Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

As long as wamliingizia TAIFA hasara washtakiwe tu.Ninavyojua Waziri mkuu hana immunity mwenye immunity ni RAIS pekee.Tunataka JK na BM washtakiwe wasilite upuuzi wa kufanya sherehe wakati wengine wanaendelea lula viinua mgongo tu
Wamewasha moto alafu hawajui kuwa kuna mahindi makavu pembeni hakuna wa kutetea Rowasa cha msingi taifa limeingizwa hasara wawajibishe ndugai anaongea upuuzi sana anawakumbusha nin ili wasiendelee kuwashitaki marais waliopita huu ni upuuzi kabisa ambao hakupaswa kuutamka.
 
Hikma ya kinga ya marais wastaafu naitafakari bado sijaona mapungufu yake. Ni hikma kubwa sana, mtu akiwa Rais wa Tanzania wa aina hii ya Tanzania tuliyo nayo sasa kumtikisa ni kulitikisa taifa zima, kama hutaki una acha, hata hivyo Rais mara nyingi ana shauriwa na wataalamu mbalimbali, kwa mfano wataalamu wa sheria. Sasa kama Rais kashauriwa na mwanasheria akamuingiza chaka yeye afanye je?

Kwani mfano wanasheria walio andaa hii mikataba wote ni marehemu? Mpaka tufikie kutafuta Marais wastaafu ambao wana kinga tayari na walishauriwa tu.

Na washawasha!
 
Ndugai kubali hiyo hoja ya Lijuakali, kwani Lowasa na Sumae ni nani katika nchi hii. Sisi tunachotaka wote waliohusika wafikishwe mbele ya sheria bila kuangalia fulani yupo chama gani
 
Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

Dodoma. Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia.

Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

"Haiwezekani mzee wangu (Andrew) Chenge na (Nazir) Karamagi walipitisha mikataba hiyo bila Rais aliyekuwapo kufahamu. Kinga ya Rais kushtakiwa iondolewe ili wahojiwe," amesema Lijualikali.

Baada ya hoja hiyo ya Lijualikali inayofanana na ya Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Ndugai aliwakumbusha juu ya mawaziri wastaafu walionao kwenye chama chao.

"Mabadiliko mnayoyataka yakipitishwa na viongozi mlionao wakikamatwa msije mkalalamika tena," amesemaNdugai.

Chanzo: Mwananchi

Ndugai anafanya mambo ya ajabu kweli..Hakuna anyemtetea Lowasa au Sumaye hapa

Endapo Lowasa au sumaye amefanya makosa awajibishwe...Its not about Uchama hapa..Its about Nchi
 
Wamewasha moto alafu hawajui kuwa kuna mahindi makavu pembeni hakuna wa kutetea Rowasa cha msingi taifa limeingizwa hasara wawajibishe ndugai anaongea upuuzi sana anawakumbusha nin ili wasiendelee kuwashitaki marais waliopita huu ni upuuzi kabisa ambao hakupaswa kuutamka.

Kwenye issue ya UCHUMI wa TAIFA sitomtetea hata panya mmoja.Kama wamekuwa najisi ni najisi tu.
 
Ndungai ni mpumbafu kabisa kwaiyo anaina hai viongozi walioamia upinzani ni bora kabisa kuliko taifa. Na mikataba yote imepita wakiea bungeni makufuli pia yalikuwepo wabunge wa ccm nfio walioongoza kusema ndio Kwa kila kitu Leo hii wanamuona makufuli kama shujaa wakati wote ni wanafiki katila nchi hii yani ningeliweza sijui.....
 
Hivi Lijualikali amesema mawaziri wakuu kama wanahusika wasishtakiwe. Kweli kiwango cha ufahamu cha supika kimeathirika. Hoja nyeupe majibu meusi? Kwa hiyo kinachofanya Marais wastaafu wasishtakiwe ni kutokana na huruma kwa Mawaziri wakuu?
Ndio akili ya spika ilipoishia
 
Utetezi wa kijinga kabisa. Toka mwanzo nawaambia hili jambo kuna mahali linafanywa kwa maslahi ya taifa, lakini inapokuja suala la kuchukua hatua siasa zinachukua mkondo wake.

Pia narudia tena, katika kosa ambalo cdm watalijutia ni wao kumchukua Sumaye na hasa Lowassa, kibaya zaidi cdm wamekuwa na kigugumizi kwenye mambo mengi kwani wamejivika madoa ambayo hawana uwezo wa kuongea lolote wakaeleweka. Kila wakikosoa au kuleta hoja wanaambiwa mmekumbatia wachafu chamani. Kilichobakia ni wao kuwatosa ama kuanzishwa chama kingine cha upinzani kitakachopata kuungwa mkono na walio wengi ili kutoa ushindani. Kinyume na hapo huyo domo zege Lowasa ni kujipiga kitanzi tu.
 
Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

Dodoma. Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia.

Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

"Haiwezekani mzee wangu (Andrew) Chenge na (Nazir) Karamagi walipitisha mikataba hiyo bila Rais aliyekuwapo kufahamu. Kinga ya Rais kushtakiwa iondolewe ili wahojiwe," amesema Lijualikali.

Baada ya hoja hiyo ya Lijualikali inayofanana na ya Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Ndugai aliwakumbusha juu ya mawaziri wastaafu walionao kwenye chama chao.

"Mabadiliko mnayoyataka yakipitishwa na viongozi mlionao wakikamatwa msije mkalalamika tena," amesemaNdugai.

Chanzo: Mwananchi
Katiba ya warioba hileee kama naiona kwambali inajongea taaratibu. Kama kweli jpm ni mzalendo itabidi maraisi wastaafu nao wawekwe kwenye kikaango lakin kwa katiba hii hana uwezo wa kufanya hivyo, kwa hiyo basi mtukufu jpm ili uweze kushughulikia hili janga kisawa sawa inabidi bila kusita kupitisha katiba ya warioba fasta ili tukamate wezi wa nchi hii.[HASHTAG]#jpm[/HASHTAG] mzalendo#katiba mpya.
 
Hivi Lijualikali amesema mawaziri wakuu kama wanahusika wasishtakiwe. Kweli kiwango cha ufahamu cha supika kimeathirika. Hoja nyeupe majibu meusi? Kwa hiyo kinachofanya Marais wastaafu wasishtakiwe ni kutokana na huruma kwa Mawaziri wakuu?
imani yangu ya kiislamu inanikataza kumuombea mtu mabaya, lakini ninavyokerekwa na huyu mbumbumbu asiye na busara hata kidogo aliyekabidhiwa hiko cheo cha uspika na mahayawani wenzake,...natamani agongwe tu na gari mara atokapo pale bungeni!!!!!
 
Ndugai anafanya mambo ya ajabu kweli..Hakuna anyemtetea Lowasa au Sumaye hapa

Endapo Lowasa au sumaye amefanya makosa awajibishwe...Its not about Uchama hapa..Its about Nchi
Kweli kabisa yaani eti umtetee mharifu kwavile Yuko kweny chama chako?.. mahakama ndio iamue haki itendeke...
 
Unaona jinsi gani Tanzania tumefikia kuwa na akili ndogo sana? Watu tunaongelea kuwawajibisha viongozi kwa makosa makubwa yaliyotangulia, speaker mzima, anatoa comment zisizo na mskiko kama hi11! Kwani kama hao Mawaziri waliotangulia wana makosa kwa nini wasishitakiwe?

Kwa nini mtu mzima kama Ndugai anadhani kila upnzani wakiongea ni kwa ajili ya kutetea maslahi yao na kukandamiza CCM? How can a person like Ndugai think in such an impotent manner?!? Labda matusi anayotukanwa yanastahili, kama kweli ametoa comment hama hiyo.

Yaani Ndugai anaona point ya kuwashitaki viongozi waliopita ni point dhidi ya CCM sio taifa? Aliyesema wastaafu waliohamia upinzani wasishitakiwe nani? Kwa nini unaleta uvyama kwenye comment zinazotolewa kwa maslahi ya taifa, na wewe ndio Speaker?


Kwa hili Ndugai amedhihirisha wazi hana uwezo, busara wala akili ya kuwa Speaker.

Nimeweka humu uzi nikimuonya Raisi Magufuli kujiepusha na CCM katika masuala mazito ya nchi yetu.Nimemtahadharisha Magufuli awe makini na Ndugai.Ngugai Hana uthubutu wa asilia.Uthubutu wake ni wa ki-manikia.Ni mpaka uuchenjue.Hana Ujasiri kama wa Magufuli.Ni mtu wa kuwa "compromised". Nashangaa Raisi amemkabidhi kazi iliyosalia ya kukamata wezi wa rasilimali.Ndugai katika msibao sauti yake inatoka kama ya muombolezaji na sio ya mfiwa.Period.
 
Utetezi wa kijinga kabisa. Toka mwanzo nawaambia hili jambo kuna mahali linafanywa kwa maslahi ya taifa, lakini inapokuja suala la kuchukua hatua siasa zinachukua mkondo wake.

Pia narudia tena, katika kosa ambalo cdm watalijutia ni wao kumchukua Sumaye na hasa Lowassa, kibaya zaidi cdm wamekuwa na kigugumizi kwenye mambo mengi kwani wamejivika madoa ambayo hawana uwezo wa kuongea lolote wakaeleweka. Kila wakikosoa au kuleta hoja wanaambiwa mmekumbatia wachafu chamani. Kilichobakia ni wao kuwatosa ama kuanzishwa chama kingine cha upinzani kitakachopata kuungwa mkono na walio wengi ili kutoa ushindani. Kinyume na hapo huyo domo zege Lowasa ni kujipiga kitanzi tu.

CHADEMA hata kama wasingewapokea hao bado tu wangepondwa...Ni kawaida opposition kuitwa majina yoyote na rulling party
 
Wote tu waliohusika washtakiwe kama ni wa MACCM au waliohamia Chadema. Kama walihusika kwa namna moja au nyingine basi hakuna jinsi.
Ndungai na ccm yake watu wa ajabu sana 'tumuunge rais' hii sentensi maana yake nini? Maana yake waliohusika wanastahili adhabu period. Mwenyewe amesema wahusika wote washughulikiwe hata iwe nani sasa huyu anaona bunge ndio pa kuwabana wapinzani. Hivi kwa nini hawaelewi tatizo ni hicho kiti cha uspika ndio kinatuingiza kwenye majanga yote haya. SPIKA anza kujitambua angalau kidogo uwatendee haki watanzania acha kuitumikia ccm.
 
Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

Dodoma. Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia.

Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

"Haiwezekani mzee wangu (Andrew) Chenge na (Nazir) Karamagi walipitisha mikataba hiyo bila Rais aliyekuwapo kufahamu. Kinga ya Rais kushtakiwa iondolewe ili wahojiwe," amesema Lijualikali.

Baada ya hoja hiyo ya Lijualikali inayofanana na ya Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Ndugai aliwakumbusha juu ya mawaziri wastaafu walionao kwenye chama chao.

"Mabadiliko mnayoyataka yakipitishwa na viongozi mlionao wakikamatwa msije mkalalamika tena," amesemaNdugai.

Chanzo: Mwananchi
Akili za huyu kama nembo ya ccm. Zimepishana sana na kawaida. Hivi ni nani anayetetea waovu katika chama zaidi ya CCM?

Kwa akli hizo anadhani nani anaogopa kushitakiwa zaidi ya mafisadi anayoyalinda usiku na mchana?

Hao maraidi waondelewe kinga, washitakiwe na kujibu maswlai ya watanzania. Kama hawana hatia, bila shaka mahakama itawasafisha tu. Kwanza nini kinachomfanya ndugani asiwashitaki mawaziri wakuu wastaafu waliokwenye vyama vya upinzani?

Anajidai kuwa na huruma ana na upinzani katika hili kwa sababu gani? Nini kikonyuma y ahii huruma ya kutoa machozi ya simba? Mbona siku zote ana watreat kinyang'au?

Tunataka wote wapelekwe mahakamani huko huko wakahukumiwe kama ni wasafi wawekwe huru na kama ni magumashi waadhibiwe kwa kuwa Tanzania haitajengwa na mafisaidi hata wakiwa CHADEMA.

Sasa ni dhahiri cCM inafuga na kulinda mafisadi . Kauli ya Ngungai ni blackmailing. Lowasa haogopi kwenda mahakamani na alishasema zamani apelekwe mahakamani. CCM wanaogopa nini?

Hatutajenga Tanzania kama CCM itaendelea kusimama kwa sababu ndiye mauti haswa ya taifa hili.
 
Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

Dodoma. Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia.

Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

"Haiwezekani mzee wangu (Andrew) Chenge na (Nazir) Karamagi walipitisha mikataba hiyo bila Rais aliyekuwapo kufahamu. Kinga ya Rais kushtakiwa iondolewe ili wahojiwe," amesema Lijualikali.

Baada ya hoja hiyo ya Lijualikali inayofanana na ya Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Ndugai aliwakumbusha juu ya mawaziri wastaafu walionao kwenye chama chao.

"Mabadiliko mnayoyataka yakipitishwa na viongozi mlionao wakikamatwa msije mkalalamika tena," amesemaNdugai.

Chanzo: Mwananchi
Kila nikiiwaza ccm napata kichefuchefu
 
Back
Top Bottom