Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,087
- 6,390
Usizuge ndio nini ? Nasiki alafu wewe ni mzuri kama na unasauti kama angel kama ni kweli naomba uni PM website yako nikuone ulivyo, pia email na namba ya simu
Asisahau na namba ya fax...
Usizuge ndio nini ? Nasiki alafu wewe ni mzuri kama na unasauti kama angel kama ni kweli naomba uni PM website yako nikuone ulivyo, pia email na namba ya simu
Asisahau na namba ya fax...
Asnam:
- ngoja niku-pm tufanye mpango wa lunch date
- dat should b fyn witchu babe![]()
Evelyn Salt:
- nextym ongea na Kipaji Halisi akuazime mtandio wa amu alioibaga kwenye white party.
kaka Mtambuzi:
- Kwa kweli mimi nina wasiwasi mkubwa na bw. Kipaji Halisi...that guy z some silent killer.
- KakaKiiza alikosea akatongoza H na mwenzake sijui kama walimuelewa..chezea govinder wewe..
- FirstLady strawberry lips kidogo imuumbue alipokutana na mlevi mwenzie suruali ishashushwa chini tayari kwa ku do ze nidful
- Vin Diesel tamaa ya fisi ilimponza kwa kutaka FirstLady na wageni wako....akaishia kukosa wote. wait..yule baamedi sijui kama alipona!!
Jiwe Linaloishi:
- mangi, ulimisije ze occasion!???
Hujamuona?Wote mahandsome kama wewe
Haswa sote tupo hapa mkuu...tuombe uzima tu naamini tutapata wasaa wa kuonana...
JuFa ndi nini? mbona unaanza kuongea kama mtoto anaota meno?
Ha ha ha haaaaa we kijana ni mnoma mbaya...
Unanisingizia bana
Asnam:
- ngoja niku-pm tufanye mpango wa lunch date
- dat should b fyn witchu babe![]()
Evelyn Salt:
- nextym ongea na Kipaji Halisi akuazime mtandio wa amu alioibaga kwenye white party.
kaka Mtambuzi:
- Kwa kweli mimi nina wasiwasi mkubwa na bw. Kipaji Halisi...that guy z some silent killer.
- KakaKiiza alikosea akatongoza H na mwenzake sijui kama walimuelewa..chezea govinder wewe..
- FirstLady strawberry lips kidogo imuumbue alipokutana na mlevi mwenzie suruali ishashushwa chini tayari kwa ku do ze nidful
- Vin Diesel tamaa ya fisi ilimponza kwa kutaka FirstLady na wageni wako....akaishia kukosa wote. wait..yule baamedi sijui kama alipona!!
Jiwe Linaloishi:
- mangi, ulimisije ze occasion!???
Mentor said:Uzima upo ebu fanya mishe ata tuonane posta mkuu..
Vipi mkuu, unashangaa au....?Aiseee....
Hasira za mkosaji, bila shaka wewe utakuwa umeshikwa na mkeo na hufurukuti na ndio maana unatuonea wivu.... LOLNyie watu ni wapenda sifa sana na wengi wenu mnaonekana mnapenda show sana na ngono na beer za ofa.Maana hata sababu za kukutana kwenu hazieleweki ila tunaona majigambo na kujisifia tu.Mnaboa sana na sitahudhuria upyuuz wenu!
Afu ukiangalia kwa makini ni walewale kila siku na inaonyesha nyie ni makulakulala kama sio bongo lala.Ningekuwa mmiliki wa JF ningewamwaga wote kwani hamna msaada
Ina maana kiukweli kabisa nyie woote ( Remmy Mtambuzi Asprin Madame B manoah Teamo Vin Diesel FirstLady The Finest KakaKiiza Justice faustine Kipaji Halisi Mentor ) hakuna aliyenitambua?
Yeah, kwani hujui kwamba Mentor ana kakibanda kake ka kuchajisha simu nakuuza vocha hapo Posta mpya mkabala na Siaradibii
Nyie watu ni wapenda sifa sana na wengi wenu mnaonekana mnapenda show sana na ngono na beer za ofa.Maana hata sababu za kukutana kwenu hazieleweki ila tunaona majigambo na kujisifia tu.Mnaboa sana na sitahudhuria upyuuz wenu!
Afu ukiangalia kwa makini ni walewale kila siku na inaonyesha nyie ni makulakulala kama sio bongo lala.Ningekuwa mmiliki wa JF ningewamwaga wote kwani hamna msaada
Heheh sikua najua...ila Siaradibii zipo nyingi kule siti senta...ye huwa anajipanza wapi haswa?
Azikiwe, huku PPF upenuni mwa ATCL au???
Mkuu hivi jengo la posta mpya liko wapi.......?