Kwaherini JF

Kwaherini JF

Sasa mbona mie nina mpango wa kupotea kama nilivyokuja humu 🥺
Pole sana mamaangu.
Hii taarifa siipendi,nahofu kuagwa kama ulivyo fanya, inaweza ikawa ni dalili tu kwake lakini akili yangu imehama. Sitamani itokee lakini ndio hivyo,sijui Mungu maamuzi yake,sina ujasiri.
Mungu akutie nguvu hadi dakika ya mwisho.
 
Joanah kama unatuigizia it's okay. Nachojua mtu anapoambiwa kansa yake ipo terminal basi anakua katika hali mbaya ambayo hata yeye kutumia simu hawezi kivile. Usifanye mchezo na huu ugonjwa.
Bro mtoto wa mamkubwa Kafariki kwa Ini
Nimefiwa na wengine wawili kwa kansa wote hata kuongea na simu ilikua tabu. I wonder wewe unaweza kuwepo na kujibizana. Naongea kwa experience ya kuwaona wahanga wa ugonjwa huu hasa wakiwa Terminal Stage
Pengine kuna kitu analenga kutafuta humu huwezi kubakiza Miezi miwili ukawa na nguvu za kuruka ruka humu mitandao sijui hiyo Itakuwa ni Kansa ya Aina Gani.
 
Wacha niendelee kuruka ruka
Ni kweli pengine kuna kitu natafuta kwenu nyie wenye fake IDs motherfuvkers 🖕
Punguzeni Utani na Kansa jamani. Maumivu wanayopitia wanaosumbuliwa na huo ugonjwa hasa hatua za mwisho ni makali mno.
Ungetuambia basi ni aina Gani ya kansa hiyo inayokusumbua.
Isijekuwa Umeliwa na Kanji kwenye BETTING umechanganyikiwa unakuja kusumbua watu humu.
 
Joanah kama unatuigizia it's okay. Nachojua mtu anapoambiwa kansa yake ipo terminal basi anakua katika hali mbaya ambayo hata yeye kutumia simu hawezi kivile. Usifanye mchezo na huu ugonjwa.
Bro mtoto wa mamkubwa Kafariki kwa Ini
Nimefiwa na wengine wawili kwa kansa wote hata kuongea na simu ilikua tabu. I wonder wewe unaweza kuwepo na kujibizana. Naongea kwa experience ya kuwaona wahanga wa ugonjwa huu hasa wakiwa Terminal Stage
Hata mimi nimestuka. Miezi miwili unakuwa umechoka sana
 
Pole sana mdada,
Habari mbaya sana hizi, cancer ni mbaya, hsina huruma hata kidogo, unakufa ukiwa unaona na inauwa kwa maumivu makali sana. Nimefurahi namna ulivyo strong, japo Dr kusema miezi miwili...jamani!!

Stay strong, wala usiage coz utakuwepo na huenda baadhi tukatangulia, no one knows tomorrow. Iambie familia, let them bear your pain, wapo kwa ajili hiyo na usiwafiche, don't terminate your life.

After all, wote tunakufa ni swala la lini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom