de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,054
- 21,867
- Thread starter
- #261
Unaugulia utumwa wa ajira ukiwa wapi?Mmesoma course hazina kichwa wala miguu mnaanza kusema kuajiriwa ni utumwa kwasababu tu hamuwezi kupata ajira tena na hamna matumaini.
Mlikimbia Shule maisha yamewatia kila sehemu, mnasingizia eti kuajiriwa ni utumwa kwasababu tu mnajua hamna elimu.
Nyie endeleeni kuteseka kujiajiri sisiemu wanafurahi kuona mnhangaika kazi yao kuwatungia majina ya Maafisa usafirishaji, Machinga, Maafisa lishe, nk.
Mtu umefungua kibiashara uchwara cha laki5 au million eti unasema kuajiriwa ni utumwa, wakati hata hela ya fremu ya mwezi 1 tu huna MATAKO YAKO.
Mimi nipewe hiyo ajira hata leo sitakataa maana waliojiriwa wanafaidi nchi kwa mishahara ya bure kazo yao kuamka asubuhi na kwenda kupiga stori ofisini
Wewe ndo wale walojikatia tamaa na tayari umri umekutupa mkono