Kamati maalum ya TLS kuchunguza Mkataba wa uendeshaji bandari ya Dar

comte

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
8,227
5,950
BARAZA la Uongozi la Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) limeunda kamati maalum ya wataalamu kuchambua makubalino yaliyoainishwa katika mkataba wa uendeshaji bandari ya Dar es Salaam kati ya serikali ya Tanzania na Kampuni ya Dubai ya DP World.

Rais wa TLS, Wakili Harold Sungusia amesema kamati hiyo itaongozwa na Makamu wa Rais wa TLS, Wakili Aisha Sinda na itakuwa na wajumbe wengine wanne

Sungusia amewataja wajumbe wengine kuwa ni

Dk. Hawa Sinare – (Makamu Mwenyekiti),

Wakili Mpale Mpoki – (Mjumbe),

Wakili Stephen Mwakibolwa – (Mjumbe) na Wakili Mackphason Mshana - Katibu“

TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai… Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi,” amesema Wakili Sungusia.

====

TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai. Kutokana na unyeti wa swala hili, Baraza la Uongozi la TLS likiongozwa na Rais, Wakili Harold Sungusia limeunda kamati ya wataalamu kuchambua makubaliano hayo. Baraza hili litaongozwa na Makamu wa Raisi wa TLS, Wakili Aisha Sinda, likiwa na wajumbe wafuatao.
1. Dkt Hawa Sinare – Makamu Mwenyekiti
2. Wakili Mpale Mpoki – Mjumbe
3. Wakili Stephen Mwakibolwa – Mjumbe
4. Wakili Mackphason Mshana – Katibu
Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi.
 
Tena nyinyi TLS neno bandari yetu ya Tanzania liondoeni, litumike bandari yetu ya Tanganyika ,na mtuambie uwekezaji huu inapotajwa Tanzania ni pamoja na kuifaidisha Zanzibar? Na kama ndiyo watanganyika wanafaidakaje na uwekezaji wa bandari za Zanzibar? Ikiwezekana mkataba huo litumike Tanganyika na siyo Tanzania ili ijulikane wanaufaika kama Kuna manufaa ni watanganyika na siyo watanzania. Mwisho wa uhuni unakaribia
 
BARAZA la Uongozi la Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) limeunda kamati maalum ya wataalamu kuchambua makubalino yaliyoainishwa katika mkataba wa uendeshaji bandari ya Dar es Salaam kati ya serikali ya Tanzania na Kampuni ya Dubai ya DP World.
Hamna kitu hapa.

Amandla...
 
BARAZA la Uongozi la Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) limeunda kamati maalum ya wataalamu kuchambua makubalino yaliyoainishwa katika mkataba wa uendeshaji bandari ya Dar es Salaam kati ya serikali ya Tanzania na Kampuni ya Dubai ya DP World.

Rais wa TLS, Wakili Harold Sungusia amesema kamati hiyo itaongozwa na Makamu wa Rais wa TLS, Wakili Aisha Sinda na itakuwa na wajumbe wengine wanne

Sungusia amewataja wajumbe wengine kuwa ni

Dk. Hawa Sinare – (Makamu Mwenyekiti),

Wakili Mpale Mpoki – (Mjumbe),

Wakili Stephen Mwakibolwa – (Mjumbe) na Wakili Mackphason Mshana - Katibu“

TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai… Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi,” amesema Wakili Sungusia.

====

TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai. Kutokana na unyeti wa swala hili, Baraza la Uongozi la TLS likiongozwa na Rais, Wakili Harold Sungusia limeunda kamati ya wataalamu kuchambua makubaliano hayo. Baraza hili litaongozwa na Makamu wa Raisi wa TLS, Wakili Aisha Sinda, likiwa na wajumbe wafuatao.
1. Dkt Hawa Sinare – Makamu Mwenyekiti
2. Wakili Mpale Mpoki – Mjumbe
3. Wakili Stephen Mwakibolwa – Mjumbe
4. Wakili Mackphason Mshana – Katibu
Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi.
hao lazima wapigwe mpunga mrefuu na wataleta jibu linalowafurahisha waarabu. waarabu wanajua sana kumwaga pesa.
 
Yani hili li nchi kama bichwa la mwendawazimu.

Huo uchunguzi ni sawa sawa na kujichoma na kisu halafu kuenda hospitali kufanya vipimo wa kwanini una kidonda ulipojichoma kisu.
 
BARAZA la Uongozi la Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) limeunda kamati maalum ya wataalamu kuchambua makubalino yaliyoainishwa katika mkataba wa uendeshaji bandari ya Dar es Salaam kati ya serikali ya Tanzania na Kampuni ya Dubai ya DP World.

Rais wa TLS, Wakili Harold Sungusia amesema kamati hiyo itaongozwa na Makamu wa Rais wa TLS, Wakili Aisha Sinda na itakuwa na wajumbe wengine wanne

Sungusia amewataja wajumbe wengine kuwa ni

Dk. Hawa Sinare – (Makamu Mwenyekiti),

Wakili Mpale Mpoki – (Mjumbe),

Wakili Stephen Mwakibolwa – (Mjumbe) na Wakili Mackphason Mshana - Katibu“

TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai… Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi,” amesema Wakili Sungusia.

====

TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai. Kutokana na unyeti wa swala hili, Baraza la Uongozi la TLS likiongozwa na Rais, Wakili Harold Sungusia limeunda kamati ya wataalamu kuchambua makubaliano hayo. Baraza hili litaongozwa na Makamu wa Raisi wa TLS, Wakili Aisha Sinda, likiwa na wajumbe wafuatao.
1. Dkt Hawa Sinare – Makamu Mwenyekiti
2. Wakili Mpale Mpoki – Mjumbe
3. Wakili Stephen Mwakibolwa – Mjumbe
4. Wakili Mackphason Mshana – Katibu
Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi.
Ina maana Serikali hawakuomba legal opinion kutoka TLS?

Mh
 
BARAZA la Uongozi la Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) limeunda kamati maalum ya wataalamu kuchambua makubalino yaliyoainishwa katika mkataba wa uendeshaji bandari ya Dar es Salaam kati ya serikali ya Tanzania na Kampuni ya Dubai ya DP World.

Rais wa TLS, Wakili Harold Sungusia amesema kamati hiyo itaongozwa na Makamu wa Rais wa TLS, Wakili Aisha Sinda na itakuwa na wajumbe wengine wanne

Sungusia amewataja wajumbe wengine kuwa ni

Dk. Hawa Sinare – (Makamu Mwenyekiti),

Wakili Mpale Mpoki – (Mjumbe),

Wakili Stephen Mwakibolwa – (Mjumbe) na Wakili Mackphason Mshana - Katibu“

TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai… Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi,” amesema Wakili Sungusia.

====

TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai. Kutokana na unyeti wa swala hili, Baraza la Uongozi la TLS likiongozwa na Rais, Wakili Harold Sungusia limeunda kamati ya wataalamu kuchambua makubaliano hayo. Baraza hili litaongozwa na Makamu wa Raisi wa TLS, Wakili Aisha Sinda, likiwa na wajumbe wafuatao.
1. Dkt Hawa Sinare – Makamu Mwenyekiti
2. Wakili Mpale Mpoki – Mjumbe
3. Wakili Stephen Mwakibolwa – Mjumbe
4. Wakili Mackphason Mshana – Katibu
Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi.
Kituko cha kisheria!!!
 
Nimejikuta maneno Deep green yanakuja akilini mwangu. Ngoja, nikumbuke nilikutana na haya maneno wapi kwenye haya mahangaiko ya hapa duniani?
 
BARAZA la Uongozi la Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) limeunda kamati maalum ya wataalamu kuchambua makubalino yaliyoainishwa katika mkataba wa uendeshaji bandari ya Dar es Salaam kati ya serikali ya Tanzania na Kampuni ya Dubai ya DP World.

Rais wa TLS, Wakili Harold Sungusia amesema kamati hiyo itaongozwa na Makamu wa Rais wa TLS, Wakili Aisha Sinda na itakuwa na wajumbe wengine wanne

Sungusia amewataja wajumbe wengine kuwa ni

Dk. Hawa Sinare – (Makamu Mwenyekiti),

Wakili Mpale Mpoki – (Mjumbe),

Wakili Stephen Mwakibolwa – (Mjumbe) na Wakili Mackphason Mshana - Katibu“

TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai… Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi,” amesema Wakili Sungusia.

====

TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai. Kutokana na unyeti wa swala hili, Baraza la Uongozi la TLS likiongozwa na Rais, Wakili Harold Sungusia limeunda kamati ya wataalamu kuchambua makubaliano hayo. Baraza hili litaongozwa na Makamu wa Raisi wa TLS, Wakili Aisha Sinda, likiwa na wajumbe wafuatao.
1. Dkt Hawa Sinare – Makamu Mwenyekiti
2. Wakili Mpale Mpoki – Mjumbe
3. Wakili Stephen Mwakibolwa – Mjumbe
4. Wakili Mackphason Mshana – Katibu
Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi.


Michezo tu hii ya kuigiza
 
Back
Top Bottom