Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,141
Ndugu watanzania mabaharia watafutaji na wanaharakati.......
Kwa masikitiko makubwa tunatangaza kifo cha ndugu yetu manzania mwezetu Michael aka Mike......
Mike Tanzania anatokea kinondoni......
Ndugu watanzania mike aliamisha makazi yake kutoka Tanzania na kuelekea Mozambique.
Kipindiki Mike anaishi Mozambique alifanya biashara na Mtanzania mwezetu wa kuitwa MISHELI.
MISHELI anaishi Johannesburg south Africa maeneo ya My Fay
Ktk biashara Mike alikuwa akimdai mishali pesa. Kutokana na MISHELI kushindwa kulipa deni ikabidi amwambie Mike amfate South Africa ili ampe gari wamalizane.
Kilicho tokea Mike alitoka Mozambique na kuelekea South Africa na walikutana na MISHELI. Baada ya muda mchache mike hakupatikana tena kwenye simu......
Tumeanza zoezi la kumtafuta mike Sasa yapata siku ya nne hapa Johannesburg. Ndugu watanzania Leo asubuhi ya tarehe 18/3/2024 tumefanikiwa kupata mwili wa mike katika mochwari ya hilbrow iliyopo Johannesburg.
Mike ameuwawa Kwa kupigwa bunduki kutokana na details za mochwari mwili wa mike umekutwa Johannesburg twist / plain street tarehe 11/3/2024
......ANAYEDAI KAVUTWA FROM THERE KAULIWA .......
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WATANZANIA WOTE.,..
CASE ISHAFUNGULIWA.,.......
IMEANDIKWA NA MOHAMED TAIBALH MSANGI
TAREHE 18/3/2024
MIKE NA MISHELI WALISOMA WOTE SHULE YA MSINGI
MIKE ALIONDOKA TANZANIA MWAKA 1999