Kifo ni ibada usiogope.Nawish iwe utani
Lakini ni hivyo naondoka kama utani
😂😂😂😂😂😂😂😂😂REST IN PIECE..🕊
Nipumzike kwa amani kmmk
Dah i wish iwe utaniNawish iwe utani
Lakini ni hivyo naondoka kama utani
No way mkuu soon ID itakua RIP😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dah Pole sana aisee 🥺🥺 Mungu akutie Nguvu kipindi hiki kigumu unahcopitiaHey people,
Uzi huu ni wa kuwaaga wanaJF wenzangu
Nimekutwa na cancer ambayo kimsingi nimepewa taarifa kwamba ndani ya miezi miwili sitakuwepo
Naumia lakini sina jinsi
Kama hii ni kweli, basi mimi namsihi asisite kuja humu kuomba msaada wowote ule atakaohitaji kwenye hili jambo lake. Kwa pamoja tutaweza kunyoosha mkono.mshamba_hachekwi uzi huu hapa
Ni kansa ya sehemu ganiNitafute attention humu mimi ni mfanya biashara kwamba natafuta views?
Acha uphaller kijana
Aisee pole sana mkuu. Yani umenikumbusha Foe. Mungu akufanyie wepesiHey people,
Uzi huu ni wa kuwaaga wanaJF wenzangu
Nimekutwa na cancer ambayo kimsingi nimepewa taarifa kwamba ndani ya miezi miwili sitakuwepo
Naumia lakini sina jinsi
Mungu akupiganie na hata ikitokea kiwe kifo cha bila maumivu. Nimepoteza Mamdogo kwa kansa ya ziwa nikapoteza na binamu yangu kwa kansa ya kizazi na figo. It was really painful to watch themHey people,
Uzi huu ni wa kuwaaga wanaJF wenzangu
Nimekutwa na cancer ambayo kimsingi nimepewa taarifa kwamba ndani ya miezi miwili sitakuwepo
Naumia lakini sina jinsi
ni kweli enyew nimepata huzuni ila ndo hivyo, sijui familia yake watakua kwenye hali gani,, Yote kwa yote Mungu anaweza kumsaidia tujipe imani ila ikishindikana basi hakuna namna😔Kama hii ni kweli, basi mimi namsihi asisite kuja humu kuomba msaada wowote ule atakaohitaji kwenye hili jambo lake. Kwa pamoja tutaweza kunyoosha mkono.
Binafsi nimeguswa. Nilikuwa siamini kama kwenye hizi ID za vificho unaweza ukahisi kumfahamu mtu ila sasa ninaelewa.