Kwaherini JF

Kwaherini JF

Huyu jamaa nae alituaga hivi hivi ila watu wakafikiri anatania,kilichofuata baada ya miezi 4 ni R.I.P

JF VAR CHECK

 
Hamia kwenye uislamu kabla mauti hayajakukumba.

Miezi uliyobakisha mrudie muumba wako na umkiri Mtume Muhammad S.A.W kuwa ndiye mtume pekee wa mwenyezi Mungu na hakuna apasaye kuabudiwa isipokuwa Allah S.W.T
Makobaz hamjawahi kumiliki akili timamu, kwamba ukiwa kobaz ndio garanti ya kufanyaje?
 
Kwa hizi essay mimi marehemu nitapumzika kweli?

Utani pembeni hapa nilipo i feel lost .
Nipo katikati ya mshangao,huzuni na ajabu wakati huo huo nipo excited kufa ...sijui nipo sawa ama nimeshaanza kuchanganyikiwa

Kuhusu kuambia watu wangu hapana, mwenzangu tu hana anachojua sitaki kupanikisha watu
Ushamake peace na nafsi yako so wala hujachanganyikiwa...

All in all kinachotenganisha kifo baina ya mtu na mtu ni muda tu ila wote lazima tutakufa Kila mtu na wakati wake.

Tuzidi kutakiana mema maana wote tunamuda mchache hapa duniani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom