katika Mechi ya Mwanzo hapo Emirates beki 2 si alikuwa huyohuyo TAA na Winger alikuwa Aubamyang sasa Mulifunga goli ngapi kupitia upande wake?

Mbona Ni wepesi Wa kusahau nyinyi?

Yeye si ndiye aliyemkaba Auba mpaka Mpira ukamshinda akatolewa bila ya goli la Hata offside?
 
Kwanza kwa misimu 3 iliyopita Arsenal tulishazoea kumgonga NNE NNE tu, kwahiyo kesho tunarejea kawaida yetu ya Kumgegeda Vinne.
 
😀 😀

Najua unajikakamua ili tusije sema kuwa umejipiga Ban kama Rant boys Wa Chelshit tu .... 😀

Lakini ukweli Ni kwamba moyoni umejaa Hofu.. 😀

Tusalimie yule kituko mwenzio DullyJr 😀

Hivi Mara ya Mwisho Arsenal kumfunga Liverpool Anfield ulikuwa Mwaka gani ? 😀

Ukijibu namtag Ollachuga Oc 😀
sasa hapo mimi na wewe nani kituko?unauliza mara ya mwisho Gunners kukupiga Anfield wakati nilikupiga kipigo cha pakashume hapohapo bwawani kwenu 2007...................

sasa na mimi nakuuliza mara ya mwisho Liverpool kubeba EPL lini?😀😀😀

ukijibu tu nalogout hahahahahah najua umekasirikia hili swali ila ndio hivyo nishakuuliza na kesho naja kukubikiri hapohapo anfield sijui utaficha wapi huo uso
 
pu
Kwani Katika Mechi ya Mwanzo hapo Emirates beki 2 si alikuwa huyohuyo TAA na Winger alikuwa Aubamyang sasa Mulifunga goli ngapi kupitia upande wake?

Mbona Ni wepesi Wa kusahau nyinyi?

Yeye si ndiye aliyemkaba Auba mpaka Mpira ukamshinda akatolewa bila ya goli la Hata offside?
nguza ngenga dakika 90 zitaongea katika matimu ambayo siyaogopagi ni liverpool yaani bora nikutane na Fulham kidogo nitakuwa na wasiwasi....mtu mmepigiwa mpira mwingi sanaaaaaaaaaaaaa ila bado tu hamuukubali muziki wetu......tumechezea mpira kwa zaidi ya asilimia 60 huku nyinyi mkiwa na 30's bado tu hukubali kuwa mziki wa london huuwezi
 
Kwanza kwa misimu 3 iliyopita Arsenal tulishazoea kumgonga NNE NNE tu, kwahiyo kesho tunarejea kawaida yetu ya Kumgegeda Vinne.
04 Apr 2015 Arsenal v LiverpoolL4-1Premier League
24 Aug 2015 Arsenal v LiverpoolD0-0Premier League
13 Jan 2016 Liverpool v ArsenalD3-3Premier League
14 Aug 2016 Arsenal v LiverpoolW3-4Premier League
04 Mar 2017 Liverpool v ArsenalW3-1Premier League
27 Aug 2017 Liverpool v ArsenalW4-0Premier League
22 Dec 2017 Arsenal v LiverpoolD3-3Premier League
03 Nov 2018 Arsenal v LiverpoolD1-1Premier League


hii inaitwa ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
 
04 Apr 2015 Arsenal v LiverpoolL4-1Premier League
24 Aug 2015 Arsenal v LiverpoolD0-0Premier League
13 Jan 2016 Liverpool v ArsenalD3-3Premier League
14 Aug 2016 Arsenal v LiverpoolW3-4Premier League
04 Mar 2017 Liverpool v ArsenalW3-1Premier League
27 Aug 2017 Liverpool v ArsenalW4-0Premier League
22 Dec 2017 Arsenal v LiverpoolD3-3Premier League
03 Nov 2018 Arsenal v LiverpoolD1-1Premier League


hii inaitwa ukiwa muongo uwe na kumbukumbu

Kwa hizi stats tu, unajua kitakachokupata!
 
Arsenal v Liverpool, 04 April 2015
4Arsenal
Manager: Arsene Wenger
1Liverpool
Goals:
Héctor Bellerin37
football-18x18.png
Mesut Özil40
football-18x18.png
Alexis Sánchez45
football-18x18.png
Olivier Giroud90
football-18x18.png

Goals:
Jordan Hendersonpenalty76
football-18x18.png
 
pu

nguza ngenga dakika 90 zitaongea katika matimu ambayo siyaogopagi ni liverpool yaani bora nikutane na Fulham kidogo nitakuwa na wasiwasi....mtu mmepigiwa mpira mwingi sanaaaaaaaaaaaaa ila bado tu hamuukubali muziki wetu......tumechezea mpira kwa zaidi ya asilimia 60 huku nyinyi mkiwa na 30's bado tu hukubali kuwa mziki wa london huuwezi

Mpira ni Magoli na Points 3 tu! Hizo chenga na asilimia ni mbwembwe tu kama za Sarriball kuliwa akiwa na asilimia 70+ ya kuupiga mwingi.

Subiri kesho nikunyooshe.
 
Arsenal v Liverpool, 04 April 2015
4Arsenal
Manager: Arsene Wenger
1Liverpool
Goals:
Héctor Bellerin37
football-18x18.png
Mesut Özil40
football-18x18.png
Alexis Sánchez45
football-18x18.png
Olivier Giroud90
football-18x18.png

Goals:
Jordan Hendersonpenalty76
football-18x18.png

😀 😀 teh teh teh teh teh teh teh teh teh

Kumbe tokea Magu awe Prezo Arsenal haijawahi kumfunga Liverpool!!! 😀

Nategemea atatoka Madarakani 2025 bila ya kushuhudia Arsenal ikimfunga Liverpool 😀😀
 
u
Mpira ni Magoli na Points 3 tu! Hizo chenga na asilimia ni mbwembwe tu kama za Sarriball kuliwa akiwa na asilimia 70+ ya kuupiga mwingi.

Subiri kesho nikunyooshe.
nakaza ubongo eti eeeeeeh......sawa tuombe MUNGU atujaalie uzima na afya tutaona nani atakayetamba humu jukwaani na nani atakayejipiga ban
 
04 Apr 2015 Arsenal v LiverpoolL4-1Premier League
24 Aug 2015 Arsenal v LiverpoolD0-0Premier League
13 Jan 2016 Liverpool v ArsenalD3-3Premier League
14 Aug 2016 Arsenal v LiverpoolW3-4Premier League
04 Mar 2017 Liverpool v ArsenalW3-1Premier League
27 Aug 2017 Liverpool v ArsenalW4-0Premier League
22 Dec 2017 Arsenal v LiverpoolD3-3Premier League
03 Nov 2018 Arsenal v LiverpoolD1-1Premier League


hii inaitwa ukiwa muongo uwe na kumbukumbu

29/12/2918

Liverpool 4 - 0 Arsenal

Je unabisha au?
 
he
😀 😀 teh teh teh teh teh teh teh teh teh

Kumbe tokea Magu awe Prezo Arsenal haijawahi kumfunga Liverpool!!! 😀

Nategemea atatoka Madarakani 2025 bila ya kushuhudia Arsenal ikimfunga Liverpool 😀😀
yamekuwa hayo tena ,kwahiyo Magu ndio anayefanya sisi tusikufumue hapo anfield??????acha kumsingizia Mr prezdaaaaaaah bas
 
Moreno hakupaswa Kusema Maneno Haya!

Naona anataka kufuata Nyao za Sakho badala ya kuondoka LFC kama Legend.

"I disliked Klopp's decision because I was training but when I returned he only wanted Robertson.

"My relationship with Klopp hasn't changed but since this injury, I didn't have a meeting with him but our relationship is normal.

"I disliked the way that Klopp has treated me but I understand his situation that he can't change [Robertson] because the team is winning."
Kwaiyo akae kimya wakati anaona kocha anafanya vitu vya kikumbavu kabisa.

Unamwachaje nje mtu kama Moreno halafu una mwakikishia namba mchezaji kama Robertson?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom