DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
kwakuwa nimemalizana na upande huu mimi yangu macho tu na kuleta majungu pale inapostahili maana mpira wa miguu una maajabu yake bwana .......na hivyo ulivyoviexclude ndio vinavyochagiza maajabu hayo na utamu wa soka lenyewe.........matokeo na utamu wa soka hauletwi na ubora pekee mkuu,watu kama nyinyi ndio mnaishiaga kukimbia nyuzi zenu rejea game ya barcelona vs rel betis .........hahhahahahahaha let's wait niggaUnachosema ni sahihi mkuu, na hapo Fact ni Derby, hata Everton hawatakuwa wepesi.
Mimi nimebase kwenye quality, nikiwa nimeondoa factors zingine zote kama bahati, homecourt advantage, human mistakes zinazoweza kufanywa na wachezaji.
18 games ni a lot, hasa ukichukulia kutakuwa na FA na UEFA.

