Kuajiriwa ni utumwa

Kuajiriwa ni utumwa

Ajira lazima ikubane na biashara lazima ikupe stress cha muhimu chagua unapoweza kuteseka

Kuna siku, miezi, miaka unapiga hela hadi unaamini huhitaji kuajiriwa na unawashangaa waliojiriwa na kuna muda unakula msoto

Kuna majanja waliojiajiri kuna wakati hali mbaya mpaka wanachungulia ajira portal


Kujiajiri ni kukomaa mpaka mwisho kunataka uvumilivu, juhudi, nidhamu ya pesa, ubunifu na kujifunza. Huwezi bora uajiriwe

Kujiajiri ukizembea kidogo tu unaanza kwenye zero!! hakuna mambo ya warning letter
Hii comment imewafariji wengi mno😂😂
 
Hahaha kuchanganyikiwa kupi tena hebu acha kujikatia tamaa!
Wewe huwezi kumuelewa kama hujawahi kujiajiri.
Anaposema kuchanganyikiwa ni ule wakati mwenye nyumba anadai kodi yake halafu biashara unayoitegemea inadaiwa kodi na TRA na unatakiwa ulipie kodi ya fremu na mauzo yamedorora hapo ndio utachanganyikiwa hujui ufanye lipi na uache lipi.
 
Lakini ni bora kuliko kuwa unemployed
However, kujiajiri ni bora zaidi

Kukosa ajira< Kuajiriwa< Kujiajiri
Unajua kwanini? Kwasababu tayari mfumo unakubidi uwe mtumwa wa ajira. Mm naona ni heri usiwe na ajira alaf utafte namna ya kujiajiri kuliko kuingia kwenye ajira ambayo itakufanya usitoke mazima
 
Na huu ndo ukweli Mchungu...

Silali usiku na mchana nafikiria namna ya kutoka kwenye huu mtego.
View attachment 3641392

Yaani asubuhi ya leo niende tena kufanya jambo lile lile mpka nitakapo fika miaka 60.

Hapana kwa kweli, mimi sio mmatumbi mjinga.. I need to wake the *** up and find something worth dying for.

Ndugu zangu ambao mpo complacent na kuajiriwa hivi huwa mnajisikiaje?
Kweli kabisa
Mimi binafsi sipendi kabisa kufanya kitu kilekile miaka yote.
Napenda kubadilika badilika hata kubuni kitu kingine.
Inachosha sana
 
Wewe huwezi kumuelewa kama hujawahi kujiajiri.
Anaposema kuchanganyikiwa ni ule wakati mwenye nyumba anadai kodi yake halafu biashara unayoitegemea inadaiwa kodi na TRA na unatakiwa ulipie kodi ya fremu na mauzo yamedorora hapo ndio utachanganyikiwa hujui ufanye lipi na uache lipi.
Yes, ila ndo changamoto za kukujenga...
Hata mabillionaire wanakopa vizuri tu..
. Mimi naona ni kheri ukaumia kwenye kitu chako na usikate tamaa kuliko kuwa mtumwa wa mtu mwingine inaumiza nafsi sana
 
Unajua kitu kuhusu passive income?
There people in this world hawafanyi lolote wao ni kwenda kufunga hesabu, tu wana real estate businesses wengine wanahisi wengine hawajui kabisa kuwa mtumwa kama unavyosema
HIVI UTUMWA TUNAUPA TAFSIRI YA UPANA UPI HASA? HATA KWENDA BENKI KUTAFUTA MKOPO ILI UANZISHE KIWANDA CHAKO NI UTUMWA KWA NAMNA NYINGINE ( JAMAA YANGU ALIMPA MTU TAX AMLETEE PESA KWA SIKU,SIKU MOJA MWENYE TAX ALILOA MVUA WAKATI ANAENDA KANISANI NA FAMILIA YAKE,HALAFU TAX DREVA KAFIKA KANISANI FRESH NA MKEWE KWA KUTUMIA TAX YA JAMAA), UKIUANGALIA UTUMWA VIZURI, UTAONA NI KIKUNDI KIDOGO SANA DUNIANI NDO KIMEONDOKA KWENYE UTUMWA WA JUMLA WA KUONEKANA, WA KUTOONEKANA.
 
Acha uone kama biashara inalikizo ya siku 28 au ruhusa za mara kwa mara
Haina likizo ila inakufanya unakuwa huru, na tunaposema kujiajiri tu namaanisha kutumia maono tukiyonayo for our own good.

Kila kitu humu duniani kilianza na wazo
 
Na huu ndo ukweli Mchungu...

Silali usiku na mchana nafikiria namna ya kutoka kwenye huu mtego.
View attachment 3641392

Yaani asubuhi ya leo niende tena kufanya jambo lile lile mpka nitakapo fika miaka 60.

Hapana kwa kweli, mimi sio mmatumbi mjinga.. I need to wake the *** up and find something worth dying for.

Ndugu zangu ambao mpo complacent na kuajiriwa hivi huwa mnajisikiaje?
Ulishawahi kufikiria kuwa, kila mmoja akitaka kujiajiri itakuwaje? Yaani asiwepo aliyeajiriwa na mwingine, unaona huo uwezekano?
Yaani kila mtu afanye kazi yake mwenyewe bila kusaidiwa na mtu mwingine, inawezekana hiyo?
 
Ngoja nikupe siri moja hivi ambayo itakusaidia ili usiaibike mtaani na familia yako kukudharau.
Tengeneza wazo la biashara au mradi ambao unaona unaendana na kipaji chako na moyo wako unapenda kufanya.
Kisha anza kujitangaza polepole na kutoa huduma wakati bado umeajiriwa.
NB:
Usiache kazi kabla biashara haijasimama,inachukua miaka mingi biashara kujenga jina na kuzoeleka ili iwe stable
Yes, ila ndo changamoto za kukujenga...
Hata mabillionaire wanakopa vizuri tu..
. Mimi naona ni kheri ukaumia kwenye kitu chako na usikate tamaa kuliko kuwa mtumwa wa mtu mwingine inaumiza nafsi sana
 
Unaweza kulipa watu hata ukiingia hasara? Mfano unafanya biashara, hakuna wateja una Loss ila unamlipa mwenye fremu, mfanyakazi, manispaa. Kama unaweza acha kazi.
 
Na ndio hao wenye pesa,,Tanzania maisha ya mfanyakazi mwenye mshahara wa mwisho serikalini ni Bora zaidi kuliko ya mfanyabiashara unayemuona mkubwa😆😆😆
Masikini wengi wapo kwenye kundi la wasio ajiriwa na huwezi waona hospitalini sababu hawana uwezo wa kipesa wala bima ya afya
Sijagusa umaskini kivile nazungumzia utumwa hasa hasa. Umaskini ni topic nyingine.
 
Ukishakua masikini wewe ni MTUMWA tayari,
Kuna level za umaskini... Ule wa kukosa basic needs ndo mbaya na kwa wengi bongo Sidhani kama wanao...

Umaskini mkubwa ni ule wa kuajiriwa for the sake of survival
 
Kuna level za umaskini... Ule wa kukosa basic needs ndo mbaya na kwa wengi bongo Sidhani kama wanao...

Umaskini mkubwa ni ule wa kuajiriwa for the sake of survival
Kwa hio hao walioajiriwa wanaajiriwa Ili wanyimwe basic needs?
😃😆😆
Afya ni basic needs, watanzania ambao hawana bima ya afya ni 92%
Kwa hio hao sio masikini sababu tu hawajaariwa?
😆😃😃
 
Kwa hio hao walioajiriwa wanaajiriwa Ili wanyimwe basic needs?
😃😆😆
Afya ni basic needs, watanzania ambao hawana bima ya afya ni 92%
Kwa hio hao sio masikini sababu tu hawajaariwa?
😆😃😃
Stop taking things literary...
Kutokuwa na bima sio kigezo cha kukosa huduma ya afya...

Ninaposema survival, simaanishi kukosa mahitaji pia, namaanisha ya kuwa you can't live without it
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom