Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Morning bro!

IMG_20181230_003146.jpg
 
Yaa ni kweli city on paper alikuwa vizur sana naona baada ya kupigwa na crystal palece timu nyingi zimetoa woga pia hata baadhi ya watu wanasema majeruhi yanawakost sio sawa na nyie injuries zimewapita pembeni kwenye key players

Ila kupigwa na kusuluhu kupo tu

Hiyo ni kawaida kwenye michezo, hakuna timu italast forever bila kufungwa.

Swali litakuja, ni nani unadhani ana uwezo wa kuifunga? Tukimtoa City.
 
hongereni kwa ushindi mkubwa wana liverpool hakika ilikuwa ni worst defeat kwa sisi mashabiki wa GUNNERS ,bila kupepesa macho mpo vizuri kwa sasa mpo na form nzuri na ari ya ushindani kuanzia wachezaji,kocha mpaka mashabiki wenu.......ama kweli ilikuwa rekodi nzuri sana kwenu na mbaya kwetu.Jambo nililoliamini ni kwamba kweli Mungu ni wa wote maana haangalii huyu yupo katika hali gani nimpe hiki bali anagawa rizki bila kuangalia yaani kwa liverpool hii iliyobarikiwa kila kitu na bado anaipa na bahati juu....kweli mwenye nacho ataongezewa.....All in all yaliyopita si ndwele tugange yajayo tumepoteza game ya 5 mwaka huu 4 zikiwa za ligi so mapambano yanaendelea ,mpira ni mchezo wa makosa na adui anatumia madhaifu yako kukuadhibu ,timu yangu haipo balanced hilo linafahamika na mumefanikiwa kutumia madhaifu niliyonayo kuniadhibu...................naamini kocha wangu atalitumia vema dirisha hili kurekebisha na kuziba mapengo yaliyopo na tutarudi vizuri...........

hongera King Ngwaba Don Clericuzio nguvu Malafyale MosDef ipogolo zumbemkuu Janjaweed MASAMILA na wanaliverpool wooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooteeeeeeeeeeeeeeeeeee

hakika leo mtakuwa mmepata usingizi mzuri sanaaaaaaaaa

Tuombe Mungu atupe uzima na afya wote humu jamvini ili tuweze kufika may salama ili tufunge hesabu.


ASUBUHI NJEMA.

THIS IS FOOTBALL.
 
Aim for a draw man

win will be a bonus

if they win tomoz, gap itarudi kwenye 7

so if we lose against them tarehe 3 gap itakuwa ni 4, then pressure itakuwa kwetu tena

so tukienda na mentality ya kutaka kushinda, they will punish us, need to be calm and play for a draw whilst exploring chances za magoli

wont mind a Brexit midfield vs Man city man
not sure Klopp il aim for a draw cz he never does, he will load his guns to shot accuratly wen given th chance reason City wont sit back n wait fot us to attack n them being at home il aim to win n at least reduce th points to four...

that being th case means City wil press high to score as early as possible n kill our momentum n that where we wil punish em cz wen they press n lose th ball they wil suffer our front three r used to shine on those situation...

am sure thier settin il differ ow they played first game at Anfield...

t il be an open game...
 
Arsenal kawapa maujiko, hongereni.

Hongera pia kwake refa, maana kafanya kazi ya ziada.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tusubiri panel ya kikao cha marefa kesho kama Salah alijiangusha kutafuta penati basi watamfungia...

aafu hata ukitoa magoli ya penati bado aseno kafa chaliiiiiiii bila ubishi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom