Kesi ya Mange vs Meta: Kimataifa zaidi

Kesi ya Mange vs Meta: Kimataifa zaidi

Maria account yake imezuiliwa kwa Tanzania haijafutwa , Mange account yake ilifutwa kabisa..

Halafu ilikuwa account ina followers wengi sana..
Ndio lakini ndio wamepokea maelekezo kutoka TCRA, kufutwa kabisa kwa mange itakua kwasababu yeye alikua anavujisha sana Siri za ndani.
 
Kama namwona Samuya huko aliko akitukana, akisonya, na kuvimbisha mashavu yake.

Mange afungua shauri dhidi ya kampuni ya Meta ambayo ndo inamiliki Instagram, WhatsApp, na kadhalika.

Tazama hiki kipande cha runinga ya Firstpost.


View: https://youtu.be/5zEttYOuyvA?is=8j15o65At_8zjVQv

Hii nchi ingekuwa na watu aina ya Mange wa kutosha angalau kila wilaya, vichwa vya mazafakas wa Serikali ya CCM vingekaa sawa!
 
Aaa
27 August 2026

Tanzanian Activist Takes Meta to Court Over Alleged Censorship​

By Faustine Ngila / 27 August 2026

Tanzanian activist Mange Kimambi has taken Meta Platforms to court, accusing the owner of Instagram and Facebook of disabling her accounts under pressure from the Tanzanian government, in a case that could test the limits of social media companies’ cooperation with authorities.

Tanzanian Activist Takes Meta to Court Over Alleged Censorship

Kimambi, a U.S.-based critic of President Samia Suluhu Hassan, alleges that Meta acted on behalf of the Tanzanian government to silence her and restrict her ability to communicate with her large online following, according to reports on the legal action.

The case comes after Meta disabled Kimambi’s Instagram accounts in December 2025, shortly after Tanzania’s disputed Oct. 29 presidential election and deadly protests that followed.

Mange Kimambi has rejected the suggestion that her accounts were removed because of violations of Meta’s rules, arguing that the action was politically motivated. The lawsuit seeks to establish whether the company independently enforced its policies or responded to pressure from Tanzanian authorities.

The dispute highlights growing concerns over the role of global technology companies in enforcing government demands in countries where political dissent is under pressure.

A Tanzanian internet governance report published in February said authorities had sought to use regulatory powers to restrict online dissent and identified Kimambi as a prominent activist whose online presence had become a target of government pressure.

The report said that in 2025 the Tanzanian state moved beyond blocking access to Kimambi’s content to seeking the disabling of her accounts by Meta. It also linked the action to a broader pattern of digital restrictions surrounding the country’s elections and subsequent unrest.


Mange Kimambi had built a substantial following through social media, where she regularly criticised the government and used her platforms to mobilise public opinion. Her activism intensified in 2025 as Tanzania approached the general election.

Her accounts were disabled on Dec. 3, 2025, according to Tanzanian media reports. The action came as authorities were pursuing a criminal case against her involving allegations of money laundering.

The prosecution alleges that Kimambi laundered 138.5 million Tanzanian shillings ($56,000) between March 1 and March 31, 2022, with the money allegedly linked to unaccredited journalism and intimidation. She has rejected the allegations. The case has been repeatedly adjourned while investigations continue.

Tanzanian authorities have also discussed possible efforts to have Kimambi returned from the United States to face the charges, according to the internet governance report.

The dispute over Kimambi’s accounts forms part of a wider confrontation between Tanzanian authorities and prominent online critics.

In December 2025, Meta also restricted access in Tanzania to the Instagram account of activist Maria Sarungi-Tsehai following a legal order from Tanzanian regulators. That restriction was later reversed after public pressure, according to the internet governance report.

The distinction between the two cases could prove important for Kimambi’s lawsuit. While Meta publicly linked the restriction of Sarungi’s account in Tanzania to a regulatory order, the company attributed Kimambi’s account removal to enforcement of its own platform rules.

Kimambi’s lawsuit could therefore focus on whether there was any direct or indirect communication between Tanzanian authorities and Meta concerning her accounts, and whether such communication influenced the company’s decision.

The case also comes amid broader scrutiny of Tanzania’s record on internet freedom. The country experienced a nationwide internet blackout during the 2025 election period, while civil society groups documented restrictions on online speech and access to digital platforms
 
C.C
1788022825083.png


06 November 2025
Mange Kimambi lazima tumkamate, Nitakuja kivingine Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari


View: https://m.youtube.com/watch?v=u0_O6tAgmpo
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeapa lazima imkamate Mwanaharakati wa Mitandaoni Mange Kimambi.

Mange Kimambi ambaye ni Mtanzania anayeishi nchini Marekani, kutokana na kile kinachoelezwa kuhamamisha na kuchochea vurugu zilizotokea nchini kuanzia Oktoba 29, 2025mwaka huu.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) Hamza Johari amesema hayo muda mfupi baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Novemba 05.2025 kuendelea kuongoza ofisi hiyo.

Hamza Johari amesema ni jambo ambalo halikubaliki kuona mtu mmoja tu anahamasisha uvunjifu wa amani nchini halafu baadaye tenaanarudi kutamba na kujiapiza kuwa lazima arejee, jambo ambalo amelitafsiri kuwa ni dharau ya kiwango kikubwa kwa serikali na nchi na kwamba jambo hilo halikubaliki

Hamza Johari - “Haiwezekani mtu mmoja amekaa nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, dada tu hata ukimuangalia appearance yake, anawaambia watu wakatanye hivyo na wanaenda kufanya kweli, halafu halafu imetokea anaanza kutamba anasema bado nitakuja kivingine, lazima tumkamate”

Hamza Johari amesema licha ya kwamba vyombo vya Ulinzi na Usalama linafuatilia suala hilo kwa namna yake na kama sehemu ya majukumu yao ya msingi, lakini ofisi yake pia ina wajibu wa makusudi wa kuhakikisha inashughulikia suala hili.A

Hamza Johari akizungumzia athari zilizotokana na vurugu hizo, Mwanasheria Mkuu huyo wa Serikali amesema mali za watu binafsi na za umma zimeharibiwa ikiwemo gari la ofisi yake mwenyewe ambalo limechomwa moto huku dereva akikimbia ‘waandamanaji’

Hamza Johari - “Tumeona mali za watu binafsi zimeharibiwa, tumeona mali za umma including gari la Mwanasheria Mkuu wa Serikali, yaani gari la ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali libachomwa moto?,

Hamza Johari achora mstari kwenye mchanga na kusisitiza haiwezekani, nimeambiwa kwamba na gari yetu pia imechomwa moto dereva kakimbia, lakini Wanasheria sisi tuko mahiri, najuwa tu tutakuja na solution zuri,

Hamza Johari sisi kule kwenye kikao cha MTC kule tunataka tukafikiri namna fulani ili tuweze kuishauri serikali vizuri, najuwa watu wa vyombo vya ulinzi na usalama watafikiri kivyao, wao wana sehemu yao

Hamza Johari aongeza lakini sisi hatuwezi kusema eti lile ni suala la kiusalama tu hapana, lile pia ni suala la kisheria, yaani sheria zimepuuzwa, zimevunjwa” -Hamza Johari asema mwanasheria mkuu kwa hasira kubwa kama samaki wa mkizi
 
Umbea kwa Mwanamke ni kama msomali na bunduki.

Hapo amekaa ameona hana pa kupiga umbea na majungu yake.

Akaamua apambane kufa kupona.
Mbupu zako ilitakiwa azimiliki mange.... Afu wewe n kina Lucas tuwapige MITI.
 
Back
Top Bottom