Aisee pole sana mkuu hutakufa bali utaishi ili uyasimulie matendo makuu ya MUNGUHey people,
Uzi huu ni wa kuwaaga wanaJF wenzangu
Nimekutwa na cancer ambayo kimsingi nimepewa taarifa kwamba ndani ya miezi miwili sitakuwepo
Naumia lakini sina jinsi
Kwa hayo aliyotuambia hawezi funguka zaidiUna cancer ya nini?
Kwa hayo aliyotuambia hawezi funguka zaidi
mkuu huu ugonjwa nauchukia sana
Mtu anaweza jiona yupo salama kumbe tatizo lilianza miaka ya nyuma now ndio matokeo yanajidhihirisha.
Huyu anazingua, ukimuuliza ni saratani aina gani hasemi, hili jambo ni zito sana sijui Kwa Nini analichukulia kiwepesi sanaDah! Joanah mbona unaniumiza mwenzio?
Naomba iwe utani..!!
Hebu karudie tena vipimo isije kuwa wamekosea 😥
Ndio sema sasa una kansa ya aina gani Kuna wengine ni wataalamu wa afya wakushauri, naumia na ninasikitika una jeuri sana, tangu uimbiwe hiyo kansa ni aina gani hutoi ushirikiano kabisa, maisha hayaendi hivo dada angu mgonjwa haupo pekee Yako unapo sema unawasaidia na wengine humu kuwahudumia ndugu zao kama weweNina imani stori yangu itaishia huku kwenye vipimo vilivyokosewa ili niendelee kuwepo
How comes nina cancer na sijisikii kuumwa chochote hapa
ID mpya inakujaHuyu anazingua, ukimuuliza ni saratani aina gani hasemi, hili jambo ni zito sana sijui Kwa Nini analichukulia kiwepesi sana
Ahaaaa kumbeeeID mpya inakuja
sio tupge kambi kwa ajili ya maombi ndugu yanguTumuache mgonjwa alale kesho pia ni siku wadau
InawezekanaAhaaaa kumbeee
Cancer sio lazima uumwe ila ikianza kuuma ndo kimbembeNina imani stori yangu itaishia huku kwenye vipimo vilivyokosewa ili niendelee kuwepo
How comes nina cancer na sijisikii kuumwa chochote hapa