de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,307
- 22,425
- Thread starter
- #201
Taabu kwelikweliKuajiriwa ni utumwa na inakufanya mtu unakua passive sana.. Mimi ni mmoja ya watu wanaowatukana sana wale wanaotoa ushauri mwenye uzi wetu pendwa wa mwisho wa mwezi unaoulizia kama mshahara umetoka. Waajiriwa tujaribu kuchukua ushauri sio usenge wa kupinga kila kitu.