Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,087
- 6,390
deni la mirinda lemon?
hebu toa aibu hapa na wewe
Usione hayakusema ninachokudai.....
deni la mirinda lemon?
hebu toa aibu hapa na wewe
picha tuone mabinti wa jf kama wana wezere la kutosha. Ningekuweppo ningetongoza mmoja na lazima ningeondoka nae kuchapaDiskasheni yetu ilihusu zaidi waliokuwepo...!!!
polee wee na ndio hivyo tena hukuwepo!Ningekuweppo ningetongoza mmoja na lazima ningeondoka nae kuchapa
mhh kweli binadamu hakunyimi neno! Tumepeana break, 2kiresume mapenzi yanakuwa fire! Kalagabaho na umbea wako!Poa hila huyo bebe wako asije akaning'oa ya mbele ila juzi kakutelekeza mbona fuatilia thread kuna maali amesema amelala na FirstLady ila ongea taratibu asisikie sawa??
..na wewe mbn hukuja..?polee wee na ndio hivyo tena hukuwepo!
..hahahahahahaha..ajenda mchezo..?Kuna kitu kinamiss hapa.. mie naona shangwe tu mbona hawatupi mrejesho nyuma wa agenda maalumu ya kukutana?? au tuvute subra mnaandaa?
cc Mtambuzi
..mmnywe contesa na govinder kumar....mtakumbuka ajenda tena hapo..hkn cha mshendo nyuma wala nini...hapa ni mshindo mbele tu..Zion Daughter (Binti Sayuni)
sioni kama kuna mrejesho nyuma wa agenda zaidi ya yaliyoandikwa huko juu yaani full shangwe.
Nilifika kwenye kitaru hiki tangia saa 11 kamili mpaka saa 12 kasoro dk 10 sikumuona mwana dar wing hata mmoja sana sana nilibaki na viti vilivokuwa vimeinamia meza japo vilipangwa mkao wa kikao. Kwani mlianza kufika muda gani? na kikao kilianza saa ngapi?Kama tulivyokubaliana wadau basi ndo tumefika eneo la tukio na wadau waliokwishafika ni Remmy Mtambuzi Asprin Madame B
View attachment 84360
updates:
Mkuu Vin Diesel naye yumo ndani ya nyumba.
Daah hadi wazee wa siasa kunyumba...
Update 2:
Mkuu Kipaji Halisi ndani ya nyumba...
Update 3: ismail n. Juma naye yumooo....
Da Madame B..ndo kinywaji gani hiki umeleta dada??!
updates:
4.Hadi sasa kuna members 20 na wageni 5 wote wa kike...
kuanzia kushoto...
manoah
Remmy
Teamo
Vin Diesel
FirstLady....be easy on the strawberry lips. alafu mumeo leo lazima aku...
The Finest
KakaKiiza
Justice faustine
Kipaji Halisi
Mentor...sterling wa IT sector
kushoto na kulia kwangu wageni waalikwa (guest members) (wamekuja na Vin Diesel) ila nimemsaidia kazi
babu Asprin...someone tek this old man away...btw hajaja na wake zake..get the picture.
Madame B
wengine muendelee kujitaja tafadhali govinder kumar inaisha hapa....
Nilifika kwenye kitaru hiki tangia saa 11 kamili mpaka saa 12 kasoro dk 10 sikumuona mwana dar wing hata mmoja sana sana nilibaki na viti vilivokuwa vimeinamia meza japo vilipangwa mkao wa kikao. Kwani mlianza kufika muda gani? na kikao kilianza saa ngapi?
Eti dogo, Posta iko Kariakoo au Feri?Ayaaa kumbe ni wewe.
Yule mhudumu alituambia ulikuja. Halafu ulipofika tu ukaanza kumtongoza mwenzao yule ukaondoka naye kabisa hata kikao hakijaanza.
Ndiyo maana tukaishia kuhudumiwa na wadada wawili tu!
CC: Mtambuzi
...hahahahahahaha..eti asimwambie mtu....CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh..zidumu....?Eti dogo, Posta iko Kariakoo au Feri?CC: Mtambuzi, KakaKiiza, amu, Paloma, Remmy (I love you ila usimwambie mtu) Kipaji Halisi, Vin Diesel, Teamo, The Finest, Mtambuzi, Conntessa, CCM Safeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeey!!!Leo Tupo Hapa Pub LTD
...hahahahahahaha..eti asimwambie mtu....CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh..zidumu....?
hahahahaha...kipeleke LEO TUPO HAPA...kikahifadhiwe.........tuwalete..tuwachane..tuwatupe...kumbuka gamba mwisho kiunoni tu..Jamani nitafutieni yule binti niliondoka nae siku ile....kuna kinguo alikiacha homeZidumu fikra sahihi za mwenyekiti.....
hahahahaha...kipeleke LEO TUPO HAPA...kikahifadhiwe.........tuwalete..tuwachane..tuwatupe...kumbuka gamba mwisho kiunoni tu..
kabla ya kukitundika...naomba maelezo ilikuaje alikiacha kwanza..je alikua na haraka..?..au dakika za mchezo zilikua Nyingi..?..au uwanja ulikua una matumizi mengine...?Ngoja nikakitundike ili akifika akichukue....
CCM DAIMA
kabla ya kukitundika...naomba maelezo ilikuaje alikiacha kwanza..je alikua na haraka..?..au dakika za mchezo zilikua Nyingi..?..au uwanja ulikua una matumizi mengine...?
...#kanuni ya 8 ya mwana TANU..."Nitasema Ukweli Daima..fitina kwangu Mwiko#
...hahahahahahaha...Mazingira yake kwa kweli siyakumbuki vyema....ila nadhani mtu alichelewa kazini
Eti dogo, Posta iko Kariakoo au Feri?
CC: Mtambuzi, KakaKiiza, amu, Paloma, Remmy (I love you ila usimwambie mtu) Kipaji Halisi, Vin Diesel, Teamo, The Finest, Mtambuzi, Conntessa, CCM Safeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeey!!!
Leo Tupo Hapa Pub LTD
Eti dogo, Posta iko Kariakoo au Feri?
CC: Mtambuzi, KakaKiiza, amu, Paloma, Remmy (I love you ila usimwambie mtu) Kipaji Halisi, Vin Diesel, Teamo, The Finest, Mtambuzi, Conntessa, CCM Safeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeey!!!
Leo Tupo Hapa Pub LTD
Jamani nitafutieni yule binti niliondoka nae siku ile....kuna kinguo alikiacha home
Zidumu fikra sahihi za mwenyekiti.....