comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,227
- 5,950
BARAZA la Uongozi la Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) limeunda kamati maalum ya wataalamu kuchambua makubalino yaliyoainishwa katika mkataba wa uendeshaji bandari ya Dar es Salaam kati ya serikali ya Tanzania na Kampuni ya Dubai ya DP World.
Rais wa TLS, Wakili Harold Sungusia amesema kamati hiyo itaongozwa na Makamu wa Rais wa TLS, Wakili Aisha Sinda na itakuwa na wajumbe wengine wanne
Sungusia amewataja wajumbe wengine kuwa ni
Dk. Hawa Sinare – (Makamu Mwenyekiti),
Wakili Mpale Mpoki – (Mjumbe),
Wakili Stephen Mwakibolwa – (Mjumbe) na Wakili Mackphason Mshana - Katibu“
TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai… Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi,” amesema Wakili Sungusia.
====
TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai. Kutokana na unyeti wa swala hili, Baraza la Uongozi la TLS likiongozwa na Rais, Wakili Harold Sungusia limeunda kamati ya wataalamu kuchambua makubaliano hayo. Baraza hili litaongozwa na Makamu wa Raisi wa TLS, Wakili Aisha Sinda, likiwa na wajumbe wafuatao.
1. Dkt Hawa Sinare – Makamu Mwenyekiti
2. Wakili Mpale Mpoki – Mjumbe
3. Wakili Stephen Mwakibolwa – Mjumbe
4. Wakili Mackphason Mshana – Katibu
Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi.
Rais wa TLS, Wakili Harold Sungusia amesema kamati hiyo itaongozwa na Makamu wa Rais wa TLS, Wakili Aisha Sinda na itakuwa na wajumbe wengine wanne
Sungusia amewataja wajumbe wengine kuwa ni
Dk. Hawa Sinare – (Makamu Mwenyekiti),
Wakili Mpale Mpoki – (Mjumbe),
Wakili Stephen Mwakibolwa – (Mjumbe) na Wakili Mackphason Mshana - Katibu“
TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai… Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi,” amesema Wakili Sungusia.
====
TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai. Kutokana na unyeti wa swala hili, Baraza la Uongozi la TLS likiongozwa na Rais, Wakili Harold Sungusia limeunda kamati ya wataalamu kuchambua makubaliano hayo. Baraza hili litaongozwa na Makamu wa Raisi wa TLS, Wakili Aisha Sinda, likiwa na wajumbe wafuatao.
1. Dkt Hawa Sinare – Makamu Mwenyekiti
2. Wakili Mpale Mpoki – Mjumbe
3. Wakili Stephen Mwakibolwa – Mjumbe
4. Wakili Mackphason Mshana – Katibu
Kamati itatoa ripoti yake na mapendekezo yake kwa Baraza la Uongozi tarehe 12/06/2023 ili TLS iweze kutoa maoni na kwa hatua zaidi.