Kesi ya Mange vs Meta: Kimataifa zaidi

Kesi ya Mange vs Meta: Kimataifa zaidi

View attachment 3659324

Maria sarungi hakuwahi kufanya content za kutoa connection za watu lakini hichi ndio kilichotokea.

Ishu ni kwamba meta wanapokea maelekezo wapo kifaida zaidi, hawataki kufungiwa hapa bongo kama X.
Maria account yake imezuiliwa kwa Tanzania haijafutwa , Mange account yake ilifutwa kabisa..

Halafu ilikuwa account ina followers wengi sana..
 
Uzuri mbele hakunaga mahakama ya maelekezo, vimemo kama hizi za akina Jaji Ndunguru. 😊

Hongera sana Mange Kimambi. 😊
 
Kesi ya Nchimbi kuvuliwa uwanachama wa sisiem bado haijaisha linazuka swala lingine tena..
 
Back
Top Bottom