incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,241
- 3,533
Watu wasio na hatia kivipi unataka kusema raia wote wa kasuru wamekutwa na hiyo kadhia? Nyie wachawi qumamake dawa yenu ni kifo tu.
Kwani kamchape sio wachawi?Wachawi Wana nguvu sana hadi serikalini kulinda uchawi wao ili waendelee kudhuru watu.
Hao kamchape wapo hata kabla ya mfumo wa serikali kuwepo.
Acha wachawi waaibishwe
Ni wachawi wanaopinga kazi za kichawi,yaani wapo upande wa mwanadamu wachawi wapo upande wa shetaniKwani kamchape sio wachawi?
Hata humu Kuna mijitu pori mingi tu, kupitia comments za Wadau bado tuna Safari kama taifa kufika nchi ya ahadi.
Inasikitisha Sana kuona Hadi nyakati hizi Kuna watu wanaamini ugumu katika maisha Yao sababu ni ndumba.Mimi mwenyewe nimeshangaa kwamba kundi lote hili linaaamini uchawi upo. Kweli tuna safari ndefu sana
Uchawi, Ujinga, Nyege, Chuki, Magonjwa n.k zimezijaza sana akili zetu waafrica.Hata humu Kuna mijitu pori mingi tu, kupitia comments za Wadau bado tuna Safari kama taifa kufika nchi ya ahadi.
😁Watu wasio na hatia kivipi unataka kusema raia wote wa kasuru wamekutwa na hiyo kadhia? Nyie wachawi qumamake dawa yenu ni kifo tu.
Ngoja Atoe UfafanuziKwani kamchape sio wachawi?
Wachawi mpigwe tuNi muda sasa kumekuwepo na hili wimbi la watu wanaojiita kamchape kiboko ya kutoa uchawi katika wilaya ya kasulu.
Mwanzoni Serikali kupitia jeshi la polisi walitoa maonyo kuhusu hawa watu lakini wananchi wengi waliyapuuza.
Kinachotokea sasa wanadhalilisha watu, wanatengeneza chuki dhidi ya wanajamii kupitia ramli yao chonganishi, Wanadhulumu watu pesa zao kidogo kwa ahadi watawasafishia nyumba zao zisiwe na uchawi, wanasambaza magonjwa ya zinaa ikiwemo kaswende na gono.
Kinachotokea katika kata ya Nyakitonto
Watu wanadhalilishwa, wanaibiwa pesa zao ,ndoa zinavunjika, maelewano katika familia yanapotea, raia wasio na hatia wanapigwa, watu wanavunjiwa nyumba zao.
Askari polisi kama walinzi wa usalama wako kimya kuhusu hali hii. Juzi kuna raia asiye na hatia kutokea Kitema kapigwa manusura ya kufa, jana mwananchi asiye na hatia kidogo avunjiwe nyumba yake.
Jeshi la Polisi liko wapi kupinga dhulma hii na uonevu huu au na wenyewe ni sehemu ya kamchape?
Waziri wa Mambo ya Ndani, sikiliza kilio cha hawa wanachi wasio na hatia. Kinachopaliliwa sasa hivi ipo siku kitatoa matunda na matunda hayo itakua ngumu kuyateketekeza.
RPC Kigoma angalia suala hili ni jipu linaloiva litakua kidonda ndugu siku moja. OCD Kasulu umewatelekeza raia wema ambao kila siku wanakupa ushirikiano kudhibiti uhalifu
Wanasambazaje magonjwa ya zinaa mkuu?Ni muda sasa kumekuwepo na hili wimbi la watu wanaojiita kamchape kiboko ya kutoa uchawi katika wilaya ya kasulu.
Mwanzoni Serikali kupitia jeshi la polisi walitoa maonyo kuhusu hawa watu lakini wananchi wengi waliyapuuza.
Kinachotokea sasa wanadhalilisha watu, wanatengeneza chuki dhidi ya wanajamii kupitia ramli yao chonganishi, Wanadhulumu watu pesa zao kidogo kwa ahadi watawasafishia nyumba zao zisiwe na uchawi, wanasambaza magonjwa ya zinaa ikiwemo kaswende na gono.
Kinachotokea katika kata ya Nyakitonto
Watu wanadhalilishwa, wanaibiwa pesa zao ,ndoa zinavunjika, maelewano katika familia yanapotea, raia wasio na hatia wanapigwa, watu wanavunjiwa nyumba zao.
Askari polisi kama walinzi wa usalama wako kimya kuhusu hali hii. Juzi kuna raia asiye na hatia kutokea Kitema kapigwa manusura ya kufa, jana mwananchi asiye na hatia kidogo avunjiwe nyumba yake.
Jeshi la Polisi liko wapi kupinga dhulma hii na uonevu huu au na wenyewe ni sehemu ya kamchape?
Waziri wa Mambo ya Ndani, sikiliza kilio cha hawa wanachi wasio na hatia. Kinachopaliliwa sasa hivi ipo siku kitatoa matunda na matunda hayo itakua ngumu kuyateketekeza.
RPC Kigoma angalia suala hili ni jipu linaloiva litakua kidonda ndugu siku moja. OCD Kasulu umewatelekeza raia wema ambao kila siku wanakupa ushirikiano kudhibiti uhalifu