DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
sitaki hata kuzizungungumzia penat zilizotokea mkuu kwani naamini kabisa tumepoteza ila katika mpira haiko hivyo unavyotaka kuaminisha watu hivi hujui kuna matukio katika mchezo yanaweza kuathiri ari na morali za wachezaji uwanjani ikiwemo maamuzi ya refa,ila yote ya yote mlikuwa bora nyumbani kuliko sisi na kukubali kushindwa ndio sifa ya mchezoMkuu tusubiri panel ya kikao cha marefa kesho kama Salah alijiangusha kutafuta penati basi watamfungia...
aafu hata ukitoa magoli ya penati bado aseno kafa chaliiiiiiii bila ubishi...
