Kwaherini JF

Kwaherini JF

Daah mkuu,

Pole sana hapa nimekumbuka 2018 wakati member mwenzetu folk May His Soul Rest in Eternal Peace alikuja kutuaga kua ana Pancreatic cancer stage for 4 akasema after four months hatakua na sisi Daah kilichobaki ni huzuni kwa JF.

Rai wana JF tutiane moyo kipindi kigumu kama hiki sisi sote ni Binadamu na hii itafikia kipindi hizi IDs zitabaki kama sehemu ya historia.

MOLA AKUFANYIE wepesi naona nakosa hata maneno mazuri🥲.
 
Hamia kwenye uislamu kabla mauti hayajakukumba.

Miezi uliyobakisha mrudie muumba wako na umkiri Mtume Muhammad S.A.W kuwa ndiye mtume pekee wa mwenyezi Mungu na hakuna apasaye kuabudiwa isipokuwa Allah S.W.T

Muumba wake kama sio Allah?

Badala huyo Allah na Mtume amuepushe na kifo ambacho Joanah amesema kwa sasa bado hakitaki, anahitaji kuishi.
Wewe unasema amkiri. Amkiri kwani anamaajabu gani?

Embu peleka ugoro huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom