Kuajiriwa ni utumwa

Kuajiriwa ni utumwa

Yes, kabisa ila unajua kwanini tunasema ni utumwa!?

Wazazi wetu walienjoy ajira maana kulikuwa hakuna uchafu kama leo, kulikuwa kupewa kipaombele. Leo mwajiriwa ni mtumwa. Nakumbuka mzee wangu kala maisha sana serekalini at his prime. Ila leo walio kwenye position yake wanakula vumbi tu.

Si semi kuwa ndo uhalisia wa kazi zoote ila, Ukija kuangalia mpasuko wa bei, na soko la ajira kilivyo gumu ndo utaamini ni nacho kiongelea hapa.
Naelewa, ambacho sikubaliani na wengi ni namna tumewa-demonize walioajiriwa na wanaotafuta kazi. Sikubaliani na jinsi tunaamasisha watu kujiajiri kwa kufanyia rejea ya top elites wakati kiuhalisia kwenye huyo mmoja aliefanikiwa kuna mamia ya watu waliofeli. Umesema unataka kujiajiri? Utaona mziki wake, kwa sasa weka akiba ya maneno
 
Na huu ndo ukweli Mchungu...

Silali usiku na mchana nafikiria namna ya kutoka kwenye huu mtego.

Yaani asubuhi ya leo niende tena kufanya jambo lile lile mpka nitakapo fika miaka 60.

Hapana kwa kweli, mimi sio mmatumbi mjinga.. I need to wake the *** up and find something worth dying for.

Ndugu zangu ambao mpo complacent na kuajiriwa hivi huwa mnajisikiaje?
Lakini ni bora kuliko kuwa unemployed
However, kujiajiri ni bora zaidi

Kukosa ajira< Kuajiriwa< Kujiajiri
 
Ubaya wa hizi kazi Zina kumaliza on all levels of existence

Physically: unafanya kazi on repeat kama mashine

Mentally: inabidi sio tu uhandle kazi yenyewe pia mood swings za mwajiri wako, akiamka vibaya.

Spiritually: wanakudrain your life force energy. Ule uhuru wa kuweka vionjoo vyako haupo unakuwa haupati kitu ndani yako ufanyapo kitu, bali unafanya for the sake of money.

Yaani ndo maana Wanaotumia pharmaceutical wengi ni waajiriwa
Na ndio hao wenye pesa,,Tanzania maisha ya mfanyakazi mwenye mshahara wa mwisho serikalini ni Bora zaidi kuliko ya mfanyabiashara unayemuona mkubwa😆😆😆
Masikini wengi wapo kwenye kundi la wasio ajiriwa na huwezi waona hospitalini sababu hawana uwezo wa kipesa wala bima ya afya
 
Na huu ndo ukweli Mchungu...

Silali usiku na mchana nafikiria namna ya kutoka kwenye huu mtego.

Yaani asubuhi ya leo niende tena kufanya jambo lile lile mpka nitakapo fika miaka 60.

Hapana kwa kweli, mimi sio mmatumbi mjinga.. I need to wake the *** up and find something worth dying for.

Ndugu zangu ambao mpo complacent na kuajiriwa hivi huwa mnajisikiaje?
Chai
 
Na huu ndo ukweli Mchungu...

Silali usiku na mchana nafikiria namna ya kutoka kwenye huu mtego.

Yaani asubuhi ya leo niende tena kufanya jambo lile lile mpka nitakapo fika miaka 60.

Hapana kwa kweli, mimi sio mmatumbi mjinga.. I need to wake the *** up and find something worth dying for.

Ndugu zangu ambao mpo complacent na kuajiriwa hivi huwa mnajisikiaje?
Kazi/shughuli yoyote inayokupa kipato halali kwa ajili ya maisha yako ni ajira, sasa iwe unajisimamia au unasimamiwa, zote ni ajira sbb end result ni moja, yaani hela. Wazungu walipoona gharama za kusafirisha watumwa ni kubwa wakaamua kubadilisha mfumo wa utumwa. Nitafafanua kidogo hapa ili mjiongeze.
1. Lima tumbaku yako Chunya, ila bei anapanga mzungu - utumwa
2. Kopa benki ufanye yako - wewe ni mfanyakazi wa benki indirect - mtumwa
3. Fungua grocery ya bia - wewe ni mfanyakazi wa kampuni yenye vinywaji unavyouza
4. Ukifungua duka la hardware - wewe ni mwajiriwa wa mwenye hizo bidhaa unazouza
5. Jenga shule yako- wewe ni mtumwa wa wenye watoto wanaokuja hapo kusoma
Mtu pekee ambaye siyo mtumwa ni aliyeko kaburini yaani six feet deep.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom