Kuajiriwa ni utumwa

Kuajiriwa ni utumwa

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
10,614
Reaction score
21,149
Na huu ndo ukweli Mchungu...

Silali usiku na mchana nafikiria namna ya kutoka kwenye huu mtego.
9dc8d11a2cf4a331979cc0e0f8b295c9.jpg


Yaani asubuhi ya leo niende tena kufanya jambo lile lile mpka nitakapo fika miaka 60.

Hapana kwa kweli, mimi sio mmatumbi mjinga.. I need to wake the *** up and find something worth dying for.

Ndugu zangu ambao mpo complacent na kuajiriwa hivi huwa mnajisikiaje?
 
Ajira lazima ikubane na biashara lazima ikupe stress cha muhimu chagua unapoweza kuteseka

Kuna siku, miezi, miaka unapiga hela hadi unaamini huhitaji kuajiriwa na unawashangaa waliojiriwa na kuna muda unakula msoto

Kuna majanja waliojiajiri kuna wakati hali mbaya mpaka wanachungulia ajira portal


Kujiajiri ni kukomaa mpaka mwisho kunataka uvumilivu, juhudi, nidhamu ya pesa, ubunifu na kujifunza. Huwezi bora uajiriwe

Kujiajiri ukizembea kidogo tu unaanza kwenye zero!! hakuna mambo ya warning letter
 
Hakuna kazi Nzuri kama ya kufanya ukiwa na uhuru sio usimamiwe na bosi au fomen.
Hata Mimi nilichoshwa na hayo maisha nimeamua kuingia mtaaani Sasa nipo HURU.mungu ana bless
Ubaya wa hizi kazi Zina kumaliza on all levels of existence

Physically: unafanya kazi on repeat kama mashine

Mentally: inabidi sio tu uhandle kazi yenyewe pia mood swings za mwajiri wako, akiamka vibaya.

Spiritually: wanakudrain your life force energy. Ule uhuru wa kuweka vionjoo vyako haupo unakuwa haupati kitu ndani yako ufanyapo kitu, bali unafanya for the sake of money.

Yaani ndo maana Wanaotumia pharmaceutical wengi ni waajiriwa
 
Kujiajiri ni kukomaa mpaka mwisho kunataka uvumilivu, juhudi, nidhamu ya pesa, ubunifu na kujifunza. Huwezi bora uajiriwe

Kujiajiri ukizembea kidogo tu unaanza kwenye zero!! hakuna mambo ya warning letter
Hakika, ila wengi wetu huwa tuna kuwa paralyssed by kuogopa risk. Naamini mtu akipata mfumo mzuri na akajua namna ya kutengeneza pesa hata kama sio nyingi ambapo anza nakuahiidi hawezi shawishika kurudi kwenye msoto wa kuajiriwa
 
Ungeona waliojiajiri wanavyoteseka usingesema huo ujinga.
Kila kitu kina faida na hasara, inategemea umeajiriwa na nani au umejiajiri kwenye shughuli gani.
Mtu anajenga lodge, hotel, apartment kwa pesa ya kuajiriwa leo hii ionekane muuza kabeji ni bora kuliko employee 😭😭😭😭.
Mimi nimeajiriwa na ninafanya biashara, Dar nina maduka mawili. Biashara inazeesha , inachosha na haina pensheni.
2016/2017 wafanyabiashara tulikutana na shetani Magufuli. Watu wengi walikuta na wengine kurudi bush
 
Nahurumia sana manager wangu, anatumia nguvu kubwa juhudi na maarifa yake kwenye kazi za watu. Ila naamini angejiajiri yule angefik mbali sana
Manager wako!
Yes, kabisa unaweza kusoma lakini ukawa huna uwezo wa kujiajiri because fursa za kada yako kujiajiri hazipo au ni ngumu so inabidi uruje na utumwa wa ajira
 
Ungeona waliojiajiri wanavyoteseka usingesema huo ujinga.
Kila kitu kina faida na hasara, inategemea umeajiriwa na nani au umejiajiri kwenye shughuli gani.
Mtu anajenga lodge, hotel, apartment kwa pesa ya kuajiriwa leo hii ionekane muuza kabeji ni bora kuliko employee 😭😭😭😭.
Mimi nimeajiriwa na ninafanya biashara, Dar nina maduka mawili. Biashara inazeesha , inachosha na haina pensheni.
2016/2017 wafanyabiashara tulikutana na shetani Magufuli. Watu wengi walikuta na wengine kurudi bush
Madhara ya nakuja endapo utachukua risk usiyoiweza. Sasa how Can you attend 2 masters at once alafu utegemee kutoboa.

Magufuli na u shetani wapi na wapi. Kama sio wewe na kukwepa kodi tu

Hakuna kitu rahisi ila tunaangalia kitu chenye tija kwako na kosicho kufanya ukawa huru.
 
Sema kweli hiki kitu hata me kinaniwazisha sana, kwa mshahara wangu huu hata nikisema nijibane siwezi pata nauli ya kwenda Dubai na kula maisha kwa wiki. Wakati nina wana kibao walioko kwenye business zao mjini sehemu kama Dubai na China wanaingia karibu kila mwezi . Kuna siku nitafanya maamuzi magumu inshallah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom