kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Kauli ya Waziri wa fedha kuwataka wananchi wasiotaka Too waende Burundi inamaswali mengi sana ya kifasihi na kimantiki. Kwanini hakutamka Kenya wa nchi nyingine akatamka Burundi?
Hii ni pekee ambayo Mhe. Rais na Makamu wake wamefanya safari za kikazi. Ni nchi pekee ambayo imetembelewa na Mhe. Rais muda mfupi baada ya kusainiwa kwa sheria ya mabadiliko ya sheria mbalimbali ikiwemo sheria ya Kodi.
Kusema tuhamie Burundi kwa tone aliyotumia ni kama ameidharau Burundi, na kitu hiki kinatia doha diplomasia yetu na Taifa ilo hasa inapotoka kauli kwa Waziri wa fedha. Pili inaweza kutafairi Kama nchi isiyo zingatia sheria ndio maana Mhe. Wazir kasema ile ni sheria na asiyetaka kutekeleza basi aende Burundi ambapo hakuna sheria. Tatu inaweza kutafsiriwa Kama dharau kwa viongozi wake wa juu kwamba wanaweza kutumia Kodi za wananchi kwenda eneo la ovyo na lisilofuata sheria Kama Burundi? Anawatumia salama kwamba Burundi ni kwa wasio tii.
Kwa mantiki na kwakuzingatia kwamba Mhe. Rais ametuonyesha kuwa Burundi tunaweza kwenda nadhani Sasa tuseme Mwigulu anatukumbusha Tumeandaliwa Makao tuondoke
Hii ni pekee ambayo Mhe. Rais na Makamu wake wamefanya safari za kikazi. Ni nchi pekee ambayo imetembelewa na Mhe. Rais muda mfupi baada ya kusainiwa kwa sheria ya mabadiliko ya sheria mbalimbali ikiwemo sheria ya Kodi.
Kusema tuhamie Burundi kwa tone aliyotumia ni kama ameidharau Burundi, na kitu hiki kinatia doha diplomasia yetu na Taifa ilo hasa inapotoka kauli kwa Waziri wa fedha. Pili inaweza kutafairi Kama nchi isiyo zingatia sheria ndio maana Mhe. Wazir kasema ile ni sheria na asiyetaka kutekeleza basi aende Burundi ambapo hakuna sheria. Tatu inaweza kutafsiriwa Kama dharau kwa viongozi wake wa juu kwamba wanaweza kutumia Kodi za wananchi kwenda eneo la ovyo na lisilofuata sheria Kama Burundi? Anawatumia salama kwamba Burundi ni kwa wasio tii.
Kwa mantiki na kwakuzingatia kwamba Mhe. Rais ametuonyesha kuwa Burundi tunaweza kwenda nadhani Sasa tuseme Mwigulu anatukumbusha Tumeandaliwa Makao tuondoke