Kwaherini JF

Kwaherini JF

Status
Not open for further replies.
ni kweli enyew nimepata huzuni ila ndo hivyo, sijui familia yake watakua kwenye hali gani,, Yote kwa yote Mungu anaweza kumsaidia tujipe imani ila ikishindikana basi hakuna namna😔

Familia yangu hakuna anyejua naumwa nini

Nataka nife kimya kimya kama ikiwezekana before mwisho wa wiki inayoanza, sitasubiri miezi miwili
 
Familia yangu hakuna anyejua naumwa nini

Nataka nife kimya kimya kama ikiwezekana before mwisho wa wiki inayoanza, sitasubiri miezi miwili
bro mbona umeamua kuficha siri nzito namna hiyo?,, yamkini wangeweza kufanya jambo asee au ulipanga kufa? umefurahi sio?,, basi Mungu alivyo wa ajabu hauwezi kufa aibu utaona wew
 
Kama hii ni kweli, basi mimi namsihi asisite kuja humu kuomba msaada wowote ule atakaohitaji kwenye hili jambo lake. Kwa pamoja tutaweza kunyoosha mkono.

Binafsi nimeguswa. Nilikuwa siamini kama kwenye hizi ID za vificho unaweza ukahisi kumfahamu mtu ila sasa ninaelewa.
🙏🙏
 
1000009179.jpg
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom