Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
- Thread starter
- #281
Mentor ku mkuadia mtu maana yake nini? Unajua madame B alipo sasa ivi?
Nyie wewe na Vien Petrol wote waongo hakuna alie ondoka na firstlady
- Alichokuwa anafanya Mtambuzi kukusaidia kumnasa Madame B.
- dah basi tu bana nsiongee sana ila in two weeks ukisikia FirstLady anaongelea UPT nadhan utapata jibu.
Subiri aje Mentor atakujibu, yeye ndiye yuko karibu na dada muuzaji......
Umenifananisha na Kipaji Halisi kaka.
lipo opp na Siaradibii ya Azikiwe au Mafuta House(Ben Mkapa Towers)....
Ewaaa utakuwa umenipata. Halafu uzuri pale ukinitumia SLP naipata haraka sana kuliko ukinidipu.
Tumia S.L.P 76553 dsm.
Last edited by a moderator: