min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,987
- 166,217
Sio makasiriko wala , nakushauri tu 😃 uzi wako kukaa kwa shemeji bado naukumbuka 😃 halafu nipo bar makasiriko ya nini sheikhKwani tunajuana? 😂😂
Alaf mbona makasiriko?
Sio makasiriko wala , nakushauri tu 😃 uzi wako kukaa kwa shemeji bado naukumbuka 😃 halafu nipo bar makasiriko ya nini sheikhKwani tunajuana? 😂😂
Alaf mbona makasiriko?
Hahaha kuwa mpole dogo , debe tupu ukimaanisha ni mimi nakaa kwa shemeji na kuangaika na utitiri wa I'd humu kama wewe😃😃 tulia tutakupandishia comment zako za kutia mashaka humu, utakimbia😃Kwa akili zako za kilevi ukaamini sio..!
Huna lolote debe tupu wewe
Mkuu sina hulka za kuwa Kalia kimya ego headed cowards. Na sina aibu kabisa.Hahaha kuwa mpole dogo , debe tupu ukimaanisha ni mimi nakaa kwa shemeji na kuangaika na utitiri wa I'd humu kama wewe😃😃 tulia tutakupandishia comment zako za kutia mashaka humu, utakimbia😃
😃😃 napinga upinde ndio maana unawaka tuliza wenge😃Issue watu wa hulka kama yako huwa hawana lolote, hata michango yao kwenye mada hureflect udebe tupu wao
Hauwezi kuwa na aibu😃Mkuu sina hulka za kuwa Kalia kimya ego headed cowards. Na sina aibu kabisa.
Tulia Eva 😃 umeshasanukiwa mwanzoni ndio nikua naona kama una akili, sio sasa.Huna lolote... Wenye hela huwa hawajigambi kwa kulewa coward mkubwa wewe, Unakunywa mbege la jero unaleta bichwa humu😂
Ila kule TRA sio utumwa hata traffic police.Na huu ndo ukweli Mchungu...
Silali usiku na mchana nafikiria namna ya kutoka kwenye huu mtego.
Yaani asubuhi ya leo niende tena kufanya jambo lile lile mpka nitakapo fika miaka 60.
Hapana kwa kweli, mimi sio mmatumbi mjinga.. I need to wake the *** up and find something worth dying for.
Ndugu zangu ambao mpo complacent na kuajiriwa hivi huwa mnajisikiaje?
Hahaha kwa hiyo tuseme nakula kwa shemeji kama wewe😃Issue ni kuwa napiga kwenye mshono..
Sina hiyana mimi, unajitaftia umaarufu kutukana watu eti una hela kumbe kapuku mmoja tu
Ni kweli mkuu... Ningependa unifafanulie zaidi maana umeongea kifupi sana. What best way naweza kufanya vyote hivyoo.. Ajira ipi na kujiajiri katika fani ipi?Muajiriwa ukitaka Kujiajiri ni mkakati,weka mpango wako vizuri.kisha chomoka ukiwa umeweka msingi
Waajiriwa waliojiajiri wapo wengi inategemea na aina ya kazi, nyingine hazibani malipo sio haba unaweza piga kote kote,ukavuna kote ila nyingine kama za wahindi huko unalipwa laki 3 na unabanwa siku nzima ni taabu tupu
Pambana
Ni utumwa ukiwa na ajira ila ukiwa hauna ni barakaNa huu ndo ukweli Mchungu...
Silali usiku na mchana nafikiria namna ya kutoka kwenye huu mtego.
Yaani asubuhi ya leo niende tena kufanya jambo lile lile mpka nitakapo fika miaka 60.
Hapana kwa kweli, mimi sio mmatumbi mjinga.. I need to wake the *** up and find something worth dying for.
Ndugu zangu ambao mpo complacent na kuajiriwa hivi huwa mnajisikiaje?