- Thread starter
- #21
Pole sana ila dr sio mungu
Ni kweli
Pole sana ila dr sio mungu
CHAIHey people,
Uzi huu ni wa kuwaaga wanaJF wenzangu
Nimekutwa na cancer ambayo kimsingi nimepewa taarifa kwamba ndani ya miezi miwili sitakuwepo
Naumia lakini sina jinsi
Wikiend tushaambiwa ukilewa tusichart haya sasa ndo mazara yake
Wewe unanichekesha basi tuSister mdomu huumba uje ukitamkacho kimasihara mungu hupokea ujue
Nawish iwe utaniAcha masihara basi
😥😥Acha utani basi joanah!
Kanatafuta attention tu usiogopeJoanah please 🙏
Usitufanyie hivo.
Joanah usiseme hivyo please.
Omba watu wakuombee ila usijikatie tamaa naamini jiwazie mema mamaa usijipe stress, wagonjwa wengi wa cancer wanashindwa kupambania maisha kwa sababu ya kujikatia tamaa.
Pendeza
Kula vizuri
Lala vizuri
Zungukwa na watu unaowapenda
#UsijipeStress
Pole sana Joanah 😔. Kuna watu wanapita kwenye maisha yetu na kuacha alama ambayo haiwezi kufutika. Wewe ni mmoja wao. Sitaki kusema mengi, ila kuna wema wako ambao nitauweka moyoni daima. Mungu akupe nguvu, faraja na amani katika kipindi hiki kigumu. 🙏🏽❤️Hey people,
Uzi huu ni wa kuwaaga wanaJF wenzangu
Nimekutwa na cancer ambayo kimsingi nimepewa taarifa kwamba ndani ya miezi miwili sitakuwepo
Naumia lakini sina jinsi
Kanatafuta attention tu usiogope
😂😂😂😂😂😂😂😂Wikiend tushaambiwa ukilewa tusichart haya sasa ndo mazara yake
Ivi kumbe upo seriously polee basi mtotoNitafute attention humu mimi ni mfanya biashara kwamba natafuta views?
Acha uphaller kijana
Nitafute attention humu mimi ni mfanya biashara kwamba natafuta views?
Acha uphaller kijana