Kwaherini JF

Kwaherini JF

una mheshimu mtu vizuri tu ila yeye anaamua kufa kifo cha makusudi ambacho kitaicha familia yake na majonzi wakati anaweza kujitibia, yan mpka Mungu kaamua kukuonesha unaumwa ni kwamba hajataka ufe na kama angetaka ni angekuacha uteseke kimya kimya mpka siku ya mwisho ndo madaktari wanagundua kilicho kuwahisha ni cancer,, ila kiukweli hapa umezingua mwanetu Joanah jifikilie tena na tena then ishirikishe familia yako uone ni namna gani unaweza kulishinda hili


alaf kwanini nakuandikia ese namna hii? unaboa msichana mdogo
 
una mheshimu mtu vizuri tu ila yeye anaamua kufa kifo cha makusudi ambacho kitaicha familia yake na majonzi wakati anaweza kujitibia, yan mpka Mungu kaamua kukuonesha unaumwa ni kwamba hajataka ufe na kama angetaka ni angekuacha uteseke kimya kimya mpka siku ya mwisho ndo madaktari wanagundua kilicho kuwahisha ni cancer,, ila kiukweli hapa umezingua mwanetu Joanah jifikilie tena na tena then ishirikishe familia yako uone ni namna gani unaweza kulishinda hili


alaf kwanini nakuandikia ese namna hii? unaboa msichana mdogo
Changamsha genge huyo

Pombe zimemzidi hapo alipo , ngoja kesho pombe zikimuisha aje aone upupu wake alioandika.
 
una mheshimu mtu vizuri tu ila yeye anaamua kufa kifo cha makusudi ambacho kitaicha familia yake na majonzi wakati anaweza kujitibia, yan mpka Mungu kaamua kukuonesha unaumwa ni kwamba hajataka ufe na kama angetaka ni angekuacha uteseke kimya kimya mpka siku ya mwisho ndo madaktari wanagundua kilicho kuwahisha ni cancer,, ila kiukweli hapa umezingua mwanetu Joanah jifikilie tena na tena then ishirikishe familia yako uone ni namna gani unaweza kulishinda hili


alaf kwanini nakuandikia ese namna hii? unaboa msichana mdogo

Kwa hizi essay mimi marehemu nitapumzika kweli?

Utani pembeni hapa nilipo i feel lost .
Nipo katikati ya mshangao,huzuni na ajabu wakati huo huo nipo excited kufa ...sijui nipo sawa ama nimeshaanza kuchanganyikiwa

Kuhusu kuambia watu wangu hapana, mwenzangu tu hana anachojua sitaki kupanikisha watu
 
Daah kwa hiyo mi mdada?
Pole sana ndugu.
Kumbe wewe ni mwanaume?ujue hata mimi nilikuwa nafikiri wewe ni wa kike tangu enzi hizo nikiwa mgeni JF jina lako lilikuwa limenikaa sana kichwani kutokana na uchangiaji wako mahiri wa nyuzi mbalimbali sema tu mwaka huu nikaona kimya sikuoni kuchangia mada yoyote sasa sijajua labda ndio ulikuwa kwenye process za kujiuguza.
 
Mimi na familia yangu tusijue, hao ndio nawawakilisha ( Wanatumia JF pia).

Tangu lini mimi nikakuwakilisha wewe?
Kua muelewa,wapi nimekwambia unaniwakilisha mimi? Nimesema unatuwakilisha wana JF
Do i know you Sir?
Wewe na familia yako nani amewapa mamlaka ya kutuwakilisha wana jf wote? Kwahiyo familia yako ndio mna maamuzi kuliko JF wenyewe ambao huweka ID's za waliokufa RIP?
 
Pole sana ndugu.
Kumbe wewe ni mwanaume?ujue hata mimi nilikuwa nafikiri wewe ni wa kike tangu enzi hizo nikiwa mgeni JF jina lako lilikuwa limenikaa sana kichwani kutokana na uchangiaji wako mahiri wa nyuzi mbalimbali sema tu mwaka huu nikaona kimya sikuoni kuchangia mada yoyote sasa sijajua labda ndio ulikuwa kwenye process za kujiuguza.

Mimi sio wa kiume

Halafu nipo very active hapa jukwaani,labda tunapishana tu

By the way, unaweza kuamini siumwi ile kusema naumwa
Ni maumivu kidogo sana nilipata ndio nikapata hizi habari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom