Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,920
- 4,242
Aaah bro...wanaume tunateteana bana!!!
Sasa hicho ni kiteteo gani!??
Kweli we zombie....ashakuambia ana ratiba nyingine...hiyo siku nyingine atakuwa na nyingine...stuka!
YANGA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE (cc: Remmy)
Yani we mkuu una uhakika wa kutokuwa mentioned milele...ndo jina gani hilo!!!
Maazimio ni kwenye mkutano ujao kila mtu anje na LOCAL BREW ya kutoka kwao!!!
Cc Mtambuzi, Madame B, Remmy Zion Daughter , Paloma , watu8, Vin Diesel Mentor FirstLady1, manoah, Kipaji Halisi, Teamo, Asprin, FirstLady et al...
Na wewe mume wa ladyfurahia nimeku mind sana....
Last edited by a moderator: